"LOWASSA HASAFISHIKI" Ni moja ya vichwa vya habari vya gazeti la MwanaHalisi Toleo na 236 Jumatano, April 6, 2011. Saed Kubenea inabidi ajitokeze atupe afafanuzi kwanini Lowassa 2011 alikuwa hasafishiki na sasa CHADEMA wamepata wapi sabuni ya kumsafisha?
Magufuli ndiye anayehitaji kusafishwa maana bila kipengele cha uadilifu hajapiga kampeni bado hata hivyo ana makandokando ya kuhonga nyumba kwa kimada,
yan hawa jamaa waajabu sana tuhuma zote zilizojaa ccm hawazion wanaona tuhuma ya lowasa ambayo wao wenye dola wameshindwa mshitaki nyie mnatuambia nn sisi tunajua mchezo yenu sis na lowasa tu