Lowassa kawaahidi nini watu wa Monduli?

Lowassa kawaahidi nini watu wa Monduli?

Wewe zwazwa mbona hutuelezi wewe umepata siri gani toka CCM. Naona kama unajitekenya na kucheka peke yako mburura. Kwanza CCK haina cha siri na inajua ushindi ni lazima kuanzia 80% na kuendelea halafu zoba unakuja na hoja dhaifu. Bavicha vichwa vya panzi bwana duuuu...
 
Likiwa ni jimbo masikini mkoani Arusha chini ya ubunge wa lowassa kwa miaka zaidi ya 20 bado sijasikia cha maana alichoahidi mgombea urais wa Ukawa ndugu lowassa.

Inaonesha lowassa anapata wakati mgumu kuwashawishi wana Monduli kumchagua hali iliyomfanya kurudia kampeni mara mbili ndani ya kipindi cha majuma mawili katika jimbo hili.

Inaonesha pia lowassa amekasirishwa kuona binti wa aliyekuwa waziri mkuu mchapa kazi na aliyependwa katika jimbo hili Namelok Sokoine.
Hata akikaa kimya kura Nampa, panya buku wa Lumumba mmedokoa Sana na ahadi zenu nyingi za kitapeli
 
Likiwa ni jimbo masikini mkoani Arusha chini ya ubunge wa lowassa kwa miaka zaidi ya 20 bado sijasikia cha maana alichoahidi mgombea urais wa Ukawa ndugu lowassa.

Inaonesha lowassa anapata wakati mgumu kuwashawishi wana Monduli kumchagua hali iliyomfanya kurudia kampeni mara mbili ndani ya kipindi cha majuma mawili katika jimbo hili.

Inaonesha pia lowassa amekasirishwa kuona binti wa aliyekuwa waziri mkuu mchapa kazi na aliyependwa katika jimbo hili Namelok Sokoine.
Mkuu Lowassa haja kasirishwa katika hilo. Nataka kukuhakikishia tu kwamba hata hiyo ya kugombea huko ni Lowassa ndio alimpa shavu. Usishangae Binti akaja kuwa aibisha CCM muda si mrefu.
 
Lowasa anaishi kwa siasa chafu,kuwatisha watu wasimpoke magufuli ndo siasa gani hizo? Kama unajua unakubalika kuna shida ya kufanya siasa CHAFU tena nyumbani,

Umesahau sera za ccm ukichagua upinzani kutatokea vita:what: au hizo ndio siasa safi:what: na huyo punguani mwenzio aseme wilaya tajiri ni ipi ambayo mbunge wake amekamilisha kila kitu:what:
 
Monduli wanaishi kwenye tembe!

Monduli wanakufa kwa kukosa huduma bora za afya

Monduli kuna shida kubwa ya maji ya binadamu na mifugo

Monduli ni wilaya masikini mkoani Arusha.

Monduli watoto hawasomi wanaishia kuchunga ngombe na kuvizia tips za watalii.

Kuishi kwenye tembe ni utamaduni wa wamasai haijalishi kama ana pesa au hana
Monduli kuna hospitali nzuri ya wilaya ilyokamilika karibu 70% hakuna wanakufa kukosa huduma bora za afya kama baadhi ya majimbo fulani
Shida ya maji sio kubwa kama unavyoeleza.Kijografia Monduli ni semi arid regions hivyo hakuna mito wala chemchem za uhakika.Jamii kubwa ya wanamonduli ni wafugaji ambao wametawanyika sana ( scattered population) hivyo inakuwa na ugumu kusambaza maji ya bomba maeneo yote ya wilaya ya monduli.Kuzingatia hayo serikali ya monduli kushrikiana na mbunge wa Monduli( Lowassa) wameleta maji safi ya bomba kutoka Meru.Kuna mabwawa ya kutosha ya maji kwa ajili ya mifugo.
Kusema monduli ni wilaya masikini kuliko wilaya zote Arusha sina hakika sana.Ila sababu za umaskini inasababishwa na sababu za kijografia-Kama ni muelewa utaelewa.
Watu wa jamii ya masai sasa wamebadilika wanapeleka watoto shule na wanajitahidi sana kulipia ada za watoto-Fanya utafiti utagundua. Kuhusu kuvizia tips za watalii ,; Moja ya sababu kubwa ya Watalii kuja Afrika ni kuona na kujifunza utamaduni wa masai
 
Likiwa ni jimbo masikini mkoani Arusha chini ya ubunge wa lowassa kwa miaka zaidi ya 20 bado sijasikia cha maana alichoahidi mgombea urais wa Ukawa ndugu lowassa.

Inaonesha lowassa anapata wakati mgumu kuwashawishi wana Monduli kumchagua hali iliyomfanya kurudia kampeni mara mbili ndani ya kipindi cha majuma mawili katika jimbo hili.

Inaonesha pia lowassa amekasirishwa kuona binti wa aliyekuwa waziri mkuu mchapa kazi na aliyependwa katika jimbo hili Namelok Sokoine.
namelock amesema yeye yuko na padlock. binti mwenye msimamo safi tumuunge mkono. sio watu wote monduli mnageuzwa kama mfugo machungani na mtu mmoja. akili hamnazo? oct 25 tunaenda kumchagua magufuli kwa kua ni muadilifu na mchapa kazi. hii ndio sababu namelock anabaki ccm. usiogope wala kutishika binti jasiri linda heshima ya familia yako.
 
Mtuaaaaacheeee... Mbnona baba zenu nanyi mkiwa marais wa familia zenu na zina shida? TOBIKOOO LOWASAA TOBIKOOOO... We will vote for u whatever happen. Uuuuwiii jmn sipeendiii mumseme Lowasa jamanii.
kwani wewe ni mchg?
 
upumbavu na ulofa unawasumbua. kama wanamtaka lowassa siwasubiri oct 25 wampigie kura..sasa kumuimbia magufuli 'lowassa lowassa' ndio nini? wanataka ajitoe kugomea? au hata akichaguliwa amwachie kiti lowadsa? au wanamuombea kura lowassa kwa magufuli? kama sio usanii tu sijui ni nini!
 
Last edited by a moderator:
upumbavu na ulofa unawasumbua. kama wanamtaka lowassa siwasubiri oct 25 wampigie kura..sasa kumuimbia magufuli 'lowassa lowassa' ndio nini? wanataka ajitoe kugomea? au hata akichaguliwa amwachie kiti lowadsa? au wanamuombea kura lowassa kwa magufuli? kama sio usanii tu sijui ni nini!

 
Last edited by a moderator:
Likiwa ni jimbo masikini mkoani Arusha chini ya ubunge wa lowassa kwa miaka zaidi ya 20 bado sijasikia cha maana alichoahidi mgombea urais wa Ukawa ndugu lowassa.

Inaonesha lowassa anapata wakati mgumu kuwashawishi wana Monduli kumchagua hali iliyomfanya kurudia kampeni mara mbili ndani ya kipindi cha majuma mawili katika jimbo hili.

Inaonesha pia lowassa amekasirishwa kuona binti wa aliyekuwa waziri mkuu mchapa kazi na aliyependwa katika jimbo hili Namelok Sokoine.

Lowasa ishakula kwake....
 
Back
Top Bottom