Lowassa: Hatutakubali Matokeo ikiwa...


Tatizo kubwa hamlijui lakini naamini mnalijua, haiwezekani kama akili yako inafanya kazi vizuri alafu unaongea mambo ya kipuuzi namna hii, huu co muda wa kulalamika tena, ni muda wa kujikosoa, tatizo linafahamika vema kuwa tume si huru, ss unachotaka ni nn kama si ujinga huo, mm nilitegemea sana kwamba UKAWA tuna viongozi makini, kumbe ni tabu tuu, tatizo la nchi hii si Urais, lakini kwa ujinga wetu tumewekeza sana kwenye Urais, na huu Urais hauna msaada kwetu cc watu wa chini, unaposema unataabika sana na hali ngumu ya maisha, dawa yake ni serikali za mitaa/kijiji, udiwani na ubunge, cc hatuna shida na urais, kama wabunge hawatoshi kufanya maamuzi bungeni wakati huo Rais ni Lowasa hayo mabadiliko utayapata vipi? sheria zote mbovu zinaondoka tu endapo una wabunge wa kutosha bungeni, ni ujinga sana kuongelea Urais kuliko ubunge, unapowalaumu akina Mwigulu, kimsingi ww ndo unaonekana kichwa chako kina matatizo, na huo ndo umekuwa ugonjwa mkubwa wawapinzani kulalamika, tunayo nafasi kubwa ya kufanya haya mageuzi kwa kupitia wabunge tutakao wachagua, na kwa bahati nzuri ubunge unahojiwa mahakamani, ww unataka kitu ambacho hakihojiwi mahakamani, huo ndo tunauita umburula, haya Mwl.Nyerere aliwahi kuyasemea kwa kuwashauri wapinzani kwamba, watafute nafasi za kuwawakilisha wananchi wao bungeni hakuwa mjinga kusema hivyo- sasa UKAWA akili zao zimeishia kwenye Urais, viongozi wanaongea mpaka mishipa ya kichwa inataka kuchomoka eti Urais, hiyo nguvu ingetumika kwenye nafasi za uwakilishi tungekuwa tumepiga hatua kufikia kuomba Urais na wananchi wangekuwa wamepata hamasa ya kutosha.

Kwa upande wangu ninaye penda mabadiliko, nasikitika sana kuona viongozi tulionao ni wa namna gani, UKAWA hawawezi kushinda, na kwa bahati mbaya tumeweka kiongozi ambaye na yy anaipenda hiyo tume kama akifanikiwa kuingia ikulu, angekuwa anaichukia asinge poteza muda wake kugombea Urais.
 

msalimie josefin na dr.mihogo
 
Vurugu hazina macho.
Uzuri vi asset vyake vyote tunavijua labda aanze kuhamishia ughaibuni familia yake

Awambie wanae ndo wakapigane lakini co sisi walala hoi, mtu mwenyewe amejichokea ss anataka watoto wa wenzie ndo wauwawe? ujanja wa ccm alikuwa anaujua na bahati nzuri yy ndo alikuwa kinara wa ujinga huo, wakati wanafanyiwa wapinzani alikuwa anasikia raha sana wakati huo, na ninaamini hakutegemea kuwa suku moja na yy angejikuta anasema "people" wembe ni uleule na yy utamnyoa, baada ya kinyolewa sasa atatwambia ukweli, make hadi muda huu hajesema kitu, ni sawa na mtu anaye jidai mjanja sana kuwa anaficha siri, ukimpa pombe zikamkolea utamsikia anafungua domo lake na kuelezea siri zake zote, kwa hali hiyo mzee bado hajasema. tunamwitaji aseme na tunataka safari hii tuongeze wabunge angalau hata tufikishe 100 kwa kupitia yy, alafu akapumzike Mondili, make Dr. Slaa na yy alituongezea wabunge kwa wakati huo, ss ni zamu ya Mzee Lowasa, ninaimani uchaguzi ujao kuongezea wabunge33 ili tuunde serikali, itawezekana tena kwa kishindo!
 

Lowassa kutokusema uchaguzi hauko huru haimaanishi ulikua huru. Kama suala ni kusema tu, kwanini mnamsema kwamba ni fisadi wakati alikua hukohuko? Watu huamua kunyamaza tu kwa sababu hawataki shari na kuvumilia mambo yaende.
 
Kwani lini wapinzani walishawahi kukubali matokeo? Mjiandae mapema kisaikolojia.. Na mkikaidi mtapigwa tu na mm nasema mmpigwe tu maana hamna namna sasa.

Endelea kuishi kwa kukariri.endelea kuishi kwa mazoea
 
Baada ya October 25 tutajua mbivu na mbichi kama MUNGU akitufikisha hiyo siku.so hakuna haja ya kuandikia mate,kwa upande wangu mshindi ni mshindi,sina muda wa kuandamana kupinga sababu hainisaidii zaidi inaweza nipa shida.
 
Lowassa Mwenyewe ni Jeneza Linalotembea, sasa atamtwanga nani au anataka kuwashakizia vijana wa kimachinga?
Invisible Maxence Melo
Kuruhusu ujinga kama huu umeua JF. No wonder watu wenye hekima siku hizi tumebaki wasomaji tu!
Kuna haja ya kurudisha heshima ya JF kabla mbadala hajapatikana.
Ni maoni yangu tu!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…