Lowassa is 'Dead' Politically

Lowassa is 'Dead' Politically

Mkuu vipi tena! Ulianza vizuri, lakini naona jamaa wanataka kukuingiza kwenye unhelpful TIRADES za watu wa vijiweni - just keep your cool.
Kaka ushauri mzuri. Hawa ndio great thinkers wetu, inabidi tuwakubali.
 
Lowassa is dead politically. Mtei and Mbowe who run CDM know this. He can't read, talk, smile, stand nor maintain eye contact. Lowassa has remained a shell of himself. His mission now is to try it by whatever means. By whatever cost. I couldn't stop looking at his wife, Regina, who you could see she was so embarrassed. I was wondering of what? The couple know the secrete. They know that this is a loosing battle, but since Lowassa is vindictive, he would still try to vie for the top job just to humiliate CCM, even if he knows he wouldn't win. Dammit ... The guy is a nicampoop of 2015.

I suggest that you make some minor corrections to the title and paragraph as follows:
1. Physically: 'Lowasa is dying' - meaning that he is in the process, he's not dead yet. This is demonstrated by the physical incapacities you've mentioned which are due to Parkinsonism. This is the wish of The Creator and we are all in this process.

2. Politically: He is dying of a pathological condition called presidentophilia - this is psychological excessive obsession of becoming a president. This is his own wish and not of The Creator. He will blame himself on 25 Oct as it might cost his life!
 
I suggest that you make some minor corrections to the title and paragraph as follows:
1. Physically: 'Lowasa is dying' - meaning that he is in the process, he'ss not dead yet. This is demonstrated by the physical incapacities you've mentioned which are due to Parkinsonism. This is the wish of The Creator and we are all in this process.

2. Politically: He is dying of a pathological condition called presidentophilia - this is psychological excessive obsession of becoming a president. This is his own wish and not of The Creator. He will blame himself on 25 Oct as it might cost his life!

Wazee tayari huyo imekwisha mgharimu, he is paying for the price. Mfamaji, Reflection: Oscar Kambona, Augustine L.Mrema and Seif Shariff Hamad .
 
Lowassa is dead politically. Mtei and Mbowe who run CDM know this. He can't read, talk, smile, stand nor maintain eye contact. Lowassa has remained a shell of himself. His mission now is to try it by whatever means. By whatever cost. I couldn't stop looking at his wife, Regina, who you could see she was so embarrassed. I was wondering of what? The couple know the secrete. They know that this is a loosing battle, but since Lowassa is vindictive, he would still try to vie for the top job just to humiliate CCM, even if he knows he wouldn't win. Dammit ... The guy is a nicampoop of 2015.
Shiiittt!! what is it with that nigger!? wanting to get the job to humiliate CCM! isn't that objective view? is he really for the people or more of himself and his ego!?
 
in the name of father, son and holy spirit, i will vote for ENL, no matter what has been said or will be said. Goal is To have CCM out of the system.

After getting CCM out of the system!?
 
Lowassa is dead politically. Mtei and Mbowe who run CDM know this. He can't read, talk, smile, stand nor maintain eye contact. Lowassa has remained a shell of himself. His mission now is to try it by whatever means. By whatever cost. I couldn't stop looking at his wife, Regina, who you could see she was so embarrassed. I was wondering of what? The couple know the secrete. They know that this is a loosing battle, but since Lowassa is vindictive, he would still try to vie for the top job just to humiliate CCM, even if he knows he wouldn't win. Dammit ... The guy is a nicampoop of 2015.

Mwaka huu mtaongea hadi kikwenu:cheer2:
 
I suggest that you make some minor corrections to the title and paragraph as follows:
1. Physically: 'Lowasa is dying' - meaning that he is in the process, he's not dead yet. This is demonstrated by the physical incapacities you've mentioned which are due to Parkinsonism. This is the wish of The Creator and we are all in this process.

2. Politically: He is dying of a pathological condition called presidentophilia - this is psychological excessive obsession of becoming a president. This is his own wish and not of The Creator. He will blame himself on 25 Oct as it might cost his life!

Take 5 stars aisee *****
 
Moja ya makosa ambayo wanasiasa wetu wa kiafrika wanafanya ni kutokuwa na washauri wa kisaikolojia. Wengi wanakuwa na washauri wa kiuchumi zaidi. (ni mawazo yangu binafsi) kuwa baada ya shughuli ya Dodoma, ENL alikuwa somehow stressed, aliathirika sana kisaikolojia.

