Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,647
- 11,227
- Thread starter
- #21
Kwenye jimbo la Bashe Lowasa kamnadi mgombea wa UKAWA?
Jumatano atakuwa Moro mjini
Kwenye jimbo la Bashe Lowasa kamnadi mgombea wa UKAWA?
Sasa wale kenge waliosema haendi mikoani eti kaomba watu wamuombee kura wapo wapi ? Oh afya gongana, sijui na upuuzi kibao just sababu wamezoea hotuba za masaa 5 kuubiri uongo na ahadi zisizowezekana !! Kampeni za kisasa ground zero watu wanapiga mzigo, ww unapita 5-10 minutes kusamaraiz tuu..
Huku pande ile wapo wenyeviti na makatibu wa CCM, ma Dc na wengine wanapiga chabo na kula mzigo kiaina.... next month jamaa watashangaa pwaaa....
Dr. wa mihogo atajifungia na wenzake kulia kilio cha mbwa.... wakati ss mchakamchaka unaanza. Nape nasikia kashaomba uraia wa msumbiji...!!
Hakuna Mabadiliko ya mtu wa sifa za ufisadi! Kuweni na akili enyi watanzania. Hakuna atakaye badili Maisha ya mtu hapo bali wana ongeza utajiri wao tu na nyie mnabaki kushabikia tu. Ujinga tuache na ndio maana wengine inafikia atuwa tuna uwana bure kwa kuongozwa na hao batajiri wakati kila kukicha umasikini wetu una ongezeka %10, embu jiulize lowasa ana miaka mingapi akiwa ndani ya siasa na akiwa waziri mkuu wa nchi mbona haja leta hayo Mabadiliko? Leo hayo Mawazo kayatowa wapi? Na tujuwe kwamba kutawala ina endana na tabia ya mtu sasa je hiyo tabia ya kuendeleza au kusimamia kitu ipasavyo kafundishwa na nani sasa ivi? Kumbukeni msijuti badae mkasema bora ilipokuwa ccm kwani wao hawakumtaka wanamjua sana na sidhani kama atabadirika.Kesho jioni yupo Bunju
Rais atakuwa ni kutoka Ukawa
Naye ninLowassa
Hakuna Mabadiliko ya mtu wa sifa za ufisadi! Kuweni na akili enyi watanzania. Hakuna atakaye badili Maisha ya mtu hapo bali wana ongeza utajiri wao tu na nyie mnabaki kushabikia tu. Ujinga tuache na ndio maana wengine inafikia atuwa tuna uwana bure kwa kuongozwa na hao matajiri wakati kila kukicha umasikini wetu una ongezeka %10, embu jiulize lowasa ana miaka mingapi akiwa ndani ya siasa na akiwa waziri mkuu wa nchi mbona haja leta hayo Mabadiliko? Leo hayo Mawazo kayatowa wapi? Na tujuwe kwamba kutawala ina endana na tabia ya mtu sasa je hiyo tabia ya kuendeleza au kusimamia kitu ipasavyo kafundishwa na nani sasa ivi? Kumbukeni msijuti badae mkasema bora ilipokuwa ccm kwani wao hawakumtaka wanamjua sana na sidhani kama atabadirika.Kesho jioni yupo Bunju
Rais atakuwa ni kutoka Ukawa
Naye ninLowassa
Tunaomba Mwenye Kujua Maana Nasikia Lowasa Kesho Atakuwa Dar, Mwenye Taarifa Za Kina Aziweke Hapa.
Hakuna Mabadiliko ya mtu wa sifa za ufisadi! Kuweni na akili enyi watanzania. Hakuna atakaye badili Maisha ya mtu hapo bali wana ongeza utajiri wao tu na nyie mnabaki kushabikia tu. Ujinga tuache na ndio maana wengine inafikia atuwa tuna uwana bure kwa kuongozwa na hao matajiri wakati kila kukicha umasikini wetu una ongezeka %10, embu jiulize lowasa ana miaka mingapi akiwa ndani ya siasa na akiwa waziri mkuu wa nchi mbona haja leta hayo Mabadiliko? Leo hayo Mawazo kayatowa wapi? Na tujuwe kwamba kutawala ina endana na tabia ya mtu sasa je hiyo tabia ya kuendeleza au kusimamia kitu ipasavyo kafundishwa na nani sasa ivi? Kumbukeni msijuti badae mkasema bora ilipokuwa ccm kwani wao hawakumtaka wanamjua sana na sidhani kama atabadirika.
Hakuna Mabadiliko ya mtu wa sifa za ufisadi! Kuweni na akili enyi watanzania. Hakuna atakaye badili Maisha ya mtu hapo bali wana ongeza utajiri wao tu na nyie mnabaki kushabikia tu. Ujinga tuache na ndio maana wengine inafikia atuwa tuna uwana bure kwa kuongozwa na hao batajiri wakati kila kukicha umasikini wetu una ongezeka %10, embu jiulize lowasa ana miaka mingapi akiwa ndani ya siasa na akiwa waziri mkuu wa nchi mbona haja leta hayo Mabadiliko? Leo hayo Mawazo kayatowa wapi? Na tujuwe kwamba kutawala ina endana na tabia ya mtu sasa je hiyo tabia ya kuendeleza au kusimamia kitu ipasavyo kafundishwa na nani sasa ivi? Kumbukeni msijuti badae mkasema bora ilipokuwa ccm kwani wao hawakumtaka wanamjua sana na sidhani kama atabadirika.
Kesho jioni yupo Bunju
Rais atakuwa ni kutoka Ukawa
Naye ninLowassa
Hakuna Mabadiliko ya mtu wa sifa za ufisadi! Kuweni na akili enyi watanzania. Hakuna atakaye badili Maisha ya mtu hapo bali wana ongeza utajiri wao tu na nyie mnabaki kushabikia tu. Ujinga tuache na ndio maana wengine inafikia atuwa tuna uwana bure kwa kuongozwa na hao batajiri wakati kila kukicha umasikini wetu una ongezeka %10, embu jiulize lowasa ana miaka mingapi akiwa ndani ya siasa na akiwa waziri mkuu wa nchi mbona haja leta hayo Mabadiliko? Leo hayo Mawazo kayatowa wapi? Na tujuwe kwamba kutawala ina endana na tabia ya mtu sasa je hiyo tabia ya kuendeleza au kusimamia kitu ipasavyo kafundishwa na nani sasa ivi? Kumbukeni msijuti badae mkasema bora ilipokuwa ccm kwani wao hawakumtaka wanamjua sana na sidhani kama atabadirika.