Festi raundi tu ,noki auti!Wana jf tutathmini kauli ya baba mkwe wa sioi sumari kuwa yuko fiti kwa kupambana.je,ameweza arumeru?vp 2015 ataweza?
Shoka moja mbuyu chini wazamani nasema utajiju, utaji J J weweeee. by Banza Stone : that yearFesti raundi tu ,noki auti!
Pambano la raundi 12 itakuwaje
Shoka moja mbuyu chini wazamani nasema utajiju, utaji J J weweeee. by Banza Stone : that year
Mgombea mwenye bulungutu ya kitutosha kuwabwaga wengine wote ndani na nje ya CCM.EL is a political liability to CCM. Why can't they see this very simple reality?