Lowassa ajipanga kuihama CHADEMA

Huyu mwamba wa Kaskazini nakumbuka ndo alipunguza ruzuku ya Magamba na kuwaongezea CHADEMA waliopata 40%, huku Magamba yenyewe yakiwa na 58% ambayo imeweka rekodi mbaya kwa chama hicho toka pale Tanzania ilipopata uhuru. Kamwe Magamba hawatamsahau huyu jamaa.
 
ccm hatuna kumbukumbu zake.
 
Siyaamini magezeti ya kibongo
Bora jf napata ukweli kuliko magezeti yetu yapo kibiashara sana
 
KITENGO CHA PROPAGANDA CHA CCM,CHA CHACHAMALIA MAMBO YASIYOWEZEKANA...
Mara mnyika,sasa lowassa baadae nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…