Mgeuzie huone moto wake kama hawezi kupiga shuti.Lowassa hata akiachwa peke yake na goli hana uwezo wa kupiga shuti la kuingia wavuni
Mhh!! shauri yako wewe endelea kutega gwedo ukidhani sii rahisi!!Lowassa hata akiachwa peke yake na goli hana uwezo wa kupiga shuti la kuingia wavuni
Jengeni hoja maccm huyu jamaa anawatoa jasho sana
Lowassa hata akiachwa peke yake na goli hana uwezo wa kupiga shuti la kuingia wavuni
Lowassa hata akiachwa peke yake na goli hana uwezo wa kupiga shuti la kuingia wavuni
Mrengeshee mkeo uone majibu yake
Mhh!! shauri yako wewe endelea kutega gwedo ukidhani sii rahisi!!
Kumbe mpaka Mama Samia anamkopia!!!!!Kiukweli mbinu zake ni zilezile za ki ccm ambazo zimemleya tangua akiwa mdogo,Samia akienda hospital ya Huruma kusikiliza kero na yeye anataka kwenda hukohuko,watu wakifanya mkutano jangwani na yeye anataka kwenda hapohapo
Huyu jamaa amelelewa katika misingi ya CCM na ndio maana hata agenda zake ni zilezile za CCM
Mrengeshee mkeo uone majibu yake
Kiukweli mbinu zake ni zilezile za ki ccm ambazo zimemleya tangua akiwa mdogo,Samia akienda hospital ya Huruma kusikiliza kero na yeye anataka kwenda hukohuko,watu wakifanya mkutano jangwani na yeye anataka kwenda hapohapo
Huyu jamaa amelelewa katika misingi ya CCM na ndio maana hata agenda zake ni zilezile za CCM
mpe uone atavyofumua....