Hao wote ni machinga na wanauza viatu na wamebeba viatu na mabegi yao mgongoni na pia picha inaonyesha viatu ni visafi na mmoja anaonyesha viatu tofauti hiyo ipo wazi ni wamachinga wapo zao kazin wanampa hi mzee wao au huyo wakatikati akikuwa kava viatu tofauti? bas atakuwa ni kichaa bas