Jana Lowasa wamemjibu kwa tamko kali hakuna kuzika! Unajuwa hivyo ndivyo watu wanafanya kazi, wewe unataka kutumia msiba kama sehem yakupiga kampeni ipo ok mzee? Mh mbatia na wewe umelewa vijisenti? Hehehehe in shot hamna pakwenda malipo ni hapa hapa duniani. Mtaniambi.