assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
Kitendo alichokifanya Lowassa kuonyesha bashasha na watu wanaokamata wabunge wa chama chako Lema yupo ndani, Mwalimu kakamatwa, Lissu anakesi kibao, Sugu alikamatwa unaipataje furaha ya kuhag na Kinana, kujichekesha mbele ya rais. Even president alishangaa yote ninayowafanyia lakini hajastuka is a miracle.
Lowassa aangaliwe asije akawa usalama akatuchora tu kumbe anadisplay upande wa pili, tahadhari muhmu kwa kuzingatia aliyoyafanya bwana Augustine Mrema.
Watu tunajiandaa na UKUTA wewe unajichekesha na watu ambao tarehe moja huenda wakatuvunja viuno kama si kutufunga bila kesi.
Lowassa katika mazingira haya smile kwa Kinana na Rais Magufuli inatoka wapi, it raises more doubt. tusije kusacrife for nothing "km unatraitor#
Lowassa aangaliwe asije akawa usalama akatuchora tu kumbe anadisplay upande wa pili, tahadhari muhmu kwa kuzingatia aliyoyafanya bwana Augustine Mrema.
Watu tunajiandaa na UKUTA wewe unajichekesha na watu ambao tarehe moja huenda wakatuvunja viuno kama si kutufunga bila kesi.
Lowassa katika mazingira haya smile kwa Kinana na Rais Magufuli inatoka wapi, it raises more doubt. tusije kusacrife for nothing "km unatraitor#