Lowassa anauchu wa madaraka

Lowassa anauchu wa madaraka

LOWASSA hana sifa za uongozi, ni mwanasiasa mwenye uchu wa madaraka.


Nimefuatilia mahojiano kadhaa ya Ndg.Lowassa kabla na baada ya uchaguzi mkuu (2015) kila mara akihojiwa akekuwa akiongelea kuhusu azma yake ya kugombea uraisi na jinsi gani anaweka mikakati kabambe ya yeye kuhakikisha anashinda au chama chake kinashinda bila ya kutoa mikakati ya kuondoa umasikini,rushwa nk.


Safari ya Matumaini (akiwa CCM);

Kipindi hiki alikuwa akiomba ridhaa ya kupeperusha bendera ya CCM, kila alipopita maneno aliyoyazungumza ni ‘’mafuriko hayazuiliwi kwa mikono’’..hii ilitokana na kwamba alikuwa na uhakika kawanunua wajumbe wengi ndani ya CCM na upande mwingine alitengeneza maigizo ya ’wachungaji’,’masheikh’,’wanafunzi’ nk ambao walijenga taswira ya kuwa ‘wametumwa na watanzania wengine’..hiki ndicho kipindi kabla hajaikodi CHADEMA rasmi, wanaCHADEMA walimpinga kwenye mitandao yote ya kijamii wakionyesha ni jinsi gani ananunua uongozi kwa kurubuni wananchi…..mara nyingi alizunguka na wapiga ramli na ‘’manabii’ ili kufanya propaganda huku akiacha kuzungumzia mambo muhimu ya kitaifa hasa kansa ya ufisadi.Mara nyingi kila mkoa aliopita alizungumza kwa hofu ‘’ mafuriko hayazuiliwi kwa mkono,Mzee Mangula hatanikata niungeni mkono’’…dhahiri alijua anakiuka masharti na kumhadaa Mzee Mangula ambaye ni Mwenyekiti wa kamati ya nidhamu na Makamu mwenyekiti CCM Bara.


Safari ya Mabadiliko (CHADEMA)

Ghafla baada ya ‘kukatwa’ CCM akaikodisha CHADEMA na vyama vitatu (NCCR,CUF na NLD) na kuuziwa nafasi ya kugombea urais sasa kwa kutumia wapiga ramli, masheikh na ‘manabii’ waliendelea kutengeneza mazingira na propaganda kuwa bila yeye kuwa Raisin chi ingeangamia na watu wangekufa sera yake kuu ikawa ‘sitafukua makaburi’…tafsiri rahisi ni kuwa kama uliiba hatajishugulisha na wewe kila mtu afanye yake…akaendelea ‘siatfuatilia mtu,nitahakikisha kila mtu anakuwa tajiri’…fanya yako yeye hatojishughulisha, kimjini wanasema ‘’kila mbuzi ale urefu wa kamba yake.


Baada ya Uchaguzi (wananchi wamemkataa kwenye kura)

Kwa sasa kila napoenda kuhojiwa na waandishi wa habari na mkutano wa CHADEMA yeye akili yake ni uchaguzi wa 2020; yeye anaangali mazingira yoyote yale ili awe raisi, mipango ya kuhakikisha kizazi kijacho wananufaika na rasilimali sio kipaumbele chake,amejawa ubinafsi. Kila akihojiwa hupenda neno ‘’tirany of numbers’’ yaani kinachomsumbua ni jinsi gani atakuwa na idadi ya kura za kutosha awe raisi mwaka 2020 au 2025, hajishughulishi na chochote,yeye anafanya kampeni tu,wahariri wa magazeti wananufaika naye kwani anataka naye kila siku gazeti linukuu kauli yake. Mtaalamu mmoja marekani aliwahi kusema,nanukuu kwa umeombo ; ‘A politician thinks of the next election; a statesman thinks of the next generation’. ~James Freeman Clarke, Sermon.
huyu jamaa ni staa sana,mwazoni nilidhani kuchaguliwa kwa magufuli kumeua ukawa na lowasa hata tajwa tena kumbe ndo kwanza lowasa anaendelea kutajwa tu
 
ZIFUATAZO NI SIFA ZA KIONGOZI ANAYEWEZA SIMAMIA AMANI KATIKA NCHI YAKE.

Awaze mafanikio makubwa

Kiongozi bora lazima awe na maono ya juu ya kuhakikisha kuwa nchi yake, au sekta yake inapata mafanikio makubwa, hii ndiyo itakuwa dira ya kazi yake itakayompa muongozo wa kusimamia wafanyakazi na watendaji wote walio chini yake kufikia kiwango cha mafanikio anachokiwaza. Kiongozi asiyekuwa na mawazo ya juu ya kuendelea kutoka mahali alipo hafai.

Awe na nia

Haitoshi kwa kiongozi kuwa na mawazo chanya peke yake bila kuwa na nia ya kuyatimiza. Hivyo, kiongozi atafaa endapo tu atakuwa na uwezo wa kuratibu vema na kutekeleza alichowaza. Ajue njia anayopita, awatangulie anaowaongoza kwa vitendo.

Ajitambue mwenyewe

Lazima kiongozi ajitambue mwenyewe ni mtu wa namna gani, ajue uwezo wake na upungufu wake na awe tayari kujiongezea maarifa kila siku, ili aweze kukabili changamoto na mabadiliko ya ulimwengu. Asome, afuatilie mambo yanavyokwenda na ajifunze kwa wenzake kuhusu kufanikisha malengo yake.

Asimamie maamuzi

Kuna wakati malengo hukumbana na vikwazo, hivyo ni wajibu wa kiongozi kusimamia maamuzi sahihi na kuwa mtu wa mwisho. Kiongozi mwenye kubadilika badilika kama kinyonga, hafai kwa vile kukosa msimamo kuna maanisha udhaifu wa mipango na kujiamini.

Adhibiti msongo wa mawazo

Tunamtarajia kiongozi mzuri awe ni mtu mwenye kupunguza msongo wa mawazo, ili kuifanya akili yake ifikie maamuzi sahihi, lakini kama atakuwa mwenye kuwaza mengi, atajikuta anachanganyikiwa na kuwa mtu wa jazba katika maamuzi na hivyo kuipotosha jamii.

Akubali kukosolewa

Viongozi wasiokuwa na sifa za uongozi huwa hawakubali kukosolewa, wakidhani kuwa hiyo ndiyo njia ya kuthibitisha msimamo wao na usahihi wao. Kiongozi makini ni yule ambaye atakuwa tayari kukosolewa na kuwapongeza wanaomkosoa kwa kutazama mwenendo wake na usahihi wake. Asiyekubali kukosolewa hafai kuwa kiongozi.

Awe msikilizaji

Kiongozi mzuri ni yule ambaye atakuwa tayari kuwasilikiza watu walio chini yake, apokee maoni yao na ikiwezekana ayafanyie kazi. Lakini pia anatakiwa kuwafahamu kwa undani, ili aweze kuwaongoza vema kufuatana na hali zao. Akiwa na watu walemavu wenye kasoro kadhaa wa kadhaa anatakiwa kuwatambua kabla na baada ya kuwa kiongozi wao. Kuongoza usichokifahamu ni ujinga.

Afuate haki

Kiongozi imara anatakiwa kufuata haki katika kuongoza kwake, asijione mwenye haki zaidi ya wale anaowaongoza katika sheria. Ni muhimu kwake kuwafanya walio chini yake kujiona wako huru katika mawazo na matendo. Kiongozi anayetumia nguvu na ukali kuongoza watu hafai. Hata yule mwenye kujivunia uongozi wake naye hafai.

Awe egemeo la watu

Sifa nyingine ya kiongozi ni kuwa egemeo la watu wake katika shida na raha. Kiongozi mzuri ni yule ambaye atakuwa tayari kusikitika, kuomboleza, kufurahi pamoja na watu wa chini yake bila kujitenga nao. Ajitolee kuwatumikia watu kwa hali na mali na awe tayari kutumika zaidi kwa maslahi ya wengine.

Atie moyo watu

Kiongozi mzuri ni yule ambaye atakuwa na uwezo wa kuwatia moyo walio chini yake ili waweze kuendeleza vipaji vyao. Haipendezi kwa kiongozi kuwavunja moyo watu kwa kauli za kudharau kazi na jitihada zao walizojaribu kufanya katika kutekeleza majukumu yao kama wafanyakazi au wananchi.

Afurahie mafanikio

Sifa nyingine muhimu ya kiongozi ni kuwa tayari kufurahia mafanikio aliyopata pamoja na watu wake. Ni wajibu wa kiongozi kutoa tuzo, kuwashukuru wafanyakazi wake na kuwa tayari kuwapa ofa. Hii itasaidia kuwafanya watu waone hawajapoteza nguvu zao katika utendaji wao na kwamba wanakubalika. Si busara wakati mwingine kuwakosoa watu mbele ya hadhara na kueleza kutofurahishwa na kazi zao.

Aungane na wananchi yake

Mtu kuwa kiongozi haimaanishi amekuwa wa tofauti na watu wengine kiasi cha kushindwa kuchangamana nao kama wanavyofanya baadhi ya viongozi. Kiongozi mwema ni yule atakayeungana na watu wake katika maisha ya kawaida. Kuwa kiongozi haimaanishi kwamba watu watakufuata wewe kila siku, wakati mwingine wewe unatakiwa kuwafuata wao na kuwa nyuma yao hata mahali walipokosea au wanapokabiliwa na makosa, watetee na uoneshe kuwajali na kuwapigania, makosa utayahesabu baada ya utetezi wako kukamilika.

Akubali lawama
Kama kiongozi amefanya mambo ambayo jamii haikupendezwa nayo anachotakiwa kufanya ni kukubali kulaumiwa. Ikiwa anaongoza kitego cha umeme kwa mfano na watu hawakupata nishati hiyo kwa wakati hatakiwi kukwepa lawama, vivyo hivyo kwenye wizara na idara au nchi kwa ujumla.

Afahamu kutatua matatizo
Kiongozi mzuri ni yule ambaye atakuwa na uwezo wa kuzuia migogoro na kuitatua kwa haraka. Muongozo mzuri katika eneo hili umesimama katika mawasiliano na watu wa chini, mawasiliano haya ndiyo yatakayomuwezesha kiongozi kujua matatizo waliyonayo wafanyakazi wake au hata jamii anayoiongoza na hivyo kumfanya apate wasaa wa kuyashughulikia mapema.

Ajifunze kwa makosa
Wakati mwingine mawazo na mipango inaweza ikaenda kombo, hivyo ni wajibu wa kiongozi kujifunza kutokana na makosa yake au ya wale anaowaongoza, ili kuepuka kurudia makosa yale yale na kumfanya apoteze sifa za kuwa kiongozi mzuri.
Mwanafalsafa Winston Churchill aliwahi kusema "The price of greatness is responsibility." Thamani ya ukuu ni uwajibikaji.

Awe mwaminifu
Miongoni mwa maeneo magumu kabisa yaliyowashinda na yanayoendelea kuwashinda viongozi wengi ni uaminifu. Kiongozi bora ni yule ambaye yuko tayari kusimamia muongozo wa katiba ya nchi au marufuku alizowekewa katika madaraka yake. Hii inakwenda sambamba na kutowaonea, kuwanyanyasa wa nchini yake kwa kutumia cheo chake.

Awe mkweli

Viongozi wengi hasa wa kisiasa siku hizi ni waongo hakuna mfano, wamejaa ahadi zisizotekelezeka na hata wanapogundua kuwa hawana uwezo au wamekwama kuzitimiza, hawaoni haja ya kutubu mbele ya wanaowaongoza. Kiongozi makini ni yule atayekuwa tayari kuonesha ubora wa matendo na kauli zake.

Asiwe mwenye majungu

Kuna baadhi ya viongozi kwenye maofisi wanaendekeza sana majungu na pengine kuyapa umuhimu wa hali ya juu. Hii ni sifa mbaya kwa kiongozi yo yote, hivyo anayetumikia ‘umbea’ katika ofisi aliyokabidhiwa kama mkuu anapaswa kuondolewa. Kiongozi makini atatumia uwezo wake kuzuia watu wasimsengenye/wasisengenyane kwa kuwa muwazi na mwenye kufungua milango ya watu kumuona na kumlaumu na kueleza hisia zao.

Awe bora

Kwa kila analofanya kama kiongozi lazima alifanye kwa ubora, asiwe mtu mwenye kulipua kazi na kufanya chini ya kiwango cha uwezo wake. Kila siku katika kazi, maamuzi, usimamizi, utekelezaji lazima atumike zaidi ya uwezo wake.

UKIONA NCHI HAINA AMANI NI MACHAFUKO TU. BASI VIONGOZI WANAKOSA IZO SIFA.
 
huyu jamaa ni staa sana,mwazoni nilidhani kuchaguliwa kwa magufuli kumeua ukawa na lowasa hata tajwa tena kumbe ndo kwanza lowasa anaendelea kutajwa tu
wakina kivule tu wanaweweseka!
 
LOWASSA hana sifa za uongozi, ni mwanasiasa mwenye uchu wa madaraka.


Nimefuatilia mahojiano kadhaa ya Ndg.Lowassa kabla na baada ya uchaguzi mkuu (2015) kila mara akihojiwa akekuwa akiongelea kuhusu azma yake ya kugombea uraisi na jinsi gani anaweka mikakati kabambe ya yeye kuhakikisha anashinda au chama chake kinashinda bila ya kutoa mikakati ya kuondoa umasikini,rushwa nk.


Safari ya Matumaini (akiwa CCM);

Kipindi hiki alikuwa akiomba ridhaa ya kupeperusha bendera ya CCM, kila alipopita maneno aliyoyazungumza ni ‘’mafuriko hayazuiliwi kwa mikono’’..hii ilitokana na kwamba alikuwa na uhakika kawanunua wajumbe wengi ndani ya CCM na upande mwingine alitengeneza maigizo ya ’wachungaji’,’masheikh’,’wanafunzi’ nk ambao walijenga taswira ya kuwa ‘wametumwa na watanzania wengine’..hiki ndicho kipindi kabla hajaikodi CHADEMA rasmi, wanaCHADEMA walimpinga kwenye mitandao yote ya kijamii wakionyesha ni jinsi gani ananunua uongozi kwa kurubuni wananchi…..mara nyingi alizunguka na wapiga ramli na ‘’manabii’ ili kufanya propaganda huku akiacha kuzungumzia mambo muhimu ya kitaifa hasa kansa ya ufisadi.Mara nyingi kila mkoa aliopita alizungumza kwa hofu ‘’ mafuriko hayazuiliwi kwa mkono,Mzee Mangula hatanikata niungeni mkono’’…dhahiri alijua anakiuka masharti na kumhadaa Mzee Mangula ambaye ni Mwenyekiti wa kamati ya nidhamu na Makamu mwenyekiti CCM Bara.


Safari ya Mabadiliko (CHADEMA)

Ghafla baada ya ‘kukatwa’ CCM akaikodisha CHADEMA na vyama vitatu (NCCR,CUF na NLD) na kuuziwa nafasi ya kugombea urais sasa kwa kutumia wapiga ramli, masheikh na ‘manabii’ waliendelea kutengeneza mazingira na propaganda kuwa bila yeye kuwa Raisin chi ingeangamia na watu wangekufa sera yake kuu ikawa ‘sitafukua makaburi’…tafsiri rahisi ni kuwa kama uliiba hatajishugulisha na wewe kila mtu afanye yake…akaendelea ‘siatfuatilia mtu,nitahakikisha kila mtu anakuwa tajiri’…fanya yako yeye hatojishughulisha, kimjini wanasema ‘’kila mbuzi ale urefu wa kamba yake.


Baada ya Uchaguzi (wananchi wamemkataa kwenye kura)

Kwa sasa kila napoenda kuhojiwa na waandishi wa habari na mkutano wa CHADEMA yeye akili yake ni uchaguzi wa 2020; yeye anaangali mazingira yoyote yale ili awe raisi, mipango ya kuhakikisha kizazi kijacho wananufaika na rasilimali sio kipaumbele chake,amejawa ubinafsi. Kila akihojiwa hupenda neno ‘’tirany of numbers’’ yaani kinachomsumbua ni jinsi gani atakuwa na idadi ya kura za kutosha awe raisi mwaka 2020 au 2025, hajishughulishi na chochote,yeye anafanya kampeni tu,wahariri wa magazeti wananufaika naye kwani anataka naye kila siku gazeti linukuu kauli yake. Mtaalamu mmoja marekani aliwahi kusema,nanukuu kwa umeombo ; ‘A politician thinks of the next election; a statesman thinks of the next generation’. ~James Freeman Clarke, Sermon.
napata shaka kidogo kwa hoja ya uchu wa madaraka kwa kama ni kweli kwanini aliwazuia vijana wasiingie mtaani wawe wavumilivu baada ya kushindwa uchaguzi,coz mm naamini mtu mwenye uchu hutumia njia zozote hata kuvunja amani yanchi
 
LOWASSA hana sifa za uongozi, ni mwanasiasa mwenye uchu wa madaraka.


Nimefuatilia mahojiano kadhaa ya Ndg.Lowassa kabla na baada ya uchaguzi mkuu (2015) kila mara akihojiwa akekuwa akiongelea kuhusu azma yake ya kugombea uraisi na jinsi gani anaweka mikakati kabambe ya yeye kuhakikisha anashinda au chama chake kinashinda bila ya kutoa mikakati ya kuondoa umasikini,rushwa nk.


Safari ya Matumaini (akiwa CCM);

Kipindi hiki alikuwa akiomba ridhaa ya kupeperusha bendera ya CCM, kila alipopita maneno aliyoyazungumza ni ‘’mafuriko hayazuiliwi kwa mikono’’..hii ilitokana na kwamba alikuwa na uhakika kawanunua wajumbe wengi ndani ya CCM na upande mwingine alitengeneza maigizo ya ’wachungaji’,’masheikh’,’wanafunzi’ nk ambao walijenga taswira ya kuwa ‘wametumwa na watanzania wengine’..hiki ndicho kipindi kabla hajaikodi CHADEMA rasmi, wanaCHADEMA walimpinga kwenye mitandao yote ya kijamii wakionyesha ni jinsi gani ananunua uongozi kwa kurubuni wananchi…..mara nyingi alizunguka na wapiga ramli na ‘’manabii’ ili kufanya propaganda huku akiacha kuzungumzia mambo muhimu ya kitaifa hasa kansa ya ufisadi.Mara nyingi kila mkoa aliopita alizungumza kwa hofu ‘’ mafuriko hayazuiliwi kwa mkono,Mzee Mangula hatanikata niungeni mkono’’…dhahiri alijua anakiuka masharti na kumhadaa Mzee Mangula ambaye ni Mwenyekiti wa kamati ya nidhamu na Makamu mwenyekiti CCM Bara.


Safari ya Mabadiliko (CHADEMA)

Ghafla baada ya ‘kukatwa’ CCM akaikodisha CHADEMA na vyama vitatu (NCCR,CUF na NLD) na kuuziwa nafasi ya kugombea urais sasa kwa kutumia wapiga ramli, masheikh na ‘manabii’ waliendelea kutengeneza mazingira na propaganda kuwa bila yeye kuwa Raisin chi ingeangamia na watu wangekufa sera yake kuu ikawa ‘sitafukua makaburi’…tafsiri rahisi ni kuwa kama uliiba hatajishugulisha na wewe kila mtu afanye yake…akaendelea ‘siatfuatilia mtu,nitahakikisha kila mtu anakuwa tajiri’…fanya yako yeye hatojishughulisha, kimjini wanasema ‘’kila mbuzi ale urefu wa kamba yake.


Baada ya Uchaguzi (wananchi wamemkataa kwenye kura)

Kwa sasa kila napoenda kuhojiwa na waandishi wa habari na mkutano wa CHADEMA yeye akili yake ni uchaguzi wa 2020; yeye anaangali mazingira yoyote yale ili awe raisi, mipango ya kuhakikisha kizazi kijacho wananufaika na rasilimali sio kipaumbele chake,amejawa ubinafsi. Kila akihojiwa hupenda neno ‘’tirany of numbers’’ yaani kinachomsumbua ni jinsi gani atakuwa na idadi ya kura za kutosha awe raisi mwaka 2020 au 2025, hajishughulishi na chochote,yeye anafanya kampeni tu,wahariri wa magazeti wananufaika naye kwani anataka naye kila siku gazeti linukuu kauli yake. Mtaalamu mmoja marekani aliwahi kusema,nanukuu kwa umeombo ; ‘A politician thinks of the next election; a statesman thinks of the next generation’. ~James Freeman Clarke, Sermon.
kama lowassa Ana Uchu wa Madaraka, basi chama cha Mapinduzi kinauchu wa kupitiliza.

Kama kingekuwa hakina huchu wa madaraka kule zanzibar kingepambana kufa kupona kuhakikisha uchaguzi unadiwa?

Tumia Akili wakati mwingine kabla ujaandika Mada maana ninyi vijana wa Uvccm mnakizalilisha sana chama kwa kuandika pumba tupu.
 
Kweli nimeamini kumbe haya malumbano yote Nchini yanayokea kisa Lowasa. Hii ni hatari sana.
 
Back
Top Bottom