Lowassa ndiyo chaguo la watu tusichague watu dhaifu kama jk tena,jk mnafiki alisema hadharani haijui richmond,kaja obama na hillary clinton wote.kawapeleka pale kwenye mitambo au anadhani watz wana akili za hovyo,cha msingi kikwete aondoke tu anatupotezea mda akafanye u brother men mtaani,watz tukubali kuwa 2005 tuliingia choo cha kike,miaka 2 ya uongoz wa el ulificha udhaifu wa jk