njenga karume
Member
- Sep 26, 2014
- 12
- 9
Edward Lowassa hatumchukii kama wengine wanavyodhani ila wasiwasi wetu ni jinsi anavyotaka uraisi. 1995 wakati kikwete anatangaza nia wakiwa marafiki na lowassa bado lowassa alidrirki kuchukua fomu huu ni usaliti... Mzee sitta( Mwenyekiti wa Kampeni ya Kiwete 1995) alifanya kazi kubwa sana kuwapatanisha. kikwete ni muungwana akamkubalia. 2005 Lowassa akafanya fitna ya kuhakikisha sitta anapata mpinzani akamuweka rafiki yake apamabane na sitta. yeye lowassa akapita bila kupingwa jimboni kwake ikabidi sitta ajitoe kuwa Mwenyekiti wa Kampeni za JK kwa shughuli za jimbo lake Urambo. lowassa akatwaa uenyekiti.
Baada kikwete kushinda 2005 lowassa akafanya juu chini awe PM. ndipo hapa akaanza tena mbio zake za urais. wakati wa vikao vya bunge kila week alikuwa anakutana na wabunge wa kila mkoa kujiandaa kuwa Raisi 2010 huku akisema kikwete ni Rais wa Term moja tu. Ndio maana JK asingeweza kumtetea wakati sakata la richmond kwa hiyo asimulaumu JK ajilaumu mwenyewe. Lowassa toka '95 anataka uraisi hata akishindwa 2015 bado atagombea 2020,yupo tayari kwa lolote.
Ndio maana viongozi waandamizi wana muogopa.
Baada kikwete kushinda 2005 lowassa akafanya juu chini awe PM. ndipo hapa akaanza tena mbio zake za urais. wakati wa vikao vya bunge kila week alikuwa anakutana na wabunge wa kila mkoa kujiandaa kuwa Raisi 2010 huku akisema kikwete ni Rais wa Term moja tu. Ndio maana JK asingeweza kumtetea wakati sakata la richmond kwa hiyo asimulaumu JK ajilaumu mwenyewe. Lowassa toka '95 anataka uraisi hata akishindwa 2015 bado atagombea 2020,yupo tayari kwa lolote.
Ndio maana viongozi waandamizi wana muogopa.