Lowasa; asisitiza kuhusu maamuzi magumu

Lowasa; asisitiza kuhusu maamuzi magumu

Jamani aliye karibu nae amwambie atukumbuke na sisi wala halua, tende na ngamia. Yeye anazunguka makanisani tu pia na sisi tuna kura. Na kura zetu huwa zina nguvu sana....
 
Lowassa naye afanye maamuzi magumu kujibu shutuma tangu zile za Mchonga hadi za Richmond. Kuwataka wenzake wafanye maamuzi magumu wakati yeye anayakwepa ni unafiki wa kawaida. Kwanini kwa mfano anakubali kuitwa waziri mkuu mstaafu wakati aliwajibishwa?
 
Back
Top Bottom