Pole sana Lowassa, hii ndio balaa ya kuwa UKAWA.
Kitaalamu kumuinulia kiatu Kama hawa jamaa kwa kiongozi mkubwa ni matusi makubwa na haipendezi
Heheheee! Jamani, hao ni machinga wauza viatu. Huoni wote wana mizigo ya viatu migongoni kwao?
Pole sana Lowassa, hii ndio balaa ya kuwa UKAWA.
Kitaalamu kumuinulia kiatu Kama hawa jamaa kwa kiongozi mkubwa ni matusi makubwa na haipendezi
Next try to consult physicians, it seems you are not well.Akili yako imejaa tope kweli,, hiyo picha hata ukiwapelekea lumumba watakuchapa vibao kwa kuwadanganya...
Mtapinga sana mwaka huu, lakini kilio kamili ni October 25 siku ambayo mtabebwa na ambulance kuelea hospitali za CCM.
Jifunze kutafsir Ishara. Ndio maana mliitwa Malofa.
Pole sana Lowassa, hii ndio balaa ya kuwa UKAWA.
Kitaalamu kumuinulia kiatu Kama hawa jamaa kwa kiongozi mkubwa ni matusi makubwa na haipendezi
Pole sana Lowassa, hii ndio balaa ya kuwa UKAWA.
Kitaalamu kumuinulia kiatu Kama hawa jamaa kwa kiongozi mkubwa ni matusi makubwa na haipendezi
Dah yaani resolution ya rais mtalajiwa na hao.walovaa viatu ni.tofauti kabisa....dah MBONA MNAANGAIKA SANA??
KIFO CHA NYANI MITI YOTE HUTEREZA KWELI DAH.
Hivi nani kagombea Urais kwa tiketi Ya CCM na mgombea mwenza anaitwa nani? Maana mitandaoni ni Lowasa na Babu Duni
Hivi nani kagombea Urais kwa tiketi Ya CCM na mgombea mwenza anaitwa nani? Maana mitandaoni ni Lowasa na Babu Duni