Lowassa achafua Dodoma kwa rushwa

Lowassa achafua Dodoma kwa rushwa

Habari hizi mpelekee JK na Nape Mnauye. Sisi tuna nini na Lowasa? Hivi umelipwa ngapi kumchafua Lowasa?? Elewa, fundi wa kuchafua hewa ni Lowasa, hajatokea tena mfano wake. Ohoooo. Mwambiye aliyekutuma kuwa Jamaa kameza OMO, kujiosha hutokea kwenyewe. Mmemshindwa na Richmond, hamumuwezi kwa bahasha.
 
Kwa ushahidi huo hata wewe UNARUHUSIWA kwenda mahakamani kushtaki. Unasubiri nini? Kama unajiamini nenda mahakamani tukuone ni MZALENDO. Ukiishia KULALAMA TU hapa JF na wewe utakua kama "waleee!"
 
vita vya panzi furaha ya kunguru wacha wamwage ela watu wale wewe baki kulialia tu
 
Mnapoleta porojo hizi mtambue wana jf wengine ni wakongwe dodoma hapa sasa unavyoongelea rainbow kwa wanaoifahamu na tukio unaloongea limetokea watakushangaa sana, ni vyema mumuhoji huyo anayeandika na kuwapa mpost kwa id zenu kanma uwongo umepangika vizuri au mu uedit
 
mmasihiya achana na hao mabroila ndio ajira yao hiyo kila saa lowasalowasa mbona mnatupangia rais wa nchi hii? mwapisheni basi.
 
CCM mnaona Lowassa Na wapambe wake wanachokifanya hapa Dodoma?CCM inaamini rushwa ni kosa kubwa mbona Lowassa kupitia wapambe wake wanatoa hadharani Na hakuna zozote zilizochukuliwa? Televisheni za ITV Na CHANNEL TEN zinaonesha ziara zake hizo in kampeni kabla
 
Back
Top Bottom