Ushashinda lowasa zanzibar ushapata kura zote cjui huku watu wasikojielewa mpaka leo ccm ccm ***** iondoke tuu yaan naichukia kwel mpaka leo cmilki 100 km cjagaiwa na mtu
uyu mzee anaonekana kusaausaau mwamzo kabisa alituambia kura zake atazilinda yeye sasa nashangaa anawaambia wananchi kuwa waje wazilinde kura zao baada ya kupiga, nashindwa kumwelewa jamani; LOWASSA Asema anahitaji Kura Milioni 10 tu ili Awe Rais wa Tanzania........Asisitiza Tena Watu Wakipiga Kura Wabaki Wazilinde Zisiibiwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.