Lowassa hakwepeki, bado anatamba CCM

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,137
17,908
Ukweli mchungu. Binafsi namchukia Edward Lowassa. Nilifarijika alipohamia upinzani-CHADEMA. Kwangu mimi,nilidhani kuhama kwa Lowassa kungekipa nafasi chama chetu cha CCM kujisafisha na kusonga mbele. Mimi,kwakuwa hakuna uwazi wa ukwasi wake,namchukulia Lowassa kama asiye msafi.

Lakini,Lowassa hakwepeki. Bado anairun CCM. Ni kupitia marafiki na wafuasi wake chamani ambao sasa ni mihimili. Kwasasa,nitatoa mifano miwili. Wa kwanza ni Andrew Chenge. Chenge ni moja wa mapacha watatu waliosemwa kuwa wangetimuliwa CCM. Wengine ni Lowassa na Rostam Aziz. Zoezi ĺa kuvua gamba likakwama.

Chenge na Lowassa ni marafiki wa ngazi ya ndugu wa damu kisiasa. Chenge amepitishwa na kuchaguliwa kwa kishindo kuwa Mwenyekiti wa Bunge. CCM inamwamini Chenge. Kumwamini Chenge ni kumwamini Lowassa. Chenge na Lowassa ni chanda na pete. Ndiyo kusema,Lowassa analiongoza Bunge kama Mwenyekiti kupitia kwa Chenge.

Kwa Wabunge,yupo Hussein Bashe wa Nzega Mjini. Wabunge wote wa CCM wanamwamini Bashe kama jembe ndani ya chama kwasasa. Anapozungumza hushangiliwa na kusikilizwa kwa makini. Bashe na Lowassa ni baba na mwana. Ndiyo kusema,Lowassa ametutengenezea jembe CCM. Bashe hajawahi wala hatawahi kumuacha mkono Lowassa.

Lowassa is unavoidable politician,he still runs the ruling party from outside. Mwenye masikio na asikie,mwenye macho na aone!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Pemba)
 
Ha ha ha ha kuna ka ukweli ndani yake. Hata Malipo Angela Kairuki alimuogopa kumugusa!!!
 
Ukweli mchungu. Binafsi namchukia Edward Lowassa. Nilifarijika alipohamia upinzani-CHADEMA. Kwangu mimi,nilidhani kuhama kwa Lowassa kungekipa nafasi chama chetu cha CCM kujisafisha na kusonga mbele. Mimi,kwakuwa hakuna uwazi wa ukwasi wake,namchukulia Lowassa kama asiye msafi.

Lakini,Lowassa hakwepeki. Bado anairun CCM. Ni kupitia marafiki na wafuasi wake chamani ambao sasa ni mihimili. Kwasasa,nitatoa mifano miwili. Wa kwanza ni Andrew Chenge. Chenge ni moja wa mapacha watatu waliosemwa kuwa wangetimuliwa CCM. Wengine ni Lowassa na Rostam Aziz. Zoezi ĺa kuvua gamba likakwama.

Chenge na Lowassa ni marafiki wa ngazi ya ndugu wa damu kisiasa. Chenge amepitishwa na kuchaguliwa kwa kishindo kuwa Mwenyekiti wa Bunge. CCM inamwamini Chenge. Kumwamini Chenge ni kumwamini Lowassa. Chenge na Lowassa ni chanda na pete. Ndiyo kusema,Lowassa analiongoza Bunge kama Mwenyekiti kupitia kwa Chenge.

Kwa Wabunge,yupo Hussein Bashe wa Nzega Mjini. Wabunge wote wa CCM wanamwamini Bashe kama jembe ndani ya chama kwasasa. Anapozungumza hushangiliwa na kusikilizwa kwa makini. Bashe na Lowassa ni baba na mwana. Ndiyo kusema,Lowassa ametutengenezea jembe CCM. Bashe hajawahi wala hatawahi kumuacha mkono Lowassa.

