Huna facts! Je JK kuwapa waislam wizara zote muhimu ktk nchi nalo unalionaje?is bitten,by taking wrong truck,has bad wish to our nation focing 2be forgiven and cleansed by using RED,DIRTY ,CORRUPTED MONEY,at least if he could help widows,clippled,oldest people and those unable 4 its there stolen taxes,insteed of helping churches especialy kkkt,he is creating reliogious segregation.
Wakati serikali ya J.K ipo bize kujibu hoja za Madaktari zitokanazo na Mgomo wa madaktari ambazo zinaonekana kukosa suruhisho kutoka pande zote. Mh. Lowassa anazidi kusonga mbele na kujijenga kisiasa zaid na zaid na kuimarisha mbio zake za Ikulu 2015, Jana kaongoza harambee iliyoipatia Kanisa sh. 204 milions zaidi ya 114 milion iliyokadiliwa awali. KWELI HUYU BABA ANAROHO NGUMU!
Wakati serikali ya J.K ipo bize kujibu hoja za Madaktari zitokanazo na Mgomo wa madaktari ambazo zinaonekana kukosa suruhisho kutoka pande zote. Mh. Lowassa anazidi kusonga mbele na kujijenga kisiasa zaid na zaid na kuimarisha mbio zake za Ikulu 2015, Jana kaongoza harambee iliyoipatia Kanisa sh. 204 milions zaidi ya 114 milion iliyokadiliwa awali. KWELI HUYU BABA ANAROHO NGUMU!
Kwa kuwa wewe ni idiot sina haja ya kukuelezea zaidi!Cha mlevi huliwa na mgema,waache watu wa makanisa angalau wale hela ya jasho lao,mialiko haitaisha mpaka hela yetu iishe ,nawapa pole wenzangu waislamu hiyo hela ya bure mbona hawaichangamukii,jamani waislamu tumieni fursa ya hizo harambee kama wakristo wanavyoiutumia msiogope hiyo ni hela yetu sote,jamaa kaishika tu.Hata mie naanzisha kakanisa kangu halafu nitamualika mjiuzuru kwenye harambee heh hehehhhhhhh
Mimi naona anajijenga kidini si kisiasa!!kwani 2015 kanisa ndiyo litatoa rais??huu upendo wa ghafla kwenye makanisa umetoka wapi??kama ameokoka kwanini asitangaze rasmi??ni wokovu gani huu wa kutoa pesa tu??akae akijua kuwa atacheza na makanisa lakini kamwe hawezi kucheza na mungu dhamira yake itakuwa wazi mbele za mungu.
Sidhani kama anafanya vibaya kuwarudishia wananchi tone kwa njia ya harambe kati ya pesa zao aliwaibia.Nasikia jana kafanya mambo kkT
Wakati serikali ya J.K ipo bize kujibu hoja za Madaktari zitokanazo na Mgomo wa madaktari ambazo zinaonekana kukosa suruhisho kutoka pande zote. Mh. Lowassa anazidi kusonga mbele na kujijenga kisiasa zaid na zaid na kuimarisha mbio zake za Ikulu 2015, Jana kaongoza harambee iliyoipatia Kanisa sh. 204 milions zaidi ya 114 milion iliyokadiliwa awali. KWELI HUYU BABA ANAROHO NGUMU!
Naona mkuu uko nao bize, ng'adu kwa ng'adu, wakibandika wewe umebandua ! Vp kandarasi yako inaisha 2015 ? ................daaah ! Wamekuambia hamna kutoka JF ! Ukienda chooni unampa mtu akushikiie !Kwa kuwa wewe ni idiot sina haja ya kukuelezea zaidi!
hiyo cyo roho ngumu. ni roho mbaya.Wakati serikali ya J.K ipo bize kujibu hoja za Madaktari zitokanazo na Mgomo wa madaktari ambazo zinaonekana kukosa suruhisho kutoka pande zote. Mh. Lowassa anazidi kusonga mbele na kujijenga kisiasa zaid na zaid na kuimarisha mbio zake za Ikulu 2015, Jana kaongoza harambee iliyoipatia Kanisa sh. 204 milions zaidi ya 114 milion iliyokadiliwa awali. KWELI HUYU BABA ANAROHO NGUMU!
Naona mkuu uko nao bize, ng'adu kwa ng'adu, wakibandika wewe umebandua ! Vp kandarasi yako inaisha 2015 ? ................daaah ! Wamekuambia hamna kutoka JF ! Ukienda chooni unampa mtu akushikiie !
Jamani mimi mwenzenu ni mbumbumbu katika hili na ninaomba kuelimishwa. Hivi uchaguzi huo wa 2015 ni wa kumchagua askofu au rais. Na kama ni uchaguzi wa urais, kuna sheria iliyopitishwa kwamba wapiga kura watakuwa ni wa dhehebu moja tu? Hivi kuchangisha makanisani na kuwaacha wahitaji wakubwa wa misaada kama wale waathirika wa mafuriko kutatoa mafanikio gani ya kisiasa. Kama ni utakaso wa fedha haramu basi utakaso bila toba ni bure! Haya msioitakia mema nchi yetu endeleeni kushangilia lakini kwa wenye akili zao wanajua kwamba this is a wasted effort!