Ccm ogopeni Mungu. Acheni kuwapa fedha vijana na kuwavalisha kilofa ili wamfanyie lowasa mambo haya halafu mnadai ni Chadema wamemchoka! Vijana hawa wanafahamika kuwa ni ccm na wanasema mtaani baada ya kitendo hiki kuwa wamehongwa! Eti kwao hapendwi mtu bali noti!!!