Lowassa is unavoidable politician,he still runs the ruling party from outside. Mwenye masikio na asikie,mwenye macho na aone!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Pemba)



Unaweza kuandika na kusema yote unayotaka lkn mwisho wa siku ukweli unabakia kuwa fisadi Lowasa hayuko CCM na aliondoka baada ya CCM kumkataa kwenda chadema na baadaye WatanZania kwa wingi wetu tukamkataa pia kwenye sanduku la kura huwo ndiyo ukweli na mengine yoote ni mipasho tu kama mipasho mingine, mwenye nchi sasa hivi ni Raisi Magufuli na ndiyo WatanZania wanayemuangalia na kumsikliza hawo wengine woote akina fisadi Lowasa & Co. wanajaribu tu kubakia relevant lkn hakuna hata mwenye ishu nao isipokuwa wafuasi wake wa chadema!
 
DAT I DA TRUTH OF TANZANIA POLITICAL LEGEND....
SIR.EDWARD LOWASSA


"THE II FATHER OF THE NATION"
 
Mkuu acha kuwatisha bana wana Lumumba si wanasema Lowasa kazi aliyonayo ni kuchunga Ng'ombe imekuaje tena yeye kuwazidi kete na yupo zake shambani huko ???
 
Ushabiki pembeni hoja ni ya akili na ina ukweli. Change kupewa nafasi ya Mwenyekiti wa Bunge ni sawasawa na Lowasa kuongoza nchi.Kwa kashfa zote za Chenge acha urafiki wao unawezaje kusema Change ni msafi zaidi ENL?
 
WILLAFRICA


Dunia nzima inajua Raisi wa JMTZ ni Dr.Pombe Magufuli hayo mengine yoote ni mipasho na kujifariji tu na kamwe haiwezi kubadilisha chochote!


Kila Mwafrika anayeshindwa hutafuta visingizio kumbuka, fisadi Lowasa alisema ameibiwa kura na ana ushahidi ambao alikuwa aupeleke Dunia nzima lkn mpaka leo hii Raisi anatimiza miezi mitatu hakuna ushahidi wowote ule aliyeutoa kuonyesha kwamba aliibiwa kura siyo kwetu WatanZania wala siyo kwa Dunia, hivyo kama nilivyosema maadamu hakuna ushahidi inabakia kuwa mipasho tu na maneno ya mfa maji!
 
Vutankuvute Zanzibar kuna wanamgambo wanajiita mazombi wanapiga RAIA hovyo, tafadhalini sana liangalieni hilo,
 
Kinacho nishangaza kwenye kampeni wamemsema Sana kuwa ni fisadi na wakichukua nchi jambo la kwanza ni kuunda mahakama ya mafisadi, lakini baada ya maghufuli kuingia Naona wamekaa kimya kama hawamwoni vile halafu cha kufurahisha mafisadi wengi mpaka sasa waliokatwa ni wale wa ccm
 
Ukweli mchungu. Binafsi namchukia Edward Lowassa. Nilifarijika alipohamia upinzani-CHADEMA. Kwangu mimi,nilidhani kuhama kwa Lowassa kungekipa nafasi chama chetu cha CCM kujisafisha na kusonga mbele. Mimi,kwakuwa hakuna uwazi wa ukwasi wake,namchukulia Lowassa kama asiye msafi.

Lakini,Lowassa hakwepeki. Bado anairun CCM. Ni kupitia marafiki na wafuasi wake chamani ambao sasa ni mihimili. Kwasasa,nitatoa mifano miwili. Wa kwanza ni Andrew Chenge. Chenge ni moja wa mapacha watatu waliosemwa kuwa wangetimuliwa CCM. Wengine ni Lowassa na Rostam Aziz. Zoezi ĺa kuvua gamba likakwama.

Chenge na Lowassa ni marafiki wa ngazi ya ndugu wa damu kisiasa. Chenge amepitishwa na kuchaguliwa kwa kishindo kuwa Mwenyekiti wa Bunge. CCM inamwamini Chenge. Kumwamini Chenge ni kumwamini Lowassa. Chenge na Lowassa ni chanda na pete. Ndiyo kusema,Lowassa analiongoza Bunge kama Mwenyekiti kupitia kwa Chenge.

