Lowassa amjibu Kinana huko Pemba!

Huyu amiri jeshi mkuu mwoga atakuwa wa kwanza duniani, ukisema huogopi kwa maana nyingine unaweza ogopa pia.
 
Soma kwanza uelewe alichoeleza mkuu, soma soma soma kwanza kabla ya maoni yako! Labda kama utahitaji ufafanuzi juu ya maelezo yake

nimeelewa kama mleta uzi alivyoleta kuwa kama sheria hazikufuatwa atamwachia huru, sasa kama sheria hazijafuatwa si mahakama itawachia huru na kama watapewa hukumu isiostahili siwatakata rufaa! Tatizo liko wapi hadi rais aamuru waachiwe huru?
 


Kwa faida yako wewe unaechangia bila kusoma
 
Sumaye alimmaliza Kinana,mpaka leo anaogopa kabisa kupanda jukwaani
 
Ki..nena mzamiaji anayejifanya mzaaaaa..lendo
 
Kinana hyu Msomari? au wameivuluga somaria na sasa wanataka kuvuluga nchi yetu alafu wanahama
 
Pamoja na madhaifu yake, ndugu yangu hayo makundi ni hatari kwa usalama wa nchi na utawala wowote. Ni mabomu yaliyotegwa na yanaweza kulipuka muda wowote. Hakuna mgombea wa urais anayeyakashifu au kuyaweka pembeni. Nafikiri kikubwa unachoweza kumsifia Lowassa ni uwezo aake wa kuvumilia na kukaa kimya bila kuropoka anapochokozwa au kutukanwa. Binafdi siwezi.
 
hapo kweli ameongea kama raisi kura yangu kwako Inshallah nikifika hiyo tarehe 25
 
mzee edo kura yangu na kura za familia yangu umezipata zote kwa hekima ulizoonyesha, ukiwa na mzazi ambaye anakurupuka ni shida sasa je president akiwa mtu wa kukurupuka ni nihatari zaidi, pia nataka Edo akachunguze pia na mkataba wa gas ya ntwara
 
Kila nikimuwazia Lowassa sipati jibu,zaidi natamani kila mtu awe kama mimi.
Yaani tumchague ashinde kwa kishindo...naiona Tanzania mpya chini ya Lowassa.

Acha akili za mavi hizo, ww ni kijana kweli watz au ni mkimbizi, wewe umeona jipya gani kwa huyo mzee, ambalo unaweza kusimlia wenzio, yani kwa ujinga ulionao unaona Lowasa mpole sana co, au umemjua jana baada ya kuingia chadema? tena inaonekana bado una tongotongo nyingi sana usoni kwako na pia inawezekana ndo itakuwa mara ya kwanza ww kupiga kura, funga domo lako hilo!
 
huyu mzee jamani..au ndo katumwa na Mungu kuja kutuokoa watanzania..

alaf tizama wale wote wanaomtukana wanatangulia mbele za haki

wewe wangapi umewatukana na bado hujatangulia...acheni hizo tuache Mungu afanye kazi yake!!!
 
Subirini kipigo cha Oktoba 25. Hayo mengine sijui ana busara mtayajua wakati huo. Busara hizo kazipata UKAWA?

sijui kama una maanisha kweli lakini hata wale watu intelligensia naona wameanza kuona upepo unaelekea wapi.
 
huyu mzee jamani..au ndo katumwa na Mungu kuja kutuokoa watanzania..

alaf tizama wale wote wanaomtukana wanatangulia mbele za haki

Ni kweli kabisa ndugu; Watu wanasema Lowasa ni fisadi mara mgonjwa, lakini wanashindwa kuelewa kuwa wakati mwingine Mungu hutumia watu waovu, dhaifu kuleta neema. Angalia wana wa Israel wakati wanaingia nchi ya ahadi, Rahabu ambaye alikuwa kahaba sana ndiye aliwaficha wapelelezi na kuwawezesha kufanya upelelezi na hatimaye wakaingia Kaanan. Paulo ambae ameandika vitabu vingi vya nyaraka hapo mwanzo aliitwa Sauli na ndiye alikuwa kiongozi wa mauaji ya Wakristo na vitabu vyake kuanzia Warumi hadi Waebrania tunavitumia. Inawezekana na mpango wa Mungu kumtumia fisadi kuleta neema kwa Tz.
 
Huyu mzee Lowasa binafsi kuna vitu vingi vya kujifunza toka kwake kiukweili....Mwenyezi Mungu amjalie afya njema na kumpigania zaidi.
 
Anajisumbua waislam hakuwatetea mashekhe yuko ccm waislam tunajua nini tutafanya hata aseme atatujengea chuo kikuu cha waislam hatukupi ng'o
 
jangwani alisema atawatoa tu.... jana kabadilika ili apate kura za waislam wengi ambao kitakwimu wapo huko zanzibar... baada ya hao waislam kutokuwa na imani nae pale alipoomba kura kwa kigezo cha udini na ulutheri pale tabora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…