Lowassa aliuza Jimbo la Segerea

Lowassa aliuza Jimbo la Segerea

Kiboko.

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2013
Posts
2,896
Reaction score
1,214
Mtatiro amethibitisha kutogombea tena jimbo la Segerea kwa tiketi ya CUF kwa akili ya fasta fasta ni kuwa hilo jimbo litapeperushwa na CHADEMA na mtu pekee wa kulitetea hilo ni Makongoro Mahanga Swaiba wa Edo aliyehama CCM.

Hapo UKAWA wameshaliacha jimbo hilo tayari.
 
source please ?? ukawa wanaye mgombea segerea tayari kwahiyo hakuna mtu atakayemuachia makongoro mahanga na akiachiwa hawezi shinda anyway kwahiyo ukawa watakuwa hawakutumia busara kabisa kumuachia makongoro.
 
Source gazet la mwananch ukurasa wa 3, mtatiri asema amepokea simu ikimtaka awaachie chadema jimbo hilo ilihal yy ndo alikuwa ameachiwa kama mwana CUF mwenye ushawish jimbon pale# Makongoro hata akishindana na Jiwe kwa segerea Jiwe litamshinda
 
Mbona wapo washawishi wengi2 ndani ya ukawa na kulingana na nukuu ya hlo gazeti kwann wambie mtatiro aliachie jimbo wakati anakunalika na wanasegerea?
 
Nani amekwambia kuwa Chadema watamwachia Makongoro agombee jimbo la Segerea?

Kinachojukikana ni kuwa jimbo hilo la Segerea kura za maoni zishapigwa na mshindi atakayepeperusha bendera ya Ukawa kwa tiketi ya Chadema keshajulikana.

Huyo Makongoro itabidi asubirie zile nafasi 10 za kuteuliwa viti maalum na Rais pale ambapo EL atakuwa ametinga Ikulu.

Kwa jinsi EL walivyo 'maswahiba' na Makongoro bila shaka mzee wa mamvi hawezi kumsahau kwenye 'ufalme' wake kumpatia post ya Ubunge.
 
Ukawa busy mitandaoni.........wasipojipanga watashangazwa na goli la mkono. au penalt
 
Nani amekwambia kuwa Chadema watamwachia Makongoro agombee jimbo la Segerea?

Kinachojukikana ni kuwa jimbo hilo la Segerea kura za maoni zishapigwa na mshindi atakayepeperusha bendera ya Ukawa kwa tiketi ya Chadema keshajulikana.

Huyo Makongoro itabidi asubirie zile nafasi 10 za kuteuliwa viti maalum na Rais pale ambapo EL atakuwa ametinga Ikulu.

Kwa jinsi EL walivyo 'maswahiba' na Makongoro bila shaka mzee wa mamvi hawezi kumsahau kwenye 'ufalme' wake kumpatia post ya Ubunge.

Bora viti maalumu Lowassa ateue majembe kuliko wazee kama hao kina makongoro.
 
Mtatiro amethibitisha kutogombea tena jimbo la segerea kwa tiketi ya CUF kwa akil ya fasta fasta n kuwa hlo jimbo litapeperushwa na Chadema na mtu pekee wa kulitetea hlo n Makongoro mahanga Swaiba wa Edo aliehama CCM.....

Hapo Ukawa wamesshalicha jimbo hlo tayar

Chadema ina mgombea jimbo la Segerea na Wala si Mahanga. Mahanga alikuwa mchakato umekwisha na tena baada ya kukatwa CCM. Acha uongo.
 
Kuwa makini wewe hii ni the home of greet thinkers sawa?
 
JF ya zamani ungelikuwa ushapigwa BAN na upo lupango sasa...

Chadema walishafanya mchakato kitambo sana wa kura za maoni huko kabla hata huyo Mahanga hajakimbilia Chadema...

Mtatiro amethibitisha kutogombea tena jimbo la segerea kwa tiketi ya CUF kwa akil ya fasta fasta n kuwa hlo jimbo litapeperushwa na Chadema na mtu pekee wa kulitetea hlo n Makongoro mahanga Swaiba wa Edo aliehama CCM.....

Hapo Ukawa wamesshalicha jimbo hlo tayar
 
Mtatiro amethibitisha kutogombea tena jimbo la segerea kwa tiketi ya CUF kwa akil ya fasta fasta n kuwa hlo jimbo litapeperushwa na Chadema na mtu pekee wa kulitetea hlo n Makongoro mahanga Swaiba wa Edo aliehama CCM.....

Hapo Ukawa wamesshalicha jimbo hlo tayar

Malizia kiroba hicho mkuu kwanza.
 
Kama ni kweli Mtatiro kaachia, basi yawezekana anamwachia Dr.Slaa angombee ili ateuliwe kuwa Waziri Mkuu.
 
Mtatiro amethibitisha kutogombea tena jimbo la segerea kwa tiketi ya CUF kwa akil ya fasta fasta n kuwa hlo jimbo litapeperushwa na Chadema na mtu pekee wa kulitetea hlo n Makongoro mahanga Swaiba wa Edo aliehama CCM.....

Hapo Ukawa wamesshalicha jimbo hlo tayar
Huyo hana haki ya Kugombea?
 
Mtatiro amethibitisha kutogombea tena jimbo la Segerea kwa tiketi ya CUF kwa akili ya fasta fasta ni kuwa hilo jimbo litapeperushwa na CHADEMA na mtu pekee wa kulitetea hilo ni Makongoro Mahanga Swaiba wa Edo aliyehama CCM.

Hapo UKAWA wameshaliacha jimbo hilo tayari.

Kwa nini hukutaka kuamini kuwa limeachwa kwa ajili ya Dr. Slaa!!!!????
 
Kama hujui bora ukae kimya, segerea likikuwa limeachwa mikonon mwa CUF sasa chadema walifanya lini kura za maoni kule?
 
Makongoro Mahanga hana nafasi katika serikali itakayoundwa na Lowassa.
 
Back
Top Bottom