Lowassa aisoma namba mara tatu (3) CCM

Lowassa aisoma namba mara tatu (3) CCM

Nisichoelewa mpaka leo ni wale waliosema hafai amechafuka,wakasema tumesikia ccm inataka kumpa fomu mtu fisadi ya kugombea urais ni hatari,watu hawa tena muda c mrefu wakasema,mchagueni huyu anatufaa,ataleta mabadiliko ya kweli,anachukia umasikini,mpeni kura ya ndiyo. AJABU SANA
 
Mto NGONO nasikia umekauka.Gulio la KATERERO nalo lilipitiwa na tetemeko.
 
Yanayoendelea gambia huko ccm wanahisi tumbo la kuhara,Huwaskii hata wakitoa maoni yao kwa uhuru kabisa utazan kama wamemwagiwa maji,hii inadhihirisha 2015 haukua mwaka wa haki kwao kuanzia kampen chafu hadi samduku la kura
Mbaya zaid 2020 hii hapa na mpaka sasa hakueleweki kabisa,Gambia huko nako ECOWAS WAMETOA SOLUTION MPYA YA WANAOCHEZEA UCHAGUZ KWA KULINGISHIA DOLA
 
Ndiyo basi tena huyu fisadi hana chake tena.
 
MTU hutakiwi kuchunguza mwenzio pesa anapata wapi hayonimajungu yakiswahili Swahili nawwe zitafute kimpango wako
 
Huyu huyu.ndo tunamtaka.nitajiwe kiongozi mkamilifu mmoja.anayetoka ccm.
 
Kuna wakati mtu unakuwa hufikirii kucomment lakini unajikuta unacomment.
Hivi huyu jamaa ana kitu gani hasa kikubwa?
Uchaguzi ulikuwa mwaka juzi na alishindwa uchaguzi kwa ninavyoamini. Kinachonishangaza ni kuwa hata siku moja kama siyo,TV,gazeti,blogs basi itakuwa radio lazima usikie jina lake! Kwa nini? Nmesoma hii story ingawa sijaelewa maudhui yake lakini nmejikuta nawaza sana kumhusu huyu mtu!
Ni fisadi kama nilivyokuwa naamini kweli,kinachonisumbua sasa kwa nini hakamatwi kwa kesi ya ufisadi? Mahakama maalumu ilianzishwa ya ufisadi,binafsi nilijua kesi namba moja katika mahakama hiyo itakuwa ya huyu jamaa! Kwa sasa tulitangaziwa mahakama haina kesi hata moja,yaani zimemalizika kwa maana hiyo no more fisadiz in Tanzania. Jamaa huyu anapepea tu hata kesi hana,kwa maana hiyo sio fisadi!
Maajabu mengine kwa sasa amekuwa kila anakopita attention inakuwa kubwa sana ni kwa nini?
Juzi kati kapita mjini Geita,ile kusalimia wananchi tu tayari polisi wameshafika na kumchukua kesi gani? Hakuna ila kapewa tu ulinzi?
Inanipa wakati mgumu sana kumwelewa huyu mtu,kwa nini yeye tu? Ana nini? Hili jina lina nguvu gani?
Hivi ni kumpa promo au kummaliza?
 
Unaakili za kimaskini sana na zilizojaa wivu kwa wenye nazo..huna tofaut na
 
Kumpa MTU shavu sio kumpiga.lowasa ng'ara.siri yako anaijua ALLA
 
Lowassa ni mfalme anayelindwa na ccm. Pesa ya lowassa haiwalipi walinzi wake uchwara.
Ccm wanamuogopa sana ndo maana kila uchao wanatuma walinzi kujua Lowassa yuko wapi na anafanya nn. Hapa rejea ya Geita

MTU anacomment ujingaujinga eti oooh kapanda ndege, oooh anapesa za ufisadi nk.
Hamtaki kutoka nje ya himaya zenu kwa sababu ya English prblm na hamsemi wazi kuwa hilo ndo tatizo
 
Lowassa ni mfalme anayelindwa na ccm. Pesa ya lowassa haiwalipi walinzi wake uchwara.
Ccm wanamuogopa sana ndo maana kila uchao wanatuma walinzi kujua Lowassa yuko wapi na anafanya nn. Hapa rejea ya Geita

MTU anacomment ujingaujinga eti oooh kapanda ndege, oooh anapesa za ufisadi nk.
Hamtaki kutoka nje ya himaya zenu kwa sababu ya English prblm na hamsemi wazi kuwa hilo ndo tatizo
Englishi siyo tatizo kwenda nje ni maamzi
 
Umaskini siyo joho la ufahari, Tatizo kubwa aliloliacha huyo marehemu ni sera ya ujamaa, kuwa utajiri ni jinai, Ndiyo ujinga walio nao watanzania wengi leo. Dunia ya leo imebadilika tupo kwenye utandawazi.
 
Back
Top Bottom