mwambadog
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 1,736
- 1,446
Lowasa kwa ufisadi aliofanya anatakiwa kuwa gerezani tu hakuna njia ya nyingine mtu aliyeibia watanzania kwa kiasi kikubwa vile.
kosa hamkumpeleka gerezani hapo ndio mlipotuuzi wananchi kulea wezi, sasa wanawageuka hao wezi kuwa shubiri, mtajua tu mwaka huu hata ukimbilie wapi report zinafika hahaaaaaaa:bounce: