Lowassa achafua Dodoma kwa rushwa

Lowassa achafua Dodoma kwa rushwa

Naface

Member
Joined
May 27, 2015
Posts
66
Reaction score
65
MABILIONI HAYA ANAYOMWAGA LOWASSA HAPA DODOMA TAKUKURU MKO WAPI?

Wakuu Dodoma sasa inatisha Wallahi naapa tangu nizaliwe sijawahi kuona mabilioni ya pesa yakimwagwa kama njugu katika Mji huu wa Dodoma.

Leo nimemshuhudi Mpambe wa Lowassa hapa Rainbow pub Dodoma akigawa mabulungutu ya elfu kumi kumi kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu walioanza kuwasili Mjini hapa.

Huyu Bwana anaitwa Kivuyo almaarufu kwa jina la Baba T. Zamani alikuwa mfanyakazi wa Vodacom.

Jamaa ni mpambe wa kutupwa wa Lowassa ndiye aliyepewa jukumu la kumwaga mabulungutu kwa Wajumbe ili kuhakikisha Mzee Lowassa anakamata Ikulu ya Magogoni.

Katika jukumu hilo la kumwaga rushwa, ndugu Kivuyo anasaidiwa kwa karibu na mdada aitwaye Esther Boniface Moshi mwenye simu namba 0652395516 ambaye anaishi Tabata Jijini Dar es Salaam.

Jamani jamaa wana hela chafu hawa sijui wanazitoa wapi katika uchumi huu mbovu wa Kibongobongo.

Ntaendelea kuwajuza bila chenga kwa sababu nipo karibu na watu hawa na wananiamini sana,ila kwa maslahi ya taifa letu kamwe sitanunulika.
 
wewe ushakula km ngapi hv mie sitapata nikimpigia huyo dada ama ni wajumbe tuuu wa nec.waliopo tumewachoka,wanaokuja hatuwaamini kabisa
 
MABILIONI HAYA ANAYOMWAGA LOWASSA HAPA DODOMA TAKUKURU MKO WAPI?
Wakuu Dodoma sasa inatisha Wallahi naapa tangu nizaliwe sijawahi kuona mabilioni ya pesa yakimwagwa kama njugu katika Mji huu wa Dodoma.
Leo nimemshuhudi Mpambe wa Lowassa hapa Rainbow pub Dodoma akigawa mabulungutu ya elfu kumi kumi kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu walioanza kuwasili Mjini hapa.
Huyu Bwana anaitwa Kivuyo almaarufu kwa jina la Baba T. Zamani alikuwa mfanyakazi wa Vodacom. Jamaa ni mpambe wa kutupwa wa Lowassa ndiye aliyepewa jukumu la kumwaga mabulungutu kwa Wajumbe ili kuhakikisha Mzee Lowassa anakamata Ikulu ya Magogoni.
Katika jukumu hilo la kumwaga rushwa, ndugu Kivuyo anasaidiwa kwa karibu na mdada aitwaye Esther Boniface Moshi mwenye simu namba 0652395516 ambaye anaishi Tabata Jijini Dar es Salaam. Jamani jamaa wana hela chafu hawa sijui wanazitoa wapi katika uchumi huu mbovu wa Kibongobongo.
Ntaendelea kuwajuza bila chenga kwa sababu nipo karibu na watu hawa na wananiamini sana,ila kwa maslahi ya taifa letu kamwe sitanunulika.

dah na wewe jamaa!! Changamka
ndio pa kutajirikia hapo! Waweza
pata 'bulungutu la efu kumi' na wewe
kama vipi unabadilisha nguo na
kurudi tena kwenye foleni.
 
Kumbe ni junior member wa kazi maalumu endelea mkuu membe atakukumbuka hata kwa cheo cha houseboy.


QUOTE=Naface;13200835]MABILIONI HAYA ANAYOMWAGA LOWASSA HAPA DODOMA TAKUKURU MKO WAPI?
Wakuu Dodoma sasa inatisha Wallahi naapa tangu nizaliwe sijawahi kuona mabilioni ya pesa yakimwagwa kama njugu katika Mji huu wa Dodoma.
Leo nimemshuhudi Mpambe wa Lowassa hapa Rainbow pub Dodoma akigawa mabulungutu ya elfu kumi kumi kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu walioanza kuwasili Mjini hapa.
Huyu Bwana anaitwa Kivuyo almaarufu kwa jina la Baba T. Zamani alikuwa mfanyakazi wa Vodacom. Jamaa ni mpambe wa kutupwa wa Lowassa ndiye aliyepewa jukumu la kumwaga mabulungutu kwa Wajumbe ili kuhakikisha Mzee Lowassa anakamata Ikulu ya Magogoni.
Katika jukumu hilo la kumwaga rushwa, ndugu Kivuyo anasaidiwa kwa karibu na mdada aitwaye Esther Boniface Moshi mwenye simu namba 0652395516 ambaye anaishi Tabata Jijini Dar es Salaam. Jamani jamaa wana hela chafu hawa sijui wanazitoa wapi katika uchumi huu mbovu wa Kibongobongo.
Ntaendelea kuwajuza bila chenga kwa sababu nipo karibu na watu hawa na wananiamini sana,ila kwa maslahi ya taifa letu kamwe sitanunulika.[/QUOTE]
 
Amakweli umeshajitamburisha wewe mzalendo waukweli lete habari zaid
 
Membe anatumia kila awezalo kumchafuwa lowassa,lakin sasa cha ajabu wameshachelewa.Huwa najiuliza hawana mshauri wa kimkakati jamani??badilisheni mkakati jaribuni mwingine kila siku urojo ule ule sasa mnalipwaje hivyo?
 
Urais wa Tanzania tangia afe nyerere umewekewa bei (tag )
Raia wenyewe wa Tanzania bila hela hawakupigii kura

Mwache EL agawe tu maana ndio hali yenywe sisi tunasubiria khanga na kofia huku ushirombo
 
hivi hawa pro membe wana ID ngapi humuu maana mwingine katupia uzi huu anajiita Rajas yani washaanza kuchanganyikiwa mapema hivii,kweli mamvi hakamatiki maana REDET imeshawalevya vyakutosha
 
Sasa mtu hata tano bora hajapita akahonge mkutano mkuu,yani timu Membe hata kujipanga hamjui timu imejaa maboya
 
hivi hawa pro membe wana ID ngapi humuu maana mwingine katupia uzi huu anajiita Rajas yani washaanza kuchanganyikiwa mapema hivii,kweli mamvi hakamatiki maana REDET imeshawalevya vyakutosha

Team maembe hawana ham na EL kila wakipanga fitna mamvi anapaa tu.Mwaka huu watajuta mkuu.
 
MABILIONI HAYA ANAYOMWAGA LOWASSA HAPA DODOMA TAKUKURU MKO WAPI?
Wakuu Dodoma sasa inatisha Wallahi naapa tangu nizaliwe sijawahi kuona mabilioni ya pesa yakimwagwa kama njugu katika Mji huu wa Dodoma.
Leo nimemshuhudi Mpambe wa Lowassa hapa Rainbow pub Dodoma akigawa mabulungutu ya elfu kumi kumi kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu walioanza kuwasili Mjini hapa.
Huyu Bwana anaitwa Kivuyo almaarufu kwa jina la Baba T. Zamani alikuwa mfanyakazi wa Vodacom. Jamaa ni mpambe wa kutupwa wa Lowassa ndiye aliyepewa jukumu la kumwaga mabulungutu kwa Wajumbe ili kuhakikisha Mzee Lowassa anakamata Ikulu ya Magogoni.
Katika jukumu hilo la kumwaga rushwa, ndugu Kivuyo anasaidiwa kwa karibu na mdada aitwaye Esther Boniface Moshi mwenye simu namba 0652395516 ambaye anaishi Tabata Jijini Dar es Salaam. Jamani jamaa wana hela chafu hawa sijui wanazitoa wapi katika uchumi huu mbovu wa Kibongobongo.
Ntaendelea kuwajuza bila chenga kwa sababu nipo karibu na watu hawa na wananiamini sana,ila kwa maslahi ya taifa letu kamwe sitanunulika.


Join Date : 27th May 2015
Posts : 8
Rep Power : 307
Likes Received 1
Likes Given 0

JAMAA UYU APO JUU..... VERY JUNIOR, JIPAMBANUA KAMA WEWE NI TEAM MEMBE MAJIZI MATUPU!!!! KINDLY JIFUNZE NAMNA YA KUPRESENT ISSUES, ALWAYS MAPUMBAFU HUJADILI WATU NA CLEVERS HUJADILI ISSUEs
 
Wakuu Dodoma sasa inatisha Wallahi naapa tangu nizaliwe sijawahi kuona mabilioni ya pesa yakimwangwa kama njugu katika mji huu wa Dodoma.

Leo nimemshuhudia mpambe wa Lowasa hana Rainbow pup akigawa maburungutu ya elfu kumi kumi kwa wajumbe wa mkutano mkuu walipoanza kuwasilia mjini hapa.

Huyu bwana anaitwa kivuyo almaarufu kwa jina la baba T. Zamani alikuwa mfanyakazi wa Vodacom, jamaa ni mpambe wa Lowasa ndiye aliyepewa jukumu la kumwaga maburungutu ili kuhakikisha mzee Lowasa anakamata ikulu ya magogoni.

Katika jukumu hilo la kumwaga rushwa ndugu Kivuyo anasaidiwakwa karibu na mdada Esther Boniface Moshi mwenye namba 0652395516 ambaye anaishi Tabata jijini Dar es Salaam, jamaa wana hela chafu haswa sijui wanazitoa wapi katika uchumi huu mbovu wa Kibongobongo.


Nitaendelea kuwajuza bila cxhenga wakuu
 
TAKUKURU wenyewe wanapokea hayo mahela yaani wanaruka na kukanyaganaaaaa
 
Jina lako nimelipenda mkuu, limenitoa mbali sana!

hivi hawa pro membe wana ID ngapi humuu maana mwingine katupia uzi huu anajiita Rajas yani washaanza kuchanganyikiwa mapema hivii,kweli mamvi hakamatiki maana REDET imeshawalevya vyakutosha



Hawa mahasimu wa LOWASSA wamepanga mkakati mchafu wa kukamatana wenyewe kwa rushwa ili waseme ni Lowasa amewatuma.

Kama Lowasa anagawa hela kwa kila mtu mbona mimi sijawahii kupewa.Kama kila mtanzania atapewa pesa basi na mimi nazisubiri
 
Back
Top Bottom