MAGUFULI NA HAPA KAZI TUU!!
Kauli mbiu ya CCM (Hapa kazi tu) na Uchapaji kazi wa Mgombea wake Dr. J.P.Magufuli inaonyesha dhamira ya dhati ya chama hicho katika kumkomboa Mtanzania.Ni dhahiri kwamba tutaijenga nchi yetu kwa sisi wote kuungana na kwa kila mtu kutekeleza wajibu wa kuwa sehemu ya maendeleo ya nchi hii,hatuwezi kuwa tunataka maslahi yetu ya watanzania ya afya bora,maisha bora na elimu nzuri lakini eti unadhani una mtu ambaye atakuja kukuletea maslahi hayo!Watanzania tubadilike,tunahitajika kiongozi mchapakazi,kujituma na kufanya kazi ipasavyo!!
Mimi nikisikia hawa ukawa wanashabikia nawashangaa kabisa nchi hii kuna kundi la maharamia wanaitolea macho gas dhahabu tunawajua kwa majina na ndio wanampa jeuri huyu raisi jamani watanzania mtauzwa mchana huyu mgomea ni kivuli cha uraisi kati ya kundi fulani
LOWASA JIFUNZE KWA MREMA:
Tofauti kubwa iliyopo kati ya Lowassa na Mrema ni kwamba Mrema aliondoka CCM akiwa shujaa na mtetezi wa haki za wanyonge, aliondoka mwenyewe baada ya kupishana misimamo na chama chake cha Mapinduzi. Lowassa ameondoka CCM baada ya kukatwa jina huku akiwa na kashfa za wizi wa mabilioni ya shilingi na kujilimbikizia mali za umma ikiwemo ranchi za Handeni na Mkata
Pole sana ndugu EL na wenzako wanaokushauri negative.
Mimi nikisikia hawa ukawa wanashabikia nawashangaa kabisa nchi hii kuna kundi la maharamia wanaitolea macho gas dhahabu tunawajua kwa majina na ndio wanampa jeuri huyu raisi jamani watanzania mtauzwa mchana huyu mgomea ni kivuli cha uraisi kati ya kundi fulani
Hapa nakubaliana na wewe kabisaa. Mrema alikuwa shujaa wa wanyonge wakati Lowassa hajawahi hata kukutana na wanyonge mpaka ilipobidi kupanda Dala Dala kuwalaghai Walala hoi.
Mimi nikisikia hawa ukawa wanashabikia nawashangaa kabisa nchi hii kuna kundi la maharamia wanaitolea macho gas dhahabu tunawajua kwa majina na ndio wanampa jeuri huyu raisi jamani watanzania mtauzwa mchana huyu mgomea ni kivuli cha uraisi kati ya kundi fulani
Hauna hoja. Unaendeshwa kwa imani sana wewe. Fikiri na Changanua mambo kijana.