Inakusaidia nini?Hasa haya hapa chini.
Mnataka awaeleze nini? Upinzani hauna uwezo wa kuongoza serikali.
Inanisaidia kuboresha ubongo wenu ili muweze kuona picha kubwa (big picture) ya masuala ya nchi yetu inavyotakiwa kuongozwa.Inakusaidia nini?
Kuhusu Chadema, alisema chama hicho kikuu cha upinzani kinakua haraka, kinaongeza idadi ya wanachama na viongozi wengi, hivyo akasema kinachotakiwa ni kujenga uwezo wao.
Alisema uzoefu huo hauwezi kuja kwa siku moja, bali kwa muda mrefu kama ilivyo kwa CCM.
Jaribu kufikiri jee maswali kama hayo angepewa dereva wa Lori majibu yangekuwaje? yule ambaye hata mkewe anajuta kuongozana naye mikutanoni kwani hayakawii kumtoka maneno ya ajabu utadhani kameza betri iliyochuja?Maneno ya busara kabisa
Wameudhika kwsbb kamsifia Uncle Magu na wenyew hawapendi ndomana hawaonekanDuh wapenzi wake wamelala au ndio wamemchoka... maana uzi hadi kufikia karibu saa moja upo kwa page hii eeeh
Magufuli oyeeeeee
Kuna baadhi ya wana-chadema wameandika hata humu JF wakipendekeza 2020 chama kimsimamishe lisu kugombea urais. Lowasa anatuma ujumbe mzito kwa yeyote mwenye kuwaza urais kupitia chadema.Tehe tehe tehe mbona anataka kuwabania wengine wanaowania hiyo nafasi kusimamishwa kugombea urais!
LA kujutia analo kwa nafasi alizoshika toka Mdogo alitakiwa baada ya kuacha uwaziri mkuu akae kimya asiwe active kwenye siasa ili awaachie jina jema wanae na wajukuu waweze kupewa nafasi Kama watoto wa jomo Kenyatta ,jaramogi odinga george bush, Ali Hassan Mwinyi, sokoine nk kawaharibia jina watoto kiasi kuwa mtu kuwa na jina lowasa mwisho unaonekana kibaka tu na huna hadhi. lowasa kaua jina kumwa la ukoo wa Lowasa. Heshima ni jina sio pesaMzee Lowassa Mungu akupe maisha marefu sana.
Hadi pesa za RICHMOND DOWANS ziishe.Mzee Lowassa Mungu akupe maisha marefu sana.