Lowassa alimuhofia Magufuli tangu 2005

Lowassa alimuhofia Magufuli tangu 2005

Apitakujilamba

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2013
Posts
205
Reaction score
83
Ukidadisi jinsi mambo yalivyoenda kuanzia mwaka 2005 hadi kipindi hiki cha mwaka 2015 utagundua kuwa Lowassa alimuhofia Dr Magufuli.

Mwaka 2005, Kikwete alipochukua uraisi kwa kusaidiwa na Lowassa na pia kuahidiana kuachiana kijiti, ifikapo 2015. Lakini Lowasa kama waziri mkuu aliona mbali kwamba Dr Magufuli akiwa waziri wa Ujenzi jina lake litaendelea kukua sana na kumuathiri katika nia yake ya kuwa raisi wa JMT.

Lowassa kama waziri mkuu alimshawishi raisi Kikwete wamteue Dr Magufuli katika wizara ya uvuvi ili kumpoteza kisiasa na jina lake lisiendelee kuvuma tena.

Lakini hali haikuwa hivyo kwa kuwa jina la Dr Magufuli liliendelea kuvuma hata akiwa katika wizara isiyotegemewa kumvumisha mtu. Vile vile kwa kipindi hicho wizara ya ujenzi ilidumaa kabisa ikiwa chini ya Dr Kawambwa, miradi mingi ya ujenzi kwa wakati huo ilizorota.

Ilipofika mwaka 2010, wananchi wengi walitaka Dr Magufuli arudishwe sehemu yake na Kikwete alimrudisha maana Lowassa kwa kipindi hicho alikuwa ameshajiudhuru. Na kama Lowassa alivyohisi mpinzani wake mkuu angekuwa Dr Magufuli na kweli imekuwa hivyo
 
Na hata swala la samaki zilikuwa ni zile zile mbinu za kumhujumu lakini Mungu kaamua mtawala atoke kwake ..Magufuri kapiganiwa na Mungu pekee mpaka anakuwa rais ..viva JJP Magufuri.
 
Anayeteua waziri ni Rais au Waziri Mkuu ?.Kama Rais ndiye mwenye mamlaka ya uteuzi ni kwanini tusiseme Kikwete alimhofia Magufuli pindi akimaliza awamu yake angeweza kuzuia uchaguzi wake Bernard Membe.
 
pumbavuuuuuuu!!!! na ban spigw sasa[/QUOT

Wewe ndio mpumbavu na lofa kabisa, nani wa kukupiga ban watakuacha tu ili uendelee kuwa mpumbavu.....na utakufa ukiwa mpumbavu hadi uzao wako wote utakiwa wa kipumbavu.
 
Ukidadisi jinsi mambo yalivyoenda kuanzia mwaka 2005 hadi kipindi hiki cha mwaka 2015 utagundua kuwa Lowassa alimuhofia Dr Magufuli.

Mwaka 2005, Kikwete alipochukua uraisi kwa kusaidiwa na Lowassa na pia kuahidiana kuachiana kijiti, ifikapo 2015. Lakini Lowasa kama waziri mkuu aliona mbali kwamba Dr Magufuli akiwa waziri wa Ujenzi jina lake litaendelea kukua sana na kumuathiri katika nia yake ya kuwa raisi wa JMT.

Lowassa kama waziri mkuu alimshawishi raisi Kikwete wamteue Dr Magufuli katika wizara ya uvuvi ili kumpoteza kisiasa na jina lake lisiendelee kuvuma tena.

Lakini hali haikuwa hivyo kwa kuwa jina la Dr Magufuli liliendelea kuvuma hata akiwa katika wizara isiyotegemewa kumvumisha mtu. Vile vile kwa kipindi hicho wizara ya ujenzi ilidumaa kabisa ikiwa chini ya Dr Kawambwa, miradi mingi ya ujenzi kwa wakati huo ilizorota.

Ilipofika mwaka 2010, wananchi wengi walitaka Dr Magufuli arudishwe sehemu yake na Kikwete alimrudisha maana Lowassa kwa kipindi hicho alikuwa ameshajiudhuru. Na kama Lowassa alivyohisi mpinzani wake mkuu angekuwa Dr Magufuli na kweli imekuwa hivyo

kwikwikwikwikwikwikwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Ukidadisi jinsi mambo yalivyoenda kuanzia mwaka 2005 hadi kipindi hiki cha mwaka 2015 utagundua kuwa Lowassa alimuhofia Dr Magufuli.

Mwaka 2005, Kikwete alipochukua uraisi kwa kusaidiwa na Lowassa na pia kuahidiana kuachiana kijiti, ifikapo 2015. Lakini Lowasa kama waziri mkuu aliona mbali kwamba Dr Magufuli akiwa waziri wa Ujenzi jina lake litaendelea kukua sana na kumuathiri katika nia yake ya kuwa raisi wa JMT.

Lowassa kama waziri mkuu alimshawishi raisi Kikwete wamteue Dr Magufuli katika wizara ya uvuvi ili kumpoteza kisiasa na jina lake lisiendelee kuvuma tena.

