mchambuzixx
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,292
- 946
Huyu mgombea kila anapooneka ni hatarii, leo tena wakati anatoka gold crest hotel Mwanza kuelekea karagwe kwenye mkutano, hoteli ilikuwa imezungukwa na umati wa watu wengine wakiwa barabarani.
Kwa sasa ndio anasepa kuelekea airpot kupanda chopa kuelekea Karagwe kufanya mkutano kayanga mida ya saa 6.30 mchana.
Kwa sasa ndio anasepa kuelekea airpot kupanda chopa kuelekea Karagwe kufanya mkutano kayanga mida ya saa 6.30 mchana.