Lowassa atoa mpya..............

Lowassa atoa mpya..............

huyu anachosema ni kwakuwa anawasiwasi machafuko yakitokea AR vitegauchumi vyake vitateketea
 
Lowassa awaonya vigogo wanaojali matumbo yao


na Violet Tillya, Arusha


amka2.gif
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, ametoa wito kwa wabunge na madiwani waliochaguliwa katika uchaguzi mkuu uliopita kuhakikisha wanafanya kila liwezekanalo kubadilisha hali ya maisha ya wananchi wao kiuchumi. Kadhalika amewataka viongozi hao kuweka kipaumbele katika kujali matumbo ya wapigakura wao ikiwa ni pamoja na kuweka utaratibu mzuri wa kuwakopesha ili waweze kuanzisha miradi ya kujikwamua kiuchumi kutokana na ugumu wa maisha unaowakabili wananchi wengi hapa nchini.
Lowassa aliyasema hayo mwishoni mwa wiki katika kijiji cha Manyire, Kata ya Mlangarini, wilayani Arumeru alipokuwa akizungumza katika sherehe za kuwapongeza na kuwashukuru wananchi wa kata hiyo kwa kumchagua diwani wao Mathias Manga (CCM).
"Wakati umefika kwa viongozi katika maeneo mbalimbali hapa nchini kubadilika na kuacha tabia na mazoea ya kujinufaisha wao wenyewe na familia na jamaa zao na kuhakikisha kuwa wanajikita zaidi kuwatumikia wananchi hususan kujali wanakula nini"� alisema Lowassa.
Pia alitumia fursa hiyo kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa uamuzi wake wa kukubali mabadiliko ya Katiba na kutoa wito kwa wananchi kuhakikisha kuwa wakati ukifika wajitokeze kwa wingi kutoa maoni yao.

Strategies za huyu Bwana mkubwa katika kuuteka umma ni kali sana.
Ipo siku atautambia kuwa yeye siyo fisadi kama anavyo tuhumiwa, hayo yalimpata akiwa katika kutii maagizo ya Mkuu wake. Ndiyo maana Mkuu wake alisema hiyo ni "Ajali ya Kisiasa". Huenda baadae huyu Mzee akauomba hata huo ukuu ili arekebishe hayo anayoyaona. Na akiupata huenda wakaanza kurekebishana Kama Mwanawasa na Chiluba kule zambia!

Lakini pia tusijisahau sana Bob Marley aliwahi kuneena ya kuwa
"Rafiki yako mkuu aweza kugeuka na kuwa adui yako mkuu huku Adui yako mkuu akigeuka na kuwa Rafiki yako Mkuu"


 
Issue si wanafungwa au hawafungwi.....kilichomshangaza mtoa mada ni Lowassa pamoja na vile tunamvomfahamu kunyooshea wenzie kidole...wakati ye hafanyi hivyo ndo ni kasema hiyo inawezekana na inafanyika kwamba mtu hajiangalii yeye ila ana guts za kumnyooshea mwenzie kidole.......as simple as that.
 
wabongo tunajidharaulisha wenyewe.yo know what.! Huyu jamaa hakustahili hata kujitokeza publicly. Nchi hii n kama tumerogwa.
 
Amesahau jambo moja, anadhani ukiwa mbunge au Diwani tayari ni tajiri ( kama Marekani) kwahivyo unaweza kuwakopesha wapigakura wako. NYAMBAF!!!!!!!!!!!!!!
 
'' By the time a man is wise enough to watch his step,he is to old to anywhere'' :redfaces::redfaces:
 
Lowassa awaonya vigogo wanaojali matumbo yao


na Violet Tillya, Arusha


amka2.gif
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, ametoa wito kwa wabunge na madiwani waliochaguliwa katika uchaguzi mkuu uliopita kuhakikisha wanafanya kila liwezekanalo kubadilisha hali ya maisha ya wananchi wao kiuchumi. Kadhalika amewataka viongozi hao kuweka kipaumbele katika kujali matumbo ya wapigakura wao ikiwa ni pamoja na kuweka utaratibu mzuri wa kuwakopesha ili waweze kuanzisha miradi ya kujikwamua kiuchumi kutokana na ugumu wa maisha unaowakabili wananchi wengi hapa nchini.
Lowassa aliyasema hayo mwishoni mwa wiki katika kijiji cha Manyire, Kata ya Mlangarini, wilayani Arumeru alipokuwa akizungumza katika sherehe za kuwapongeza na kuwashukuru wananchi wa kata hiyo kwa kumchagua diwani wao Mathias Manga (CCM).
"Wakati umefika kwa viongozi katika maeneo mbalimbali hapa nchini kubadilika na kuacha tabia na mazoea ya kujinufaisha wao wenyewe na familia na jamaa zao na kuhakikisha kuwa wanajikita zaidi kuwatumikia wananchi hususan kujali wanakula nini"� alisema Lowassa.
Pia alitumia fursa hiyo kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa uamuzi wake wa kukubali mabadiliko ya Katiba na kutoa wito kwa wananchi kuhakikisha kuwa wakati ukifika wajitokeze kwa wingi kutoa maoni yao.


Mhhhhhh! Juhudi za kuingia Ikulu 2015 zimeanza mapema mno! yetu siye macho.

 
TZ NEC Marathon......................................................2015
 
Lowassa awaonya vigogo wanaojali matumbo yao


na Violet Tillya, Arusha


amka2.gif
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, ametoa wito kwa wabunge na madiwani waliochaguliwa katika uchaguzi mkuu uliopita kuhakikisha wanafanya kila liwezekanalo kubadilisha hali ya maisha ya wananchi wao kiuchumi. Kadhalika amewataka viongozi hao kuweka kipaumbele katika kujali matumbo ya wapigakura wao ikiwa ni pamoja na kuweka utaratibu mzuri wa kuwakopesha ili waweze kuanzisha miradi ya kujikwamua kiuchumi kutokana na ugumu wa maisha unaowakabili wananchi wengi hapa nchini.
Lowassa aliyasema hayo mwishoni mwa wiki katika kijiji cha Manyire, Kata ya Mlangarini, wilayani Arumeru alipokuwa akizungumza katika sherehe za kuwapongeza na kuwashukuru wananchi wa kata hiyo kwa kumchagua diwani wao Mathias Manga (CCM).
"Wakati umefika kwa viongozi katika maeneo mbalimbali hapa nchini kubadilika na kuacha tabia na mazoea ya kujinufaisha wao wenyewe na familia na jamaa zao na kuhakikisha kuwa wanajikita zaidi kuwatumikia wananchi hususan kujali wanakula nini"� alisema Lowassa.
Pia alitumia fursa hiyo kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa uamuzi wake wa kukubali mabadiliko ya Katiba na kutoa wito kwa wananchi kuhakikisha kuwa wakati ukifika wajitokeze kwa wingi kutoa maoni yao.

the motherf.u.c.k.er is playing poltics of 2015
 
Back
Top Bottom