Lowassa apotezwa

Lowassa apotezwa

Watu wanataka kubadili mfumo hiyo hakuna jinsi ccm wanaweza epuka kukombe hiki ....
 
Sidhani kama mie na wewe tunapingana kwasababu mie pie nimeweka data katika kuonesha mambo yanavyomnyookea Magufuri, kama ni waingereza basi ningesema nimekuwa pro-Magufuri na nimeeleza vivyo hivyo kwamba yawezekana kabisa na ndo uharisia kwamba mwisho matokeo ya Ukawa yatakuwa yanacheza kwenye 20-25% ..ova.

Utafiti hupingwa kwa utafiti mwingine; wakwangu umeungwa mkono na TADIP ndio mana najiona nina kibali cha kupanua domo, je wewe figures zako support yake ni nini?
 
Mtaisomaaa eti nyomi nani akatae hela wew mumefirisika kiakili MAFIEM
 

Attachments

  • 1443262653426.jpg
    1443262653426.jpg
    29.2 KB · Views: 406
Peleka porojo zako ufipa.

Ikiwa wameshindwa vyombo vya habari vya ndani wataweza vya nje?

Mdahalo Lowassa hawezi kwa kuwa ni mgonjwa hawezi kuongea zaidi ya dakika kumi, hawezi kusimama muda mrefu na kwenye mdahalo tuaka wagombea wasimame na kujibu hoja kwa masaa matatu.

Si umeona midahalo ya USA?

Bado ninawashangaa sana Watanzania wanaotaka mgonjwa walikuwa wanamnadi kama fisadi aende Ikulu.

Na huyu ombaomba mwingine je?

 
Last edited by a moderator:
Peleka porojo zako ufipa.

Ikiwa wameshindwa vyombo vya habari vya ndani wataweza vya nje?

Mdahalo Lowassa hawezi kwa kuwa ni mgonjwa hawezi kuongea zaidi ya dakika kumi, hawezi kusimama muda mrefu na kwenye mdahalo tuaka wagombea wasimame na kujibu hoja kwa masaa matatu.

Si umeona midahalo ya USA?

Bado ninawashangaa sana Watanzania wanaotaka mgonjwa walikuwa wanamnadi kama fisadi aende Ikulu.

Kiingereza hujui utaweza kuangalia midaharo ya USA?
Midaharo mingi ya USA huwa wangombea wanajibu na kujieleza wamekaa sasa wewe unataka kutuongopea
 
Mbona hamsemi wanaohama kwenu hala mwenye clip yoyote watu wakisomba ukawa watume ila zipo nyingi za mafusiemu halamnasenma eti………… toeni ushuzi wenu hapaaa

Najua unataka hii
 

Attachments

  • 1442399934933.jpg
    1442399934933.jpg
    105.1 KB · Views: 348
Kiingereza hujui utaweza kuangalia midaharo ya USA?
Midaharo mingi ya USA huwa wangombea wanajibu na kujieleza wamekaa sasa wewe unataka kutuongopea

= midahalo
= Midahalo

Wacha uongo, hakuna mdahalo unaofanyika wamekaa. Huo wa pale ufipa labda.

Huko watu mdahalo mpaka wanajamba, sasa mzee wa nanihii hapo si atafanya ya Chato:

_63281124_63281121.jpg


 
Last edited by a moderator:
Toa hoja acha mapovu; linganisha kwanza tathmini yangu hapo juu ambayo ndiyo hiyohiyo waliyokuja nayo watafiti wa TADIP. Tunaongea namba sio porojo kama namba zinakupiga chenga nyamaza.
TADIP sio taasisi huru maana ipo under chadema so ni vigumu sana kuuamini utafiti wake na mbaya zaid wameenda kariakoo kwa wabeba mizigo tu then wakawahoji huku wakiwa wamewapa viroba hivyo in any case lazima ita favour chadema
 
TADIP matokeo yake ni ya ukwel kabisa maana kama mtafiti kawapa viroba hao wabeba mizigo akiwaambia mabadiliko na kuwaambia kuwa wanavyopata tabu kubeba mizigo hiyo ni kwa sababu ya ccm hivyo lazima wasingeipenda ccm na ndio maana nasema utafiti wao upo sawa lakin kama wamehoja wabeba mizigo na bado magufuli akapata 40% maana yake hata wao wanamkubali na ni dalili ya ushindi mzito
 