Kama angelipata vacation ya mwezi mzima huko Hawaii au popote mbali; akarefresh kabisa nje ya upepo huu wa Bongo na akawa yuko peke yake kwa muda, NA asintaentertain hizi "Pole Mzee lakini never give up"; baada ya mwezi mmoja, usinge-approach na habari au hadithi za UKAWA au ndugu zake na UKAWA akakuelewa; hapa wamecheza na wakati na akili yake ikiwa haijakaa sawasawa! Unless uniambie ENL ni comedian.

Yeye anadhani anautumia UKAWA kuachieve political ambition zake, but wao wana agenda zaidi ya kumtumia yeye kujitengeneza kisiasa zaidi. kupitia yeye watavuna wanachama, watapandisha status yao kisiasa; they know that he might not make it kwa urais; but watakuwa wamegain zaidi kuliko wangemsimamisha Dr au Proffessor kwenye mbio hizi.

In politics watapretend kumpenda; watamsifia sana (but kinafiki) but with hidden agendas...Huyu Bwana Mkubwa akija kustuka tayari wako mbali. Kwani Mrema ilikuwaje baada ya kuondoka CCM? Watu walikuwa wanasukuma gari kila pahali huku akiitwa Rais Rais but where did it end?

Alikuwa despaired, akaanza kupelekwa mahakamani, and guess what... hadi alipobend tena, sasa ana kaposition ka ubunge at least kumkeep alive kisiasa; but is a pro-CCM. Siamini kwamba ENL sio mwanaCCM kwa ghafla hivi kwani pia si wa kwanza kufanya haya....but tusubiri tuone.
 
heheheheheeh umeona eeee jamaa wamemtia kwenye crash sasa nimwendo wakumkamua mpaka maziwe yaishe aane kupiga mali zake bei na mwish kuwa na utajiri wa kaduchu chezea ccm wewe
 
Mrema na Lowasa ni watu wawili tofauti kama usiku na mchana.kama mnafikiria kumshinda lowasa kwa mbinu mlizozitumia kwa Mrema imekula kwenu.
 
Moja ya makosa ambayo wanasiasa wetu wa kiafrika wanafanya ni kutokuwa na washauri wa kisaikolojia. Wengi wanakuwa na washauri wa kiuchumi zaidi. (ni mawazo yangu binafsi) kuwa baada ya shughuli ya Dodoma, ENL alikuwa somehow stressed, aliathirika sana kisaikolojia.

Kama angelipata vacation ya mwezi mzima huko Hawaii au popote mbali; akarefresh kabisa nje ya upepo huu wa Bongo na akawa yuko peke yake kwa muda, NA asintaentertain hizi “Pole Mzee lakini never give up”; baada ya mwezi mmoja, usinge-approach na habari au hadithi za UKAWA au ndugu zake na UKAWA akakuelewa; hapa wamecheza na wakati na akili yake ikiwa haijakaa sawasawa! Unless uniambie ENL ni comedian.

Yeye anadhani anautumia UKAWA kuachieve political ambition zake, but wao wana agenda zaidi ya kumtumia yeye kujitengeneza kisiasa zaidi. kupitia yeye watavuna wanachama, watapandisha status yao kisiasa; they know that he might not make it kwa urais; but watakuwa wamegain zaidi kuliko wangemsimamisha Dr au Proffessor kwenye mbio hizi.

In politics watapretend kumpenda; watamsifia sana (but kinafiki) but with hidden agendas...Huyu Bwana Mkubwa akija kustuka tayari wako mbali. Kwani Mrema ilikuwaje baada ya kuondoka CCM? Watu walikuwa wanasukuma gari kila pahali huku akiitwa Rais Rais but where did it end?

Alikuwa despaired, akaanza kupelekwa mahakamani, and guess what... hadi alipobend tena, sasa ana kaposition ka ubunge at least kumkeep alive kisiasa; but is a pro-CCM. Siamini kwamba ENL sio mwanaCCM kwa ghafla hivi kwani pia si wa kwanza kufanya haya....but tusubiri tuone.

Mkuu hayo ni mawazo yako tu. Lkn kumbuka siasa za kwetu hapa TZ, hata uende HAWAII haisaidia kwani siasa zetu hazina logic. Huwezi kupanga maana angalia yaliyotokea kwa hao uliowataja nk.
Hapa elewa yafuatayo:
1. EL ameumizwa sana ukiangalia alikuwa campaign manager wa MKULU
2. EL kukakataliwa bila kuwa na mkakati (refer. kwa wajumbe wa CC walichokieleza ndani ya kikao hicho)
3. EL ameishafanikiwa mapaka sasa kwa kiasi fulani kuwaonyesha hao wabaya wake kuwa nanyie mnaondoka na tope usoni kama si nguoni. Ni hii haian ubishi kabisa (Anagalia hali ya hewa nadani ya ex chama chake)
4. EL inawezakana asichaguliwe lkn historia itatakumbusha yaliyotokea ktk kipindi hiki (na hiyo ni plus kwake na ina mpuguzia maumivu)
5. EL kama ni kuendesha maisha yake ya baadae matanzo kama ya ex PM ataendelea kuyapata. Sasa amekosea wapi?
ANGALIZO:
Hao wengine walio onewa na kukaa kimya wanayo mengi ya moyoni na haya yanakula kila leo afya zao!
 
