singidadodoma
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,394
- 1,538
Mtatumia sana media na hazitawasaidia. Isue sio Lowassa, ni mabadiliko na hayaepukiki!
Namuhurumia sana Magufuli.
Wewe hujitambui. Issue sio Lowasa? Kwa hiyo mabadiliko yatasimamiwa na nani? Usiwe kama mjinga! Gari bila dereva lnaweza kwenda lenyewe sio, ndio unamaanisha.! Na kama haliwezi jiendesha huyu mtu unayetaka kumkabidhi nchi ana maadili gani? Ana uaminifu gani? Hivi ukimtazama machoni utaona sura ya uaminifu kweli? ? Au ufisadi mtupu. Tena afadhali angekuwa mwenyewe kidoogo ungeweza sema potelea mbali, lakini hilo group lake huko nyuma ungelifahamu usingesema. Mnataka kuuza hii nchi? ? Acheni ujinga!Mtatumia sana media na hazitawasaidia. Isue sio Lowassa, ni mabadiliko na hayaepukiki!
Lowasa anamambo ya kihuni sana lakini mwaka huu atapata aibu sana maana mpaka sasa anatia aibu kila kukicha anadhani pesa zake za ufisadi zingempatia urais.
Lowasa kwa ufisadi aliofanya anatakiwa kuwa gerezani tu hakuna njia ya nyingine mtu aliyeibia watanzania kwa kiasi kikubwa vile.
Lowasa kwa ufisadi aliofanya anatakiwa kuwa gerezani tu hakuna njia ya nyingine mtu aliyeibia watanzania kwa kiasi kikubwa vile.
Lowasa kwa ufisadi aliofanya anatakiwa kuwa gerezani tu hakuna njia ya nyingine mtu aliyeibia watanzania kwa kiasi kikubwa vile.
Gazeti lenyewe mkakati.