Lowassa akirudi CCM, Dkt. Slaa atasemaje?

Lowassa akirudi CCM, Dkt. Slaa atasemaje?

Liwagu

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2017
Posts
5,791
Reaction score
6,995
Wakuu habari za asubuhi,

Nimejiuliza swali hilohapo juu, sababu wote tunafahamu kilicho muondoa Dr. Slaa CHADEMA.

Kwa kauli yake Dr. Slaa ni kwamba yeye alijitoa CHADEMA sababu alikuwa ndie aliemtangaza Lowassa katika list of shame, na hakuwa na jinsi ya kumsafisha. Sasa ikitokea akakarudi CCM ningependa kusikia Dr. Slaa anamzungumziaje Lowassa.

Ngoja nisubiri kuona kuna kitu kingine nataka kujifunza hapa.
 
Wanasiasa wengi wako hivi;
●Leo anasema hapana tena kwa hasira kali.
●Kesho anasema ndiyooooo!!! Tena kwa furaha na kicheko.
●Keshokutwa anasema hamkunielewa, mlini-quote vibaya, msinilishe maneno.
Hata akiwekewa video clip ya alichosema anakataa na kudai kuna mtu kaigiza sauti yake, siyo yeye.
 
Wakuu habari za asubuhi,

Nimejiuliza swali hilohapo juu, sababu wote tunafahamu kilicho muondoa Dr. Slaa CHADEMA.

Kwa kauliyake Dr. Slaa nikwamba yeye alijitoa CHADEMA sababu alikuwa ndie alie mtangaza Lowassa katika list of shame, na hakuwa na jinsi ya kumsafisha. Sasa ikitokea akakarudi CCM ningependa kusikia Dr. Slaa anamzungumziaje Lowassa.

Ngoja nisubiri kuona kunakitu kingine nataka kujifunza hapa.

Kwanza Dr. Slaa ni mwanachama wa Chama gani kwa sasa. Hata kama ni CCM na Lowasaa akarudi CCM hana la kufanya kwa sababu Lowassa hawezi kupewa tena madaraka makubwa ndani ya CCM
 
Wakuu habari za asubuhi,

Nimejiuliza swali hilohapo juu, sababu wote tunafahamu kilicho muondoa Dr. Slaa CHADEMA.

Kwa kauliyake Dr. Slaa nikwamba yeye alijitoa CHADEMA sababu alikuwa ndie alie mtangaza Lowassa katika list of shame, na hakuwa na jinsi ya kumsafisha. Sasa ikitokea akakarudi CCM ningependa kusikia Dr. Slaa anamzungumziaje Lowassa.

Ngoja nisubiri kuona kunakitu kingine nataka kujifunza hapa.
Na Dr slaa yuko CCM...sasa tatizo nini..ngoma draw..BTW Mshindi hapa ni slaa
 
Hata sema kitu. Kwani lowassa atakuwa na mamlaka gani ndani ya CCM?

Ndani ya ccm kuna majizi na mafedhuli kuliko lowassa
 
Dr silaa angekuwa mnafiki angeishi maisha mazuri sana..ila misimamo ya kutaka ukweli ndio inamponza..haoni mbowe anavyobadili gia tu..muda na saa yoyote akitaka.
 
Back
Top Bottom