Lowassa for CHADEMA, mpokeeni

Hey!
CHADEMA ninyi ni wanaharakati na waalimu wazuri nawashauri jambo moja gumu,
pamoja na kuchafuliwa kisiasa babu yetu Lowasa fanyeni mpango mumpe offa ya kadi, atawasaidia sana maana pamoja na mchango wake huko kijiwe cha CCM wamememnyima heshima yake kwaualimu wenu mumfundishe uzalendo na jinsi yakutumikia taifa na kuirejesha heshima yake kisha mumpe wajibu na majukumu. Maana kazi kubwa ya wanaharakati ni kuleta mabadiliko katika mambo mbalimbali. Go ahead CHADEM WAR FRONT, CCM WILL FOLLOW!

Akienda, watamchukua tuu, kwani yeye sio mtanzania.
Ila atafuata taratibu zao, kama issue ya richmond itakuwa haijakamilika,
sababu inajulikana kwamba na yeye alikuwa ni kiungo, atalazimika kusema kweli,
maisha yanaendelea
 
Alienda Nigeria kusafishwa eti kwa kuwa rais wa Ghana alienda huko akapata Urais ila sijuhi kama EL ametakasika.
 
kweli cdm ni wapumbavu ss hv mnataka lowasa fisadi ilihali nyie mnapinga ufisadi.tatizo lenu cdm nyie ni ma opportunist hilo ndo linalowasumbua na nawaambia watanzania hawatokaa waiweke cdm madarakani labda wote tuwe wendawazimu km nyie.
We mkali, acha ujinga! Kwa akili zako unajua aliyetoa mada ni mchadema! Lazima uelewe unafiki wa paka mchafu. Anajaribu kuipamba Cdm kiunafiki. Mbona hajawasema kina 6? Mtoa mada ni Magamba ka' wewe.
 
chuma hukunjwa kingali cha moto..kikishapoa hakikunjiki tena kwa urahisi.
Ni nahau tuu..lakini nadhani ina maana yake
 
Hatoki ccm huyo kwa sb maovu alofanya walishirikiana wengi,hawawezi kumtoa sadaka,ikibidi kuondoka atafufua ccj
 
Hey!
CHADEMA ninyi ni wanaharakati na waalimu wazuri nawashauri jambo moja gumu,
pamoja na kuchafuliwa kisiasa babu yetu Lowasa fanyeni mpango mumpe offa ya kadi, atawasaidia sana maana pamoja na mchango wake huko kijiwe cha CCM wamememnyima heshima yake kwaualimu wenu mumfundishe uzalendo na jinsi yakutumikia taifa na kuirejesha heshima yake kisha mumpe wajibu na majukumu. Maana kazi kubwa ya wanaharakati ni kuleta mabadiliko katika mambo mbalimbali. Go ahead CHADEM WAR FRONT, CCM WILL FOLLOW!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom