Lowassa amkosoa Kikwete

Kati ya JK na EL nadhani EL anatakiwa akapimwe akili zake mie naona JK yupo sahihi kuhusu kilimo kwanza kwasababu moja kuu.

1. Huwezi kuelimika kama una lishe duni

Inaelezwa na wataalamu wa afya kuwa kipindi cha ukuaji watoto wakikosa lishe bora wanadumaa Wanakuwa "stunted" na wanapodumaa wanakuwa na dumaa mwili na akili kwani katika kipindi hicho hicho akili ya mtoto inakuwa kwa kasi zaidi na inategemewa na lishe anayopata.

Short-changing children

Low weight at birth, insufficient feeding, inadequate care and nutrient depletions caused by repeated bouts of illness culminate over time in a child whose height is less than that of other children of the same age. Such stunting is a standard marker of a failure in early growth.
Deprivations in feeding and care that impair growth in the critical first years may also reduce a child’s cognitive development and learning ability, often leading to poor school performance and dropping out.
Some 39% of children under five in the developing world are stunted – around 209 million children. Stunting rates are highest in Asia and sub-Saharan Africa.
Inadequate feeding and repeated illness are the immediate causes of stunting in the young child. This vicious cycle is itself a result of poverty and the consequent inability of families to adequately care for their children. A lack of clean water supply in a poor community, or a long distance between home and health clinic, for example, affects the level of care that can be given.
Stunting also occurs when babies are born underweight because the mother was poorly nourished or because she was herself stunted.
Once established, stunting and its effects typically become permanent. Stunted children may never regain the height lost and most will never gain the corresponding weight. And when the window of early childhood is closed, the associated cognitive damage is often irreversible.


kwa msaada zaidi someni link zifuatazo ili mjue kwanini lishe ni muhimu kwa ukuaji wa mtoto na hapo hapo lishe itamsaidia kuweza kusoma vizuri shuleni..

Behavioral and Brain Functions | Full text | Cognitive development in children with chronic protein energy malnutrition

UNICEF Home

Stunted growth - Wikipedia, the free encyclopedia

kuandika hivi kunatokana na kula ukashiba kupitiliza bila kwenda darasani>Someni Ajenda ya kilimo kwanza muone.Sio chakula cha kula maana watanzania hakuna njaa kiasi hicho!
 
Wajemeni:

Kuna kitabu kinachoitwa The Elusive Quest for Growth by William Easterly. Ukisoma kitabu hiki utaona Lowassa anachemsha BIG TIME. Nchi za kiAfrika ikiwemo Tanzania zimeshainua literacy lakini bado maendeleo ya kiuchumi yapo nyuma.

Hivyo Education is not a panacea. Na ukiniuliza nichague kati ya Elimu na Kilimo nitachagua Kilimo. Na hii ni kwa sababu zifuatazo.
  • Hakuna mwanafunzi anayesoma akiwa na njaa. Tanzania ina upungufu mkubwa wa chakula lakini hivyo usitegemee wanafunzi wenye utapia mlo kuwa makini darasani.
  • Ukosefu wa chakula unaongea unwaranted inflation na matatizo mengine ya kiuchumi yasiotakiwa. Kama serikali inatumia fedha za kigeni kuangiza mchele au mahindi, basi inatumia pesa ambazo zingetumika kwa shughuli zingine za maendeleo.
  • Sekta ya elimu siku zote inaongeza matumizi na ukubwa wa serikali. Ukichikua mipango ya elimu ya Lowassa akiwa waziri mkuu utaona kuwa bajeti ya serikali iliongezeka na hakuna matunda yoyote ya muhimu kwa sababu bado kuna ukosefu mkubwa wa walimu. Kwa upande mwingine kilimo kwanza kinafanywa na watanzania bila kutegemea kulipwa mishahara na serikali. Hivyo kiuchumi sera za kilimo ni bora zaidi kwa sababu kutakuwa hakuna ongezeko la matumizi ya serikali yasiozaa matunda.
  • Vilevile idadi ya watu duniani inakuwa kubwa, hivyo shughuli za kilimo zinaanza kuwa na umuhimu mkubwa katika kutoa ajira.
  • N.k
Watanzania wakiwa na economic engines za kuleta mapato, watajijengea shule wenyewe.
 
huyu jamaa anatafuta mahali pa kuingizia kichwa tu. na akiingiza atoi hata upige ukunga. Na ndio utakua umepewa maumivu hivyo.
 
kuandika hivi kunatokana na kula ukashiba kupitiliza bila kwenda darasani>Someni Ajenda ya kilimo kwanza muone.Sio chakula cha kula maana watanzania hakuna njaa kiasi hicho!
Whaaaat? mshukuru Mungu kama unapaishi kuna chakula kaka.............. Nchi ina njaa kali hii.
 
Hapana jamii forum kweli naikubali!!!!!!!!!!!!!!!Nimecheka kwa kweli mpaka mtoto wangu ananiuliza mama mbona unalia??????????????

Hakikisha mtoto wako anashiba vizuri ili amsikilize mwalimu na akili na mwili vikue sawia usihadaike kuwa mtoto akisoma na njaa ndio anakuwa jiniasi
 
Lowasa alisema kama ni kilimo kwanza basi "Elimu kabla" na hii kauli amekuwa akiirudia mara kwa mara. Pamoja na mengine miaka miwili ya JK na Lowassa shule nyingi za kata zilijengwa na kulikuwa na presha sana kwa wakuu wa mikoa kujenga hizi shule. Tatizo kubwa la nchi hii hakuna dira ya taifa, kila kiongozi akiingia madarakani anaingia na agenda yake, na yale yaliyopita ya kiongozi kabla yake ndo yanakuwa kikomo.
 
hata kuoza kwa papai kunategemea sana uozaji wake,
kwa eneo hilo lowasa ameonesha kuwa yeye ni papai lililooza upande mmoja tu.
ni mawa yangu tu............teteteteteee!!!

HAPO Mh kanena, Elimu kwanza, kwani hata kama ni kuelimisha wananchi inaweza kutumika elimu ya watu wazima nchi nzima kuwaelimisha kuhusu kilimo kwanza jinsi ya kukabiliana na mkakati huo.

Hafu pia mi sioni tatizo la LOWASA kugombea Urais mwaka 2015, Anafaa jamani, UNAJUWA kama ana makosa hawezi kuyaendeleza akiwa rais.
 
Unajua huyu Lowassa anataka kuzuga watu wasioangalia vitu kiundani. Hakuna makosa kabisa kusema elimu ni muhimu, lakini tulipofikia TZ sasa hivi umaskini ndio ugonjwa mkubwa kuliko magonjwa yote. Tunao vijana wengi sana walioelimika lakini hawana ajira na umaskini unazidi kushamiri.

Kilimo kwanza ndani yake kuna mafunzo ya kutumia vifaa bora, mbegu bora, umwagiliaji na mambo megine mengi yanayoendana na masoko. Sasa hivi vyote ni rahisi kutumia mabwana shamba waliopo na hata vijana walimaliza form six kuwa trained kidogo waende uko vijijini kuwafundisha wakulima ili umaskini uondoke na uchumi ukue.

Sasa huyu kilaza Lowassa anangangania elimu kwanza, Je itachukua miaka mingapi kuwaelimisha watu zaidi?? around 10++
Kilimo kwanza matunda yake yanaweza kuonekana within 3 yrs kwa vipato vya wakulima kuongezeka, na hao wakulima kuweza kupeleka watoto wao shule na kulipa ada.

Tuna utitiri wa shule feki za kata, hizo shule bila wakulima kuwa na kipato hazitaweza kuendelea kwani huko vijijini watu wanalazimishwa kuchangia lakini hawana hela.

ALL in ALL KILIMO KWANZA kiwe ndio priority, na huku tukiendelea na Track iliyopo ya ELIMU.
 
Kuna shida gani kilimo na elimu kupewa msukumo kwa pamoja? Vyote si vipaumbele muhimu? Twahitaji elimu bora pamoja na kula vizuri. Huwezi kuwa na maisha mazuri without either.
 
Lowassa kumkosoa Rais Kikweye mbele ya kadamnasi, si dalili ya mtumwenye elimu na busara. Kama Lowassa anaamini kwamba Elimu ni lazima kwanza ndipo wananchi waweze kuongeza kilimo, basi hiyo elimu si kwa wakulima tu bali ni kwa watu wote wa sekta mbalimbali. lakini wakati mwingine itategemea ni elimu ya aina gani wananchi wapewe kama ni kuinua kilimo. Kuna elimu ya utapeli na kuna elimu ya maendeleo. Kwa mfano serikali iliyopita ya Kikwete, wengi walikuwa ni wenye elimu tena ya juu, hata yeye lowassa na wengine wengi. Je hiyo elimu waliyokuwa nayo ilililetea taifa maendeleo gani? Rushwa, ufisadi, wizi wa wazi n.k.. Mpaka leo haohao wenye elimu ndio waliiba pesa za wananchi za EPA, ndio walianzisha kampuni hewa ya Richmond n.k.
Mimi sidhani kitendo cha Lowassa kumkosoa Rais wake mbele za watu kilikuwa cha mtu msomi , ni unafiki tu wa kuficha madhambi yake yeye mwenyewe. Je huko Monduli kuna wakulima wasomi kama yeye? Hebu atupe takwimu za maendeleo yao kuhusu kilimo au mifugo. Weee Lowassa, acha laghai bwana.
 
huyu jamaa anatafuta mahali pa kuingizia kichwa tu. na akiingiza atoi hata upige ukunga. Na ndio utakua umepewa maumivu hivyo.

Hii ni kweli anatafuta mlango wa kuingilia na baada ya hapo kama hadithi ya mwarabu na ngamia.......................atawatolea wote nje ili kuhitimisha azma yake......................
 
Naomba kuungana na JK na Mzee wangu Kayanza, mtu akishiba ni rahisi kufanya maendeleo mengine, uwezi kukaa darasani na njaa asilani. NI lazima tuwe na uhakika kuwa kesho tutakula nini!! hivyo ni rahisi kukaa darasani na masomo fomula, definitions, calculas, yoote yaho yaka gota kichwani kwa makini. NJAA HAINA ADABU, watu washibe kwanza ndio akili itafanyakazi. So what I conclude, JK na Kayanza keep it up!! KILMO KWANZA MAZEEE!!


kilimo kwanza maana yake nini? mtu anenda shamba hajui atalima vipi, atavuna vipi hana elimu yoyote unamwambia kilimo kwanza, SHAME! acha ushabiki wa kisiasa, zakuambiwa changanya na zako! KWA WENZETU mfano Israel not more than 5% wako katika kilimo wengine wote wanafanya shughuli nyingine za maendeleo, na hao wakulima wanazalisha kwaajili ya nchi yao na ku export, walianzia wapi, walipatiwa elimu kwanza jinsi ya kufanya kilimo chenye tija and the like, siyo mnasema kilimo kwanza mwanakijiji hajui A wala B kuhusu kilimo, mnapoteza nguvu kazi. get up
 
Back
Top Bottom