Lowassa kapita dirishani kwangu

Mssassou

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2015
Posts
1,537
Reaction score
597
Watu wa Gongolamboto tumefarijika Sana kuona Rais mtarajiwa akipita mtaani kwetu kwenye kila aina ya uchafu akitaka kujua matatizo yetu ya kimaisha yaliyosababishwa na CCM ili ayatatue atakapochaguliwa kuwa rais.Kwa bahati nzuri kapita dirishani kwangu ilinilazimu nitoke nje kwani niliona watu wengi wakiimba LOWASSA!LOWASSA!LOWASSA HAKUNA KAMA WEWE.Lazima nimpatie kura yangu rais huyu.Amekuja kutuona sisi malofa,wapumbavu na vibaka.Wewe ndiyo kiongozi
 

Kichaa ndio kinavyoanza hivyo taratibu.
 
alikuwa wapi siku zote?

alikua katika majukumu mbalimbali ya kitaifa....na hii ya leo ni majukumu yake pia.
Alikua anapata update za hali ya wananchi kama unavyojua matatizo ya mwaka jana sio kama ya leo tar24/8/2015... Hivyo ni muhimu aende kujua matatizo yaliyo ongezeka ili oktoba mimi na wewe tukisha mpitisha aweze kuyashughulikia kwa mbinu madhubuti na sahihi sio kama porojo za ccm
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…