Kwa haraka haraka nikama makali ya kuitwa fisadi yatapungua maana alivyokuwa CCM aliitwa fisadi na kuwekwa kwenye list.lipumba na slaa walikuwa wanajua wafanyalo that's why walimkimbia fisadi lowasa
Kwanza mue mnachosha Vichwa vyenu kwa tafiti kabla ya kuja na thread zenu zaifu hapa jukwaani.Wakuu habari za asubuhi,
Nimejiuliza swali hilohapo juu, sababu wote tunafahamu kilicho muondoa Dr. Slaa CHADEMA.
Kwa kauliyake Dr. Slaa nikwamba yeye alijitoa CHADEMA sababu alikuwa ndie alie mtangaza Lowassa katika list of shame, na hakuwa na jinsi ya kumsafisha. Sasa ikitokea akakarudi CCM ningependa kusikia Dr. Slaa anamzungumziaje Lowassa.
Ngoja nisubiri kuona kunakitu kingine nataka kujifunza hapa.
Watakutana huko ndio tusubiri majibu.Wakuu habari za asubuhi,
Nimejiuliza swali hilohapo juu, sababu wote tunafahamu kilicho muondoa Dr. Slaa CHADEMA.
Kwa kauli yake Dr. Slaa ni kwamba yeye alijitoa CHADEMA sababu alikuwa ndie aliemtangaza Lowassa katika list of shame, na hakuwa na jinsi ya kumsafisha. Sasa ikitokea akakarudi CCM ningependa kusikia Dr. Slaa anamzungumziaje Lowassa.
Ngoja nisubiri kuona kuna kitu kingine nataka kujifunza hapa.
Dr slaw ndio alimfuata lowassa bashite hivi wewe akili zake zipo wapiDr silaa angekuwa mnafiki angeishi maisha mazuri sana..ila misimamo ya kutaka ukweli ndio inamponza..haoni mbowe anavyobadili gia tu..muda na saa yoyote akitaka.
Alisema alitaka ajisafishe akiwa CCM kabla hajahamia ila slaa alikuwa tayari kumpokea mbona unamlisha manenoSlaa hakupinga Lowassa kuhamia Chadema alipinga Lowassa kugombea Urais kupitia Chadema wakati aliitwa Fisadi na kutangazwa hivyo for eight years
Wahenga walisema 'Ni Heri ukosee kujenga kuliko kukosea kuoa",Wakuu habari za asubuhi,
Nimejiuliza swali hilohapo juu, sababu wote tunafahamu kilicho muondoa Dr. Slaa CHADEMA.
Kwa kauli yake Dr. Slaa ni kwamba yeye alijitoa CHADEMA sababu alikuwa ndie aliemtangaza Lowassa katika list of shame, na hakuwa na jinsi ya kumsafisha. Sasa ikitokea akakarudi CCM ningependa kusikia Dr. Slaa anamzungumziaje Lowassa.
Ngoja nisubiri kuona kuna kitu kingine nataka kujifunza hapa.
Mkuu unavyosema hakupinga unamaanagani, hoja ya kwamba lowasa angejisafisha mwenyewe kwanza ndio ajechadema, unadhani mudaulikuwa unatosha kujisafisha au yalifanyika maandalizi ya zimamoto ili kumpatamgombea kwa namnayoyote?.Kwanza mue mnachosha Vichwa vyenu kwa tafiti kabla ya kuja na thread zenu zaifu hapa jukwaani.
Dr hakupinga Lowassa kuja chadema, iispokua alitaka mpango kazi ufanyike wa Namna ya Lowassa kujiunga na chadema, ikiwemo yeye Lowassa kuitisha press conference na kujisafisha mwenyewe kwamba si fisadi, sio kazi hiyo ifanywe na chadema, sasa Mbowe kwa kua alikula mlungula wakutosha akampotezea katibu wake, madhara yake ndo Haya mnayoyaona, hivyo chadema imeloose power iliokua nayo hapo mwanzo,
Suala la kukutana wao haijarishi, watakutana, ngoma droo,Lowassa kaukosa urais, Chadema baada ya Dr kuondoka kwa kutomsikiliza imeanza ku loose power
Logic.Slaa hana shida na Lowasa kupokelewa CHADEMA ila ana shida na Lowasa kupewa ugombea urais.
Sasa hata Lowasa akirudi CCM hatakua mgombea urais wa CCM wala kiongozi atakua mwanachama hatamuathiri chochote Slaa.
Hata Lowassa angekua CHADEMA kama mwanachama na sio mgombea Slaa asingetoka CHADEMA kwasababu hiyo coz alimpokea mwenyewe CHADEMA
Ila unaonekana alipo huyu na wewe upoKwani Dr Slaa anaenda kufanya kazi na Lowasa ama Magufuli.?
Makanda bwana gia ya angani itawatesa sana.
Kwani Dr ni CCM?Mkuu unavyosema hakupinga unamaanagani, hoja ya kwamba lowasa angejisafisha mwenyewe kwanza ndio ajechadema, unadhani mudaulikuwa unatosha kujisafisha au yalifanyika maandalizi ya zimamoto ili kumpatamgombea kwa namnayoyote?.
Hapa jibunimoja tu kwamba Slaa alipinga ujio wa lowasa,no matter alitumia njiagani, kupinga ni kupingatu.
Nataka aseme kitu sasahivi kama lowasa akirudi ccm.
huyoooooo kaja mbio kujibu. Maliza kwanza kuoga weweee!!angalia bado povu liko sikioniKwani Dr Slaa anaenda kufanya kazi na Lowasa ama Magufuli.?
Makanda bwana gia ya angani itawatesa sana.