Lowassa atazidi kukatwa

Lowassa atazidi kukatwa

Kwa sasa anajuta ni kwa nini alikimbia chama. Magufuli hakikisha katika uongozi wako huyu mzee anarudisha feza za walipa kodi alizopokonya.
 
Moderator futa hii thread haina maana.Fanya fasta kama unavyofanya nyingine
 
kuanzisha uzi hapa jf uzi unatakiwa uwe katika kiwango kipi??
Tangu nijiunge jf sijawahi ona uzi wa ovyo kiasi hiki.
 
kuanzisha uzi hapa jf uzi unatakiwa uwe katika kiwango kipi??
Tangu nijiunge jf sijawahi ona uzi wa ovyo kiasi hiki.

Nikweli, mtoa huu uzi anaota, akishtuka kutoka usingizini hata yeye atajishangaa imekuwaje kaandika kitu cha ovyo ovyooo hivyo.
 
Subiri tukishamuapisha Magufuli uone kama Lowassa hajaomba msamaha na kusema sasa hatojihusisha tena na siasa ili apate huruma ya kufikishwa mahakamani.

Lowassa katangaza wenye ushahidi wapeleke mahakamani. Na hilo litafanyika.

Mali za wananchi alizoiba zitajulikana na zitarudi kwa wananchi. Mtakuja kunambia.
 
Na kweli, namsubiria kwa ham na kichinjio changu
 
Panga litakata kotekote hadi kwa madiwani na wabunge sio tu kwa mzee wenu, this time mtaisoma namba.
 
Subiri tukishamuapisha Magufuli uone kama Lowassa hajaomba msamaha na kusema sasa hatojihusisha tena na siasa ili apate huruma ya kufikishwa mahakamani.

Lowassa katangaza wenye ushahidi wapeleke mahakamani. Na hilo litafanyika.

Mali za wananchi alizoiba zitajulikana na zitarudi kwa wananchi. Mtakuja kunambia.

Dada yaani katika urais wake wote Magufuli akiuchapa usingizi akafanya hili tu, ataingia katika historia na kupendwa sana!
Hakuna kiongozi mwenye dhamana kubwa aliyeiba na kupora mali hususan ardhi lakini pia kupiga dili kila mkataba wa wizara aliyokuwepo au aliyoisikia mjini kama Lowassa. Na juu ya yote hakuna kiongozi arrogant kama Lowassa ndiyo maana anajiona hakuna wa kumzidi.
Sasa mwisho wake umefika. The day of reckoning!
 
Mzee mgonjwa, mwizi afu bado mnamtetea, njaa mbaya sana tafuteni kazi nyingine.

ugonjwa wa mtu huna mamlaka wa kuuongelea, mbona hujiulizi huyo mgombea wenu alifuata nini kule loliondo kwa babu?
 
Huu uzi unachangiwa na wachangiaji wa kujirudiarudia ni dalili za panic na looks like wawili kati yao ni mtu mmoja
 
Mzee mgonjwa, mwizi afu bado mnamtetea, njaa mbaya sana tafuteni kazi nyingine.
Kaoshe Makalio yako #@$ typ, muulize mgombea wako kwann alienda loliondo kwa babu aka mzee wa viko mbe.
Ma...ku weee
 
ugonjwa wa mtu huna mamlaka wa kuuongelea, mbona hujiulizi huyo mgombea wenu alifuata nini kule loliondo kwa babu?

Kumbuka kuwa huyo mtu anagombea urais. Tuna kila haki ya kumuelewa na kumzungumzia na ndiyo maana anasaidiwa kupanda majukwaani ili aongee na wapiga kura.

Tunataka mdahalo Lowassa na Magufuli live.

#HapaKaziTu
 
Subiri tukishamuapisha Magufuli uone kama Lowassa hajaomba msamaha na kusema sasa hatojihusisha tena na siasa ili apate huruma ya kufikishwa mahakamani.

Lowassa katangaza wenye ushahidi wapeleke mahakamani. Na hilo litafanyika.

Mali za wananchi alizoiba zitajulikana na zitarudi kwa wananchi. Mtakuja kunambia.

Wiki moja iliyopita uvvccm walisema wamefanya utafiti mgombea wao anakubalika wa 85%

leo January Makamba anasema mgombea huyo huyo kwa utafiti walio ufanya anakubalika kwa 69%

kama kigezo ndo utafiti huo ndani ya wiki ameshuka 19%

Je kufikia oct 25 January kwa trend hii si atasema amehamia ukawa hahaha magamba yanajifarijiii mwka huu
 
Back
Top Bottom