Kwa Wabunge,yupo Hussein Bashe wa Nzega Mjini. Wabunge wote wa CCM wanamwamini Bashe kama jembe ndani ya chama kwasasa. Anapozungumza hushangiliwa na kusikilizwa kwa makini. Bashe na Lowassa ni baba na mwana. Ndiyo kusema,Lowassa ametutengenezea jembe CCM. Bashe hajawahi wala hatawahi kumuacha mkono Lowassa.

Lowassa is unavoidable politician,he still runs the ruling party from outside. Mwenye masikio na asikie,mwenye macho na aone!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Pemba)
Kama wewe ni ccm bathi ni zao jkn na ni rika la warioba wakosoaji wa kweli wa ccm. Kwa upande wa lowasa naona damu yake na yako haziendani kabsaa, na sio lazima upende kila mtu, kwa habari ya kukikosoa chama chako kinapokosea,,,japo kimevunda huwa uko makini kiasi
 
Vutankuvute Zanzibar kuna wanamgambo wanajiita mazombi wanapiga RAIA hovyo, tafadhalini sana liangalieni hilo,

Nimesikia wapo Unguja. Leo nitakuwa huko na kurejea Dar. Nitajionea. Pemba na Unguja bado zipo tulivu. Nilipopita Unguja kwa mara ya kwanza,juma lililopita,nilijionea.

Mzee Tupatupa
 
Urafiki wa sijui chanda na pete au wa damu una maana gani ikitokea una jambo lako hawakuungi Mkono tena wanatangaza hadharani kumuunga Mkono mpinzani wako!
Nzenga na Bariadi walimnyima kura Lowassa kwa Ushauri na Ushawishi wa Chenge na Bashe!
 
Ukweli mchungu. Binafsi namchukia Edward Lowassa. Nilifarijika alipohamia upinzani-CHADEMA. Kwangu mimi,nilidhani kuhama kwa Lowassa kungekipa nafasi chama chetu cha CCM kujisafisha na kusonga mbele. Mimi,kwakuwa hakuna uwazi wa ukwasi wake,namchukulia Lowassa kama asiye msafi.

Lakini,Lowassa hakwepeki. Bado anairun CCM. Ni kupitia marafiki na wafuasi wake chamani ambao sasa ni mihimili. Kwasasa,nitatoa mifano miwili. Wa kwanza ni Andrew Chenge. Chenge ni moja wa mapacha watatu waliosemwa kuwa wangetimuliwa CCM. Wengine ni Lowassa na Rostam Aziz. Zoezi ĺa kuvua gamba likakwama.

Chenge na Lowassa ni marafiki wa ngazi ya ndugu wa damu kisiasa. Chenge amepitishwa na kuchaguliwa kwa kishindo kuwa Mwenyekiti wa Bunge. CCM inamwamini Chenge. Kumwamini Chenge ni kumwamini Lowassa. Chenge na Lowassa ni chanda na pete. Ndiyo kusema,Lowassa analiongoza Bunge kama Mwenyekiti kupitia kwa Chenge.

Kwa Wabunge,yupo Hussein Bashe wa Nzega Mjini. Wabunge wote wa CCM wanamwamini Bashe kama jembe ndani ya chama kwasasa. Anapozungumza hushangiliwa na kusikilizwa kwa makini. Bashe na Lowassa ni baba na mwana. Ndiyo kusema,Lowassa ametutengenezea jembe CCM. Bashe hajawahi wala hatawahi kumuacha mkono Lowassa.

Lowassa is unavoidable politician,he still runs the ruling party from outside. Mwenye masikio na asikie,mwenye macho na aone!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Pemba)
UKWELI MTUPU MZEE TUPATUPA
 
D
Ushabiki pembeni hoja ni ya akili na ina ukweli. Change kupewa nafasi ya Mwenyekiti wa Bunge ni sawasawa na Lowasa kuongoza nchi.Kwa kashfa zote za Chenge acha urafiki wao unawezaje kusema Change ni msafi zaidi ENL?
Duuuu hakika mnajirusha roho bure. If words could kill.
 
Kwa rungu la uenyekiti aliopewa sijui atampondaje Nape aliyezunguka Nchi nzima akimwita gamba...........
 
Back
Top Bottom