Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,042
- 134,330
Lowassa ameshtushwa na taarifa hizi. Gazeti la Nipashe limemnukuu mgombea wa urais wa CHADEMA akiumizwa na vifo vya mahujaji huko Maka.Lowassa ameumia na taarifa na kutoa pole kwa waislam wote duniani.
"Ni jana tu nimetoa salama za EID nikiwatakia waislam sikukuu njema, habari zimenishtua" amenukuliwa mgombea huyo.
"Ni jana tu nimetoa salama za EID nikiwatakia waislam sikukuu njema, habari zimenishtua" amenukuliwa mgombea huyo.