Lowassa atazidi kukatwa

Lowassa atazidi kukatwa

Watakatwa sana tu kuanzia wabunge na madiwani
 
Ikumbukwe CCM ilimktata 1995, Amekatwa tena mwka 2015 na atakatwa tena October 25, Kama alivokuwa akiwakata Wengine. Muosha Huoshwa! Tulia Uoshwe.

Yaani title kuuubwa halafu umeandika huu upuuzi?
 
Ni zaidi ya kukatwa,wanainchi watamkata zaidi
 
Subiri tukishamuapisha Magufuli uone kama Lowassa hajaomba msamaha na kusema sasa hatojihusisha tena na siasa ili apate huruma ya kufikishwa mahakamani.

Lowassa katangaza wenye ushahidi wapeleke mahakamani. Na hilo litafanyika.

Mali za wananchi alizoiba zitajulikana na zitarudi kwa wananchi. Mtakuja kunambia.

Mfia gamba
 
Ikumbukwe CCM ilimktata 1995, Amekatwa tena mwka 2015 na atakatwa tena October 25, Kama alivokuwa akiwakata Wengine. Muosha Huoshwa! Tulia Uoshwe.

Weye ndio wakatwa,,,na wakalia kigogo mtaaa wa nyuma shekhe.
 
Lazima tuumkate tenah October na tutazidi kumkata
 
Subiri tukishamuapisha Magufuli uone kama Lowassa hajaomba msamaha na kusema sasa hatojihusisha tena na siasa ili apate huruma ya kufikishwa mahakamani.

Lowassa katangaza wenye ushahidi wapeleke mahakamani. Na hilo litafanyika.

Mali za wananchi alizoiba zitajulikana na zitarudi kwa wananchi. Mtakuja kunambia.

Escrow. Viva Roma viva.


swissme
 
Kwa sasa anajuta ni kwa nini alikimbia chama. Magufuli hakikisha katika uongozi wako huyu mzee anarudisha feza za walipa kodi alizopokonya.

kaa ukijta kumgusa E.L kuhusu ufisadi ni sawa na kukizika chama cha mapinduzi.maana mpaka mgombea wenu itabidi anyongwe pamoja na mwenyekiti wenu wa chama.
 

Attachments

  • 1442485192963.jpg
    1442485192963.jpg
    16.2 KB · Views: 164
kaa ukijta kumgusa E.L kuhusu ufisadi ni sawa na kukizika chama cha mapinduzi.maana mpaka mgombea wenu itabidi anyongwe pamoja na mwenyekiti wenu wa chama.

Acha kuhangaika wewe, mzee wenu lazima akaungane na akina Mramba muda si mrefu.
 
Ikumbukwe CCM ilimktata 1995, Amekatwa tena mwka 2015 na atakatwa tena October 25, Kama alivokuwa akiwakata Wengine. Muosha Huoshwa! Tulia Uoshwe.

Ni mtindo wa kukatwa hakuna jinsi.
 
Ikumbukwe CCM ilimktata 1995, Amekatwa tena mwka 2015 na atakatwa tena October 25, Kama alivokuwa akiwakata Wengine. Muosha Huoshwa! Tulia Uoshwe.

Haaaaaaah na October 25 atakatwa tena
 
Kwa sasa anajuta ni kwa nini alikimbia chama. Magufuli hakikisha katika uongozi wako huyu mzee anarudisha feza za walipa kodi alizopokonya.

Lowasa Ana nyota ya mkasi
Alikatwa na nyerere
Akakatwa na kamati ya maadili
Na sasa October atakatwa na wananchi wote
 
Dada yaani katika urais wake wote Magufuli akiuchapa usingizi akafanya hili tu, ataingia katika historia na kupendwa sana!
Hakuna kiongozi mwenye dhamana kubwa aliyeiba na kupora mali hususan ardhi lakini pia kupiga dili kila mkataba wa wizara aliyokuwepo au aliyoisikia mjini kama Lowassa. Na juu ya yote hakuna kiongozi arrogant kama Lowassa ndiyo maana anajiona hakuna wa kumzidi.
Sasa mwisho wake umefika. The day of reckoning!

Uko sawa kabisa
Mwisho wa maigizo na figisu zote n week tatu zijazo

Na magufuli anaapishwa siku yake ya kuzaliwa hapo oktoba
 
Back
Top Bottom