Lowassa aumbuka Pemba

Marco Polo

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
13,210
Reaction score
20,954
Huyu mzee kadri mda unavyosonga mbele naona hali yake inazid kuwa mbaya... Ni pale akiwa kisiwani Pemba alipotamka *BODA BODA WOTE NITAWAWATETEA * ikabidi wananchi wamshtue kwa kumwambia mzee Pemba hamna boda boda.... Ikambidi aombe radhi na kuendelea na mambo mengine.... Kukariri Kubaya jaman.
 
Mzee anasinzia, na kuna jamaa yangu kanambia leo alichelewa kidogo kuchomwa ikaleta shida.
 
Huyu mzee kadri mda unavyosonga mbele naona hali yake inazid kuwa mbaya... Ni pale akiwa kisiwani Pemba alipotamka *BODA BODA WOTE NITAWAWATETEA * ikabidi wananchi wamshtue kwa kumwambia mzee Pemba hamna boda boda.
Umesahau na ya Magufuli kusema atawafunga mafisadi wote bila kujua kumbe Kikwete na Mkapa ni mafisadi.
 
mleta uzi ana hajielewi...bodaboda ni ishu ya kitaifa anaweza usemea popote Tanzania...hovyooo
 
Mleta mada ni majanga plus.inaonyesha shule za msingi hazikukusaidia kitu kwa iyo jaribu na private labda utaengeza uwezo wa kufikiri
 
Huyu mzee kadri mda unavyosonga mbele naona hali yake inazid kuwa mbaya... Ni pale akiwa kisiwani Pemba alipotamka *BODA BODA WOTE NITAWAWATETEA * ikabidi wananchi wamshtue kwa kumwambia mzee Pemba hamna boda boda.
Kaka in majina tu..Zanzibar kuna vespa za kufa MTU na zinapiga business kama kawa.

Hata hivyo ukilinganisha na ya magufuli hiyo ni cha mtoto. Magufuli akihutubia aliwambia wananchi kuwa atawajengea madaraja..wakamwambia hapa mbona hakuna mito....akadakia hata mito nitawaletea.
 
Huyu mzee kadri mda unavyosonga mbele naona hali yake inazid kuwa mbaya... Ni pale akiwa kisiwani Pemba alipotamka *BODA BODA WOTE NITAWAWATETEA * ikabidi wananchi wamshtue kwa kumwambia mzee Pemba hamna boda boda.

mkuu hv kile kitengo cha IT bado kipo masaki au mmerudi lumumba coz nasikia mwenye nyumba wenu kaamia peoples
 
Hizi mbumba zilikuwa zinafanya kazi wakati hakuna njia za mawasiliano siku hizi kila mtu anatazama hotuba uongo hauna nafasi...CCM OUT
 
Una akili fupi sana, zanzibar ni sehemu ya muungano. He have to speak national matters sio ishu za jikoni kama akina magufuli kusonga ugali!

Sasa mm ndio nilikuwepo mkutanoni hapo nime edit tu.. Alikuwa akizungumzia boda boda upande wa Pemba... Mzee anatia huruma kwa kweli.
 
Teteteh sadam ni walibya mwaka huu tutajionea mambo kutapatapa El mbele kwa mbele
 

Nahisi hujawahi hata kufika Zanzibar ww.... Kwa taarifa yako hakuna vesper zinazofanya biashara Zenj.... Tatzo Lowasa amezidi kukariri, hadi sera mmmh! Majanga kwa kweli
 
marco polo acha undorobo. lowassa anapokwenda kuomba kura anaongelea nchi nzima ya tanzania. bodaboda kama hakuna pemba ziko unguja na zinaitwa vipando. hivyo hajaumbuka ila wewe ndiye uliyeumbuka baada ya kuona umati wa watu kinyume na ulivyotarajia
Huyu mzee kadri mda unavyosonga mbele naona hali yake inazid kuwa mbaya... Ni pale akiwa kisiwani Pemba alipotamka *BODA BODA WOTE NITAWAWATETEA * ikabidi wananchi wamshtue kwa kumwambia mzee Pemba hamna boda boda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…