Dr. Wansegamila
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 2,856
- 7,846
Here you go again, great thinkers discussing people!! thats too low, to say the least.
Wakuu inaelekea mimi nina allergy na EL, akiongelewa tu napata kichefuchefu kikifuatia kutapika, kutoa ushuzi na kuharisha.
Lowasa and kundi dogo sana ambalo nguvu yake kubwa(RA) ilishajivua gamba waliobaki nyuma yake ni walafi wanatafuna hela zake alizotuibia na wengine tunao humu JF, wenzake wana kundi kubwa japo hawana nguvu ya pesa lakini wanaweza kuwa strong na kummaliza kisiasa kwa urahisi sana. kikubwa anachotakiwa sasa hivi kufanya ni kutubu na kuomba msamaha kwa watanzania kwa kuwaibia mali zao na kuleta kampuni ya kitapeli ya Richmond/Dowans na kufanya tatizo la umeme kuwa kubwa zaidi na mgao usiokwisha