Taifa_Kwanza
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 443
- 86
Hey!
CHADEMA ninyi ni wanaharakati na waalimu wazuri nawashauri jambo moja gumu,
pamoja na kuchafuliwa kisiasa babu yetu Lowasa fanyeni mpango mumpe offa ya kadi, atawasaidia sana maana pamoja na mchango wake huko kijiwe cha CCM wamememnyima heshima yake kwaualimu wenu mumfundishe uzalendo na jinsi yakutumikia taifa na kuirejesha heshima yake kisha mumpe wajibu na majukumu. Maana kazi kubwa ya wanaharakati ni kuleta mabadiliko katika mambo mbalimbali. Go ahead CHADEM WAR FRONT, CCM WILL FOLLOW!
Akienda, watamchukua tuu, kwani yeye sio mtanzania.
Ila atafuata taratibu zao, kama issue ya richmond itakuwa haijakamilika,
sababu inajulikana kwamba na yeye alikuwa ni kiungo, atalazimika kusema kweli,
maisha yanaendelea