Ccm mbele kwa mbele tumejipanga mwaka huu wataisoma.
Kweli ccm mbele kwa mbele


1. Wanawake kujifungulia Sakafuni

2. Watoto kusomea chini ya Miti

3. Watumishi kulipwa mishahara ya Hadaa

4. Twiga kupandishwa kwenye Ndege

5. wizi wa ESCROW

6. Ufisadi wa EPA

7. Ufisadi wa RICHMOND

8. Ujangili Uliokithiri

9. Mikataba Mobovu ya Dhahabu

10. Mikataba mibovu kwenye Tanzanite

11. Mikataba mibovu kwenye Almasi

12. Ubinafsishaji wa Bandari, ATC, Mashamba yaNAFCO, VIWANDA, NBC nk

13. Huduma duni za Afya

14. Huduma Mbovu za Elimu

15. Ukosefu wa Maji

16. Ukosefu wa Umeme wa Uhakika

17. Gharama kubwa za Umeme

18. Kupanda kwa Bei ya Mafuta ilhali inashuka kwenye soka la Dunia

19. Gharama kubwa za vifurushi vya simu za mkononi

20. Wawekezaji kutokulipa kodi

21. Rais kusaini cheque kwa dhehebu moja

22. Pengo la kukataa Rasimu ya Katiba mpya

23. Ubovu wa barabara

24. Kugawana Nyumba za Serikali

25. Mauaji ya Daudi Mwangosi

31. Mkaahapa kujimilikisha mgodi wa Kiwira

32. Yusuf Marope kutumia Bilioni 5 uchaguzimdogo wa Tarime

33. Ufisadi wa Deep Green
34. Ufisadi wa Meremeta

35. Mabomu ya Arusha

36. Uvamizi wa vituo vya Police

37. Ununuzi wa Mv Dar es Salaam kifisadi

38. Mabehewa Feki ya Treni –

39. Ununuzi wa Ndege ya Rais

40. Mikataba 17 ya kichina

41. Kushamiri kwa biashara ya Sembe (madawa ya kulevya)

42. Usafirishaji wa Meno ya Tembo

Katu hatutarudi nyuma na tukiingia madarakani yatakuja mapya zaidi ya haya, dogo hilo!
 
Ushauri wako ni mzuri ila ningependa kukuambia jambo moja ambalo watu wengi hawajaliangalia kwa

upana wake....watanzania safari hii hawachagui kwa sababu ya kushawishiwa bali

1-wakati umefika tu wa kuikataa ccm nenda hadi kijijini ukiwaambia mkichagua wapinzani wataleta vita huwezi kuamini wanakuambia sawa bora tufe.

2-watanzania wameshafanya maamuzi yao na iwapo utafanikiwa kuongea na watu 10 saba watakuambia wanachagua upinzani swala siyo vyombo vya habari maana ccm wamejitahidi kununua vyombo karibuni vyote.
3-hizo rafu wanazocheza ccm na matusi na kashfa ndizo zimezidi kuwachefua watanzania na kuamua kumpa lowassa kura zao.
 
Tukubali UKAWA tumepotea hapa kati, timu ya kampeni haifanyi kazi za kutosha.... hata picha tu twashindwa weka mikutano ikiwa yaendelea hadi pale inapoisha ndo picha zaja... CCM wametushinda kwenye updates na kucheza na akili zetu.... wanaingilia nyuzi zetu na ndo maana unakuta siku hizi thread za magufuli zajaaa mapema kuliko Lowasa.

Tusipobadilika hakika tuamini kuwa inakula kwetu na mtatuvunja moyo sana....
Tuanze matangazo hata ya redio kila siku
 
Tukubali UKAWA tumepotea hapa kati, timu ya kampeni haifanyi kazi za kutosha.... hata picha tu twashindwa weka mikutano ikiwa yaendelea hadi pale inapoisha ndo picha zaja... CCM wametushinda kwenye updates na kucheza na akili zetu.... wanaingilia nyuzi zetu na ndo maana unakuta siku hizi thread za magufuli zajaaa mapema kuliko Lowasa.

Tusipobadilika hakika tuamini kuwa inakula kwetu na mtatuvunja moyo sana....
Tuanze matangazo hata ya redio kila siku

Poleni sana ila usitegemee ubunifu zaidi ya kujaza nyomi. Mamilioni kwa mkutano mmoja alafu picha 10 .. hasara tupu! Lakini Lowassa ni megalomaniac anataka kuona nyomi asuze roho. Hajui mamilioni yale angepeleka katika matangazo angepata kura zaidi.
Mwaka huu nakubaliana na mleta mada dalili zote ni kwamba hiyo 25% ni nyingi akipata. Bado mwezi mmoja na keshachoka!
 
Poleni sana ila usitegemee ubunifu zaidi ya kujaza nyomi. Mamilioni kwa mkutano mmoja alafu picha 10 .. hasara tupu! Lakini Lowassa ni megalomaniac anataka kuona nyomi asuze roho. Hajui mamilioni yale angepeleka katika matangazo angepata kura zaidi.
Mwaka huu nakubaliana na mleta mada dalili zote ni kwamba hiyo 25% ni nyingi akipata. Bado mwezi mmoja na keshachoka!

pole acha kujidanganya matangazo hayasaidii chochote kila mtu anajuaa mtu atakaemchagua..
 
Sema govinda naye anawasiwasi kweli maana kuna timu yake mchana ccm usiku ukawa
 
Back
Top Bottom