Lowassa Amjibu Slaa

Lowassa Amjibu Slaa

Nilitangaza hadharani kuwa nilitaka kuvunja mkataba wa richmond nikazuiwa na mamlaka kutoka juu, pia nikasema kama yupo mwenye ushahidi wa mimi kuhusika na richmond ajitokeze hadharani na anipeleke mahakamani!! Huyo aliezungumza jana kuwa ana huo ushahidi siku nyingi mbona hakunishtaki?

Edward Lowasa
 
Anatapatapa hana jipya, anatafuta kiki upya, c watz tumeshamuona anatumiwa kutulaghai, imekula kwake..!!
 
Eti nilikuwa mojawapo ya list of shame! Hata kama ingekuwa kweli, hiyo list ilikuwa na watu wangapi, mimi ndio niko upinzani nashambuliwa hao wengine wako wapi? Tusonge mbele, mabadiliko ni lazima
Edward Lowasa.

Daaahhh mzee kamaliza kila kitu
 
Huyu padrii amerukwa na akili kabisa wivu utamuua . kwa jinsi alivyo na roho mbaya hata akifungu hiyo shule au hospital nitazunguka nchi nzima kuamasisha watu wasiende hapo hata kama akitoa huduma za bure hatutoenda.
 
Dr.Blaa alikurupuka sana once alipojitokeza kutoka kwenye handaki, mtu anaongea kwa ghadhabu, hasira, mtu mmoja maneno milioni kwa lisaa!....safi sana kwa EL amemjibu in a nutshell but clear!
 
anayetapatapa ni yule mwenye agenda moja for 8 years au huyu aliyejibu agenda ya miaka 8 kwa sentensi tatu?

Shida kubwa ya upeo kwa watanzania... no wonder we can achieve anything

Hana jipya ndio maana anatapatapa, kila siku miaka hiyo 8 unayosema ni hilohilo tu:what: haoni la Escrow huko amefumba macho kwasababu anatumiwa na wivu pia unachangia, akaimbe taarab huko ndio kuna majibizano, piiiiipoooozzzz...
 
Hana jipya ndio maana anatapatapa, kila siku miaka hiyo 8 unayosema ni hilohilo tu:what: haoni la Escrow huko amefumba macho kwasababu anatumiwa na wivu pia unachangia, akaimbe taarab huko ndio kuna majibizano, piiiiipoooozzzz...
Inawezekana kabisa babu ana senile dementia
 
anayetapatapa ni yule mwenye agenda moja for 8 years au huyu aliyejibu agenda ya miaka 8 kwa sentensi tatu?

Shida kubwa ya upeo kwa watanzania... no wonder we can achieve anything

kwa hiyo we ulitaka aandike kitabu?
 
anayetapatapa ni yule mwenye agenda moja for 8 years au huyu aliyejibu agenda ya miaka 8 kwa sentensi tatu?

Shida kubwa ya upeo kwa watanzania... no wonder we can achieve anything

Angali point kwenye hizo sentensi 3,ndio maana Watanzania wameendelea kulaghaiwa na CCM kwa maneno mengi bila kuangalia mantikti na uwezekano wa hayo maneno.Badilika ewe Mtanzania Mabadiliko ni sasa kupitia UKAWA
 
Back
Top Bottom