Lakini hali haikuwa hivyo kwa kuwa jina la Dr Magufuli liliendelea kuvuma hata akiwa katika wizara isiyotegemewa kumvumisha mtu. Vile vile kwa kipindi hicho wizara ya ujenzi ilidumaa kabisa ikiwa chini ya Dr Kawambwa, miradi mingi ya ujenzi kwa wakati huo ilizorota.

Ilipofika mwaka 2010, wananchi wengi walitaka Dr Magufuli arudishwe sehemu yake na Kikwete alimrudisha maana Lowassa kwa kipindi hicho alikuwa ameshajiudhuru. Na kama Lowassa alivyohisi mpinzani wake mkuu angekuwa Dr Magufuli na kweli imekuwa hivyo

Lengo lako ni kumdhalilisha Mheshimiwa Rais, ionekane km Rais NI MTU wa kubambikiwa mambo naye anatekeleza.

Mheshimu Rais amefanyia mengi hii nchi
 
Ukidadisi jinsi mambo yalivyoenda kuanzia mwaka 2005 hadi kipindi hiki cha mwaka 2015 utagundua kuwa Lowassa alimuhofia Dr Magufuli.

Mwaka 2005, Kikwete alipochukua uraisi kwa kusaidiwa na Lowassa na pia kuahidiana kuachiana kijiti, ifikapo 2015. Lakini Lowasa kama waziri mkuu aliona mbali kwamba Dr Magufuli akiwa waziri wa Ujenzi jina lake litaendelea kukua sana na kumuathiri katika nia yake ya kuwa raisi wa JMT.

Lowassa kama waziri mkuu alimshawishi raisi Kikwete wamteue Dr Magufuli katika wizara ya uvuvi ili kumpoteza kisiasa na jina lake lisiendelee kuvuma tena.

Lakini hali haikuwa hivyo kwa kuwa jina la Dr Magufuli liliendelea kuvuma hata akiwa katika wizara isiyotegemewa kumvumisha mtu. Vile vile kwa kipindi hicho wizara ya ujenzi ilidumaa kabisa ikiwa chini ya Dr Kawambwa, miradi mingi ya ujenzi kwa wakati huo ilizorota.

Ilipofika mwaka 2010, wananchi wengi walitaka Dr Magufuli arudishwe sehemu yake na Kikwete alimrudisha maana Lowassa kwa kipindi hicho alikuwa ameshajiudhuru. Na kama Lowassa alivyohisi mpinzani wake mkuu angekuwa Dr Magufuli na kweli imekuwa hivyo

Lowassa anatosha
 
Magufuli ni zali la mentali wala hakuna aliyekuwa anamhofia
 
  • Thanks
Reactions: amu
Ukidadisi jinsi mambo yalivyoenda kuanzia mwaka 2005 hadi kipindi hiki cha mwaka 2015 utagundua kuwa Lowassa alimuhofia Dr Magufuli.

Mwaka 2005, Kikwete alipochukua uraisi kwa kusaidiwa na Lowassa na pia kuahidiana kuachiana kijiti, ifikapo 2015. Lakini Lowasa kama waziri mkuu aliona mbali kwamba Dr Magufuli akiwa waziri wa Ujenzi jina lake litaendelea kukua sana na kumuathiri katika nia yake ya kuwa raisi wa JMT.

Lowassa kama waziri mkuu alimshawishi raisi Kikwete wamteue Dr Magufuli katika wizara ya uvuvi ili kumpoteza kisiasa na jina lake lisiendelee kuvuma tena.

Lakini hali haikuwa hivyo kwa kuwa jina la Dr Magufuli liliendelea kuvuma hata akiwa katika wizara isiyotegemewa kumvumisha mtu. Vile vile kwa kipindi hicho wizara ya ujenzi ilidumaa kabisa ikiwa chini ya Dr Kawambwa, miradi mingi ya ujenzi kwa wakati huo ilizorota.

Ilipofika mwaka 2010, wananchi wengi walitaka Dr Magufuli arudishwe sehemu yake na Kikwete alimrudisha maana Lowassa kwa kipindi hicho alikuwa ameshajiudhuru. Na kama Lowassa alivyohisi mpinzani wake mkuu angekuwa Dr Magufuli na kweli imekuwa hivyo

wewe ni mmoja wa watu waliopangishiwa nyumba pale upanga,sasa mnafmika vizuri kwa kueneza propaganda mitandaoni,tunakuja hapo
 
wewe ni mmoja wa watu waliopangishiwa nyumba pale upanga,sasa mnafmika vizuri kwa kueneza propaganda mitandaoni,tunakuja hapo
 
wewe ni mmoja wa watu waliopangishiwa nyumba pale upanga,sasa mnafmika vizuri kwa kueneza propaganda mitandaoni,tunakuja hapo

kweli siasa za chadema ni za karne iliyopita. Hawataki kupingwa,kukosolewa wale usiwe na mawazo mbadala. Utatukanwa, utashambuliwa utafikiri mbwa wa kichaa. Ukweli ccm ni mfano wa kuigwa. Ina siasa za kistaarabu, kuvumiliana, nk. Sasa wenzetu hawa wakipewa ridhaa ya kuingia ikulu wa tz tutaponaa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom