Lowassa aumbuka

Lowassa aumbuka

Lowasa kwa ufisadi aliofanya anatakiwa kuwa gerezani tu hakuna njia ya nyingine mtu aliyeibia watanzania kwa kiasi kikubwa vile.

kosa hamkumpeleka gerezani hapo ndio mlipotuuzi wananchi kulea wezi, sasa wanawageuka hao wezi kuwa shubiri, mtajua tu mwaka huu hata ukimbilie wapi report zinafika hahaaaaaaa:bounce:
 
Ninaomba muelewe issue siyo lowasa watu wanatamani mabadiliko kuona ccm inakufa na hii familia inaondoka.

asante sana kwa kutambua hilo.
 
Lowasa anamambo ya kihuni sana lakini mwaka huu atapata aibu sana maana mpaka sasa anatia aibu kila kukicha anadhani pesa zake za ufisadi zingempatia urais.

Geita kashindwa kuongea, mtera alizomewa, chamwino hata watu 500 hawakufika mkutanoni.....ngoja tusubiri atoke Ujerumani tuone anavyoendeshaje kampeni
 
DSC00485.jpg
Sisi mambumbumbu, malofa na wapumbavu, tutajisadia sana barabarani ili kuwe na lami, tutapiga sana mbizi kigamboni ili tuvuke bure na hayo yote tutayafanya ili LOWASSA awe raisi pale ifikapo Octoba 2015............
 
Back
Top Bottom