Lowassa azomewa na wanachama wa CHADEMA

Watz kama mazezeta kwa kupenda umasikini.
 

ha ha ha ha! mbona utakoma mwenyewe na upashikuna wako!
 
Wakazi hao wanajitambua ndio sababu kazomewa.
 
Acha uongo watu wamekesha na tukio limefanyika karibu kabisa na Depot ninayofanyia kazi na kuna watu wamekesha kumsubiri..Magufuli ndo amezoea kuzomewa..Na october atajulikana huyo mwenye richmond..
 

Kwa uzushi huu nakufananisha na chizi mmoja hapo Morogoro,yeye anakunya halafu akimaliza anakula kinyesi chake mwenyewe.Pia ni bingwa wa kujitekenya na kucheka yeye mwenyewe.Nakuomba ukakojoe halafu ukalale.Kesho uwaambie waliokutuma kuwa cd imebuma.
 
waondoke chamani na wao, kitu kikikukera unaachana nacho,kama alivyofanya dr wao
 
Mifuasi ya CCM ndivyo ilivyo, kuna na lile janaume linaloojiita FaizaFoxy

Nyie Watu Vipi Kwani Hili Jukwaa Wanawake Hawaruhusiwi?Kwahyo Na Sisi Tuseme Wote Wenye Id Za Kike Wanaoshabikia Ukawa Nao Ni Madume!
 
Last edited by a moderator:
Kiporo cha pombe kinakusumbua kichwani
 

we bado mdogo kwa nini utumike
 

Ha ha uliona majadiliano kumbe mkuu, waoga haooo
 
Zikipostiwa mnazifuta sote tunajua mnafanya editing ya nguvu lakini moderator hatazuiya KURA kwa mangufuli .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…