Moja ya makosa ambayo wanasiasa wetu wa kiafrika wanafanya ni kutokuwa na washauri wa kisaikolojia. Wengi wanakuwa na washauri wa kiuchumi zaidi. (ni mawazo yangu binafsi) kuwa baada ya shughuli ya Dodoma, ENL alikuwa somehow stressed, aliathirika sana kisaikolojia.

Kama angelipata vacation ya mwezi mzima huko Hawaii au popote mbali; akarefresh kabisa nje ya upepo huu wa Bongo na akawa yuko peke yake kwa muda, NA asintaentertain hizi “Pole Mzee lakini never give up”; baada ya mwezi mmoja, usinge-approach na habari au hadithi za UKAWA au ndugu zake na UKAWA akakuelewa; hapa wamecheza na wakati na akili yake ikiwa haijakaa sawasawa! Unless uniambie ENL ni comedian.

Yeye anadhani anautumia UKAWA kuachieve political ambition zake, but wao wana agenda zaidi ya kumtumia yeye kujitengeneza kisiasa zaidi. kupitia yeye watavuna wanachama, watapandisha status yao kisiasa; they know that he might not make it kwa urais; but watakuwa wamegain zaidi kuliko wangemsimamisha Dr au Proffessor kwenye mbio hizi.

In politics watapretend kumpenda; watamsifia sana (but kinafiki) but with hidden agendas...Huyu Bwana Mkubwa akija kustuka tayari wako mbali. Kwani Mrema ilikuwaje baada ya kuondoka CCM? Watu walikuwa wanasukuma gari kila pahali huku akiitwa Rais Rais but where did it end?

Alikuwa despaired, akaanza kupelekwa mahakamani, and guess what... hadi alipobend tena, sasa ana kaposition ka ubunge at least kumkeep alive kisiasa; but is a pro-CCM. Siamini kwamba ENL sio mwanaCCM kwa ghafla hivi kwani pia si wa kwanza kufanya haya....but tusubiri tuone.

1995 ni tofauti na sasa huu ni mwaka 2015 miaka 20 imepita
mtoto aliyezaliwa 95 anapiga kura
acha mawazo mgando
 
well said!!! Huwa sichoki kuwashangaa hawa wanaoonyesha mapenzi yao kwa UKAWA/CHADEMA. hoja hujibiwa kwa hoja lakini daaah! sisi tunaopenda kupitia hizi nyuzi baadhi yetu tunashindwa kuwaelewa!!
 
Mbona unamtolea mwenzio lugha chafu, yeye katoa mtazamo wake, hivyo wewe pia ungetoa wa kwako na sio kuanza kuhemkwa kwa lugha chafu. Hata wewe anzisha uzi wako mpake rangi lowasa hadi ang'ae. Chadema walitumia muda wa miaka zaidi ya 8 kumkashifu Lowasa leo hii wanatumia dakika 5 tu kumsafisha, is that make sense kwa mwenye akili yake timamu. Wewe ndio una mahaba ya upofu, maana hata hujielewi unaburuzwa tu na wenye malengo yao.

well said!!! Huwa sichoki kuwashangaa hawa wanaoonyesha mapenzi yao kwa UKAWA/CHADEMA. hoja hujibiwa kwa hoja lakini daaah! sisi tunaopenda kupitia hizi nyuzi baadhi yetu tunashindwa kuwaelewa!!
 
Lowassa is dead politically. Mtei and Mbowe who run CDM know this. He can't read, talk, smile, stand nor maintain eye contact. Lowassa has remained a shell of himself. His mission now is to try it by whatever means. By whatever cost. I couldn't stop looking at his wife, Regina, who you could see she was so embarrassed. I was wondering of what? The couple know the secrete. They know that this is a loosing battle, but since Lowassa is vindictive, he would still try to vie for the top job just to humiliate CCM, even if he knows he wouldn't win. Dammit ... The guy is a nicampoop of 2015.

Really?? Frankly I think is better to wait and see what will happen because only Gog knows the future
 
Back
Top Bottom