Labda kama waTanzania hawajui maana ya neno REHANI. Kwamba mtu au taasisi fulani inaweka raslimali alizo nazo kwa mtu au taasisi nyingine kama dhamana ili apatiwe kitu fulani. Ni nani asiye jua kwamba mi-CCM imeweka rehani rasilimali zote rehani yakiwepo hata madaja ili kukoposhwa mikopo ambaoyo hata tija yake haionekani!
Danganyeni mazezete wenzenu lakini sio waTz walio ielewa UKAWA maana yake ni nini! Inapo fikia ofisi za serikali hazina hata wino na karatasi za chapa halafu una msingizia Lowasa eti kaiweka nchi reheani, lazima una tatizo la kuto kuushirikisha ubongo wako ili uweze kuwaza vizuri.
Naamini umerejea maneno ya yule Bondia wa Bunda alivyo bwatuka jana kwamba nchi itawekwa rehani akichaguliwa Lowasa. Kwamba amejisahau kwamba naye ni mmoja wa viongozi wa mi-CCM walio tufikisha kwenye huu msoto.