salimkabora
JF-Expert Member
- Nov 10, 2012
- 2,441
- 653
SIKU KADHAA NYUMA NILISEMA HIVI:
Kwa maoni yangu midahalo ya wagombea haionyeshi kama itaisaida sana UKAWA kwa kuzingatia kwamba mazingira sio rafiki sana. Kwa tathmini yangu, Lowassa hatajiongezea idadi yoyote ya kura kwa njia ya midahalo; midahalo inaendeshwa na walionacho ambao tayari wameshajipambanua kuulinda mfumo uliopo ili waendelee kufaidi keki ya taifa kwa upendeleo.
Yaliyofanywa na twaweza ndio yatakayofanywa katika midahalo ku discredit upinzani na wala hakuna lofa atakayenufaika na midahalo hiyo inayoandaliwa kuwaumiza. Lowassa akitaka midahalo akaongee kwenye vyombo vya habari vya nje ya nchi sio hivi vinavyojulikana wazi vinampromote nani. Bali ni muhimu sana UKAWA kuanza kutumia vyombo vya habari kwa nguvu zote kwa kuwa dunia inasikiliza vyombo vya habari na sio yanayosemwa kwenye majukwaa ya kampeni. Kimahesabu nikichukulia majukwaa ya kampeni kuchangia asilimia 50 na vyombo vya habari asilimia 50 napata taswira hii: Kukubalika majukwaani UKAWA 25% CCM 20% WENGINEO 5 (% ) Kampeni vyombo vya habari: UKAWA 4% CCM 45% WENGINEO 1 (%) JUMLA : UKAWA 29% CCM 65% WENGINEO 6%
Nikichukulia kwamba Lowassa anakubalika na wapiga kura kwa asilimia 60 na magufuli aslimia 40 na pia kwamba ccm imechokwa kwa asilimia 70 napata wastani wa kukubalika upinzani sawa na asilimia 65 yaani wastani wa 60% na 70%; Nikikokotoa hapo napata ushindi kwa Lowassa 54% (sawa na 29x65/35) na Magufuli 40%. Ushindi huu ni kiduchu sana na unaweza kupinduliwa. Lakini iwapo UKAWA wangeshambulia kwenye vyombo vya habari na angalau kusogeza asilimia toka 4 hadi 15 matokeo yangekuwa ya uhakika zaidi kama ifuatavyo: Lowassa 74% (sawa na 40x65/35) na Magufuli 20%. Ushindi huu kuupora ni kazi.
LEO NASEMA HIVI:
Kwa sasa kampeni za majukwaan za ccmi zimeipiku Ukawa na kufikia 23% toka asilimia 20 ya awali na pia kampeni zao kwenye vyombo vya habari zimepaa hadi asilimia 48; kwa maana hii Ukawa wamepoteza alama muhimu 11 (yaani 6x65/35) na hivyo kuangukia pua toka 54% hadi 43% leo hii. Tukichukulia kwamba nyomi za ccm hazina uhalisia kwa asilimia 5 (kutokana na wahudhuriaji kupewa vishawishi na wengine kuhofia kupoteza ajira zao) Ukawa wanapata ahueni kidogo na kulalia asilimia 52.5 (yaani 43x55/45). Hapo nimechukulia kwamba bado Lowassa ana asilimia 20 za kukubalika zaidi ya Magufuli. Asilimia hii ni rahisi kushuka chini zaidi hata ya asilimia 5 ambapo tutaikuta Ukawa ikiendelea kugaagaa kwenye 43%. Kwa muktadha huu muujiza pekee wa kuifanya Ukawa ishinde ni kubadili muelekeo wa kampeni zake kwa kiwango kikubwa hasa kujihakikishia haikosi dominance ya vyombo vya habari kwa angalau 15% toka asilimia moja ya sasa.
SURA YA MATOKEO:
CCM imejipanga kwa asilimia 80; hii inapungua hadi asilimia 65.5 (yaani 80x45/55) kutokana na nyomi za kuchonga na hii nayo inapungua zaidi hadi 53.6% (yaani 65.5x45/55) kutokana na mgombea wake kuzidiwa umaarufu kwa alama 10 na Lowassa. Kwa vyovyote, haya ndio yatakuwa matokea ya mwisho wa siku iwapo Ukawa hawatajipanga upya na kupunguza ile asilimia 80 ya ccm inayotokana na harakati za usiku na mchana, kuvuruga wapinzani, kutumia turufu ya uwepo madarakani, kutamalaki kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii , n.k : Wafanye hivyo kwa kujipatia angalau alama 10 au zaidi kwenye vyombo vya habari, INGAWA TUNAWAJUA NI WATU WENYE SHINGO NGUMU KUPOKEA USHAURI LAKINI NI WAZI WASIPOFANYA HIVYO USHINDI KWAO NI NDOTO YA MCHANA. Mtaambulia hiyo 40.4% pekee.
Kwa maoni yangu midahalo ya wagombea haionyeshi kama itaisaida sana UKAWA kwa kuzingatia kwamba mazingira sio rafiki sana. Kwa tathmini yangu, Lowassa hatajiongezea idadi yoyote ya kura kwa njia ya midahalo; midahalo inaendeshwa na walionacho ambao tayari wameshajipambanua kuulinda mfumo uliopo ili waendelee kufaidi keki ya taifa kwa upendeleo.
Yaliyofanywa na twaweza ndio yatakayofanywa katika midahalo ku discredit upinzani na wala hakuna lofa atakayenufaika na midahalo hiyo inayoandaliwa kuwaumiza. Lowassa akitaka midahalo akaongee kwenye vyombo vya habari vya nje ya nchi sio hivi vinavyojulikana wazi vinampromote nani. Bali ni muhimu sana UKAWA kuanza kutumia vyombo vya habari kwa nguvu zote kwa kuwa dunia inasikiliza vyombo vya habari na sio yanayosemwa kwenye majukwaa ya kampeni. Kimahesabu nikichukulia majukwaa ya kampeni kuchangia asilimia 50 na vyombo vya habari asilimia 50 napata taswira hii: Kukubalika majukwaani UKAWA 25% CCM 20% WENGINEO 5 (% ) Kampeni vyombo vya habari: UKAWA 4% CCM 45% WENGINEO 1 (%) JUMLA : UKAWA 29% CCM 65% WENGINEO 6%
Nikichukulia kwamba Lowassa anakubalika na wapiga kura kwa asilimia 60 na magufuli aslimia 40 na pia kwamba ccm imechokwa kwa asilimia 70 napata wastani wa kukubalika upinzani sawa na asilimia 65 yaani wastani wa 60% na 70%; Nikikokotoa hapo napata ushindi kwa Lowassa 54% (sawa na 29x65/35) na Magufuli 40%. Ushindi huu ni kiduchu sana na unaweza kupinduliwa. Lakini iwapo UKAWA wangeshambulia kwenye vyombo vya habari na angalau kusogeza asilimia toka 4 hadi 15 matokeo yangekuwa ya uhakika zaidi kama ifuatavyo: Lowassa 74% (sawa na 40x65/35) na Magufuli 20%. Ushindi huu kuupora ni kazi.
LEO NASEMA HIVI:
Kwa sasa kampeni za majukwaan za ccmi zimeipiku Ukawa na kufikia 23% toka asilimia 20 ya awali na pia kampeni zao kwenye vyombo vya habari zimepaa hadi asilimia 48; kwa maana hii Ukawa wamepoteza alama muhimu 11 (yaani 6x65/35) na hivyo kuangukia pua toka 54% hadi 43% leo hii. Tukichukulia kwamba nyomi za ccm hazina uhalisia kwa asilimia 5 (kutokana na wahudhuriaji kupewa vishawishi na wengine kuhofia kupoteza ajira zao) Ukawa wanapata ahueni kidogo na kulalia asilimia 52.5 (yaani 43x55/45). Hapo nimechukulia kwamba bado Lowassa ana asilimia 20 za kukubalika zaidi ya Magufuli. Asilimia hii ni rahisi kushuka chini zaidi hata ya asilimia 5 ambapo tutaikuta Ukawa ikiendelea kugaagaa kwenye 43%. Kwa muktadha huu muujiza pekee wa kuifanya Ukawa ishinde ni kubadili muelekeo wa kampeni zake kwa kiwango kikubwa hasa kujihakikishia haikosi dominance ya vyombo vya habari kwa angalau 15% toka asilimia moja ya sasa.
SURA YA MATOKEO:
CCM imejipanga kwa asilimia 80; hii inapungua hadi asilimia 65.5 (yaani 80x45/55) kutokana na nyomi za kuchonga na hii nayo inapungua zaidi hadi 53.6% (yaani 65.5x45/55) kutokana na mgombea wake kuzidiwa umaarufu kwa alama 10 na Lowassa. Kwa vyovyote, haya ndio yatakuwa matokea ya mwisho wa siku iwapo Ukawa hawatajipanga upya na kupunguza ile asilimia 80 ya ccm inayotokana na harakati za usiku na mchana, kuvuruga wapinzani, kutumia turufu ya uwepo madarakani, kutamalaki kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii , n.k : Wafanye hivyo kwa kujipatia angalau alama 10 au zaidi kwenye vyombo vya habari, INGAWA TUNAWAJUA NI WATU WENYE SHINGO NGUMU KUPOKEA USHAURI LAKINI NI WAZI WASIPOFANYA HIVYO USHINDI KWAO NI NDOTO YA MCHANA. Mtaambulia hiyo 40.4% pekee.