Mondoros
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 629
- 474
edward lowasa hatokuwa rais wa tanzania kwasababu....
1.hajui kabisa kutawala kwa kuongozwa na sheria, mara nyingi amekua akifanya kazi kwa misukumo ya marafiki zake na interest zake mwenyewe na ndio maana kila kona amekua akiiba na kuharibu kazi hata kutuingiza hasara kama taifa, nakutimua watu kazi hovyo hovyo kwasababu hawamtengei fedha za matumizi yake.
2. Hli yake kiafya ni mbaya sana hivyo kuongoza hatoweza kabisa, nchi inataka watu watakaotumia mda mwingi kupambana na shida za watu. Sasa lowasa na ugoigoi hatoweza mikikimikiki ya ikulu zaidi ya kutumia mda mwingi hospitalini.
3. Hana busara na mwono wa kitaifa, mpaka sasa lowasa amekata tamaa ya kuendelea na mchakato ila marafiki wake wenye nia mbaya na taifa wanazidi kumlazimisha kwa nguvu ili waje kujichotea mali za umma, hivyo anaendelea na kampeni ili aje kuwaachia rafiki zake mali za umma.
4.kampeni zake, nyingi za kampeni zake lowassa amekua asikiki nini anasema, kwa maana nyingine hana sera za msingi kwa watanzania, hivyo kuonyesha kuwa kimsingi hajajipanga kimantiki kuwa rais wa taifa tanzania.
5. Chuki na visasi, lowasa ni mtu wa chuki na visasi hivyo hatoweza kuongoza kwa usawa na uhuru wa watu kutoa maoni na kukosoa serikali. Mfano lowasa alibanwa na mh mangula miaka ya 2007 na mwaka 2008 akamchezea rafu kama sehemu ya kutekeleza visasi na kuendeleza chuki, pia baada ya makongoro kuwashughulikia 2008 lowassa akija kutekeleza chuki zake 2012 wakati makongoro anagombea uwenyekiti wa ccm mara.
say no to lowassa.........say no to lowassa....say no to lowassa!!!!!