Umiliki wa Magazeti Tanzania.
1. Nipashe, Gurdian- R Mengi ; Team Lowassa
2.Mtanzania Rai - Rostam Aziz & Lowassa
3. Tanzania Daima- Mbowe
4. The Citizen & Mwananchi - Rostam Aziz - Minority Shareholders
5. Majira - Mbuguni Close family Friends of Lowassa
6. Channel 10 - Rostam Aziz -Mmiliki wa Dowans
7. ITV-Mengi
Sioni cha kushangaa kwanini Lowassa anakuwa Front Pages kwenye vyombo vinanvyomilikiwa na yeye mwenyewe na associates wake. Hata mbio za CCM alikuwa yeye ndio Front Cover boy.
Bado ni asubuhi mno, subiri machweo. Hatutafuti mtu Maarufu tunanatafuta Rais wa Tanzania.