Mwaipaja ima
JF-Expert Member
- Oct 30, 2014
- 404
- 76
Habari!
Jamani nauliza LOWASSA alirudisha kadi ya CCM wakati anajiunga CHADEMA? Nauliza kwasababu kiutaratibu huwa mtu hurudisha kadi ya chama anachokihama kisha kukabidhiwa ya chama kipya. Lakini hili sikuliona wakati LOWASSA anajiunga CHADEMA au ndio kusema kwasababu ameinunua CHADEMA hakuna sababu ya kurudisha kadi ya CCM!
[/QUOT
Kaka akili yako inakiwango kizuri cha ufatiliaji wa majibu kweli?nina mashaka na wewe. Mzee wangu Slaa niliekuwa ninamuheshimu sana ambae nilikuwa ninamfananisha ki tabia na Baba yangu mzazi ki mfumo mzee D. Mwaipaja alitoa majibu yote pale Serena Hotel alivyo alikwa na ccm wenzake alitolea maelezo kuhusu kadi ya chama baada ya kuama chama kingine mpaka akatolea mf wa ndoa.hivyo post yko cheleweshi imekosa uzoto wa maana.
Habari!
Jamani nauliza LOWASSA alirudisha kadi ya CCM wakati anajiunga CHADEMA? Nauliza kwasababu kiutaratibu huwa mtu hurudisha kadi ya chama anachokihama kisha kukabidhiwa ya chama kipya. Lakini hili sikuliona wakati LOWASSA anajiunga CHADEMA au ndio kusema kwasababu ameinunua CHADEMA hakuna sababu ya kurudisha kadi ya CCM!
Habari!
Jamani nauliza LOWASSA alirudisha kadi ya CCM wakati anajiunga CHADEMA? Nauliza kwasababu kiutaratibu huwa mtu hurudisha kadi ya chama anachokihama kisha kukabidhiwa ya chama kipya. Lakini hili sikuliona wakati LOWASSA anajiunga CHADEMA au ndio kusema kwasababu ameinunua CHADEMA hakuna sababu ya kurudisha kadi ya CCM!
Kadi yake imelipiwa mpaka 2020 na hajarudishauanachama unaisha anaporejesha kadi na kuacha kulipia ada na kuacha kujihusisha kabisa na mambo ya chamaaa.
akifanya hayo atabaki kuwa follower not member
Anza kumuuliza kwanzaHabari!
Jamani nauliza LOWASSA alirudisha kadi ya CCM wakati anajiunga CHADEMA? Nauliza kwasababu kiutaratibu huwa mtu hurudisha kadi ya chama anachokihama kisha kukabidhiwa ya chama kipya. Lakini hili sikuliona wakati LOWASSA anajiunga CHADEMA au ndio kusema kwasababu ameinunua CHADEMA hakuna sababu ya kurudisha kadi ya CCM!
jibu swaliAnza kumuuliza kwanza
1:Mwampamba
2:shonza
3:Arfi
Je walirudisha kadi za cdm?
Jamaa anasauti sana ndani ya chama.Ivi huyu mzee alisharudisha kadi? Ana npango gan? Maana bado anamamluki ndani ya chama
Nasikia 23 atahudhuria ingawa UKAWA wamekana kuhudhuria maana yake anasauti zaid yao
Naona hujui nini maana ya hii alama'?'